Posts

Showing posts from December, 2022

NAFWSI ZA KAZI SERIKALINI LEO

Image
  Advertisement  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TCAA 29-12-2022  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHUO KIKUU MKWAWA 28-12-2022

Bibi yangu alikuwa amenidharau sana. Ona sababu kuu….

Image
  Licha ya kuwa na umri wa miaka thelathini na sita, mimi sijafanikiwa kufanyia bibi yangu  mapenzi akatosheleka. Hata hatujapata watoto naye. Nyumbani mwetu tumekuwa tukilumbana kila mara na kipenzi changu kisa na maana mimi ni  dume bwege tu. Bibi yangu mara mingi analalamika kuwa siwezi kumpea mtoto hivyo  atajipanga. Muda si muda, akaanza kuenda masafari nyingi kila wiki na nilipomuuliza alinijibu kuwa  anataka kutafuta mme wa kumtosholeza manake mimi ni bure. Iliniuma siku hiyo aliponijibu  hivyo lakini singeweza kumchapa. Kwa kweli siku hiyo alitoka akalala huko na nilipompigia  simu aliniambia niachane naye ama asiwai rudi. Mke wangu kipenzi aliendelea na hulka hizo hadi pale nilipotafutiwa suluhu ya kudumu na  nyanyangu ambaye alinipeleka kwa Daktari mmoja wa kienyeji aliyeitwa Ngoso ambaye  alinishugulikia kwa muda wa siku tatu; na kwa kweli, kutoka siku hiyo mambo yakawa  sambamba.  Siku nne zilizopita nilikuwa na usiku wa...

PAPA MSTAAFU BENEDICT WA 16 AMEFARIKI DUNIA

Image
  Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI (95) amefariki dunia leo Jumamosi Desemba 31,2022 majira ya saa tatu na dakika 34 asubuhi.  Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa Facebook wa Vatican News ujumbe unasomeka: “With sorrow I inform you that the Pope Emeritus, Benedict XVI, passed away today at 9:34 in the Mater Ecclesiae Monastery in the Vatican. Further information will be provided as soon as possible.”  ( Kwa masikitiko ninawataarifu kwamba Papa Mstaafu Benedict XVI amefariki dunia leo saa 9:34 katika Monasteri ya Mater Ecclesiae mjini Vatican. Taarifa zaidi zitatolewa haraka iwezekanavyo). Papa wa zamani Benedict XVI amefariki dunia katika makazi yake Vatican, akiwa na umri wa miaka 95, karibu muongo mmoja baada ya kujiuzulu kwa sababu za kiafya. Tarehe 16 Aprili 2022, Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI aliadhimisha Kumbukizi ya Miaka 95 tangu alipozaliwa. Tangu mwaka 2013 amekuwa akiishi kwenye Hosteli Mater Ecclesiae iliyoko ndani ya Bustani za V...

VIDEO | MwanaFA Ft. Maua Sama & Harmonize – Sio Kwa Ubaya Remix

Image
VIDEO | MwanaFA Ft. Maua Sama & Harmonize – Sio Kwa Ubaya Remix

USAJILI: AZIZI KI KUTIMKIA BERKANE

Image
  Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mburkinabe, Stephane Aziz Ki. IMEFAHAMIKA kuwa matajiri wa Klabu ya RS Berkane ya nchini Morocco wamefunga safari na kuja nchini kwa ajili ya kuanza mazungumzo ya kumpata kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mburkinabe, Stephane Aziz Ki. Hiyo ni mara ya pili kwa Berkane kumfuata kiungo huyo kwa ajili ya mazungumzo ya kuinasa saini yake tangu akiwa katika klabu yake ya zamani ya Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast. Yanga iliingia katika vita kali ya kuwania saini ya kiungo huyo dhidi ya Berkane katika usajili mkubwa wa msimu huu kabla ya kushinda na kiungo huyo kuvalia jezi zenye rangi ya njano, kijani na nyeusi. Mmoja wa mabosi wa Yanga, ameliambia Championi Jumatano kuwa, wapo wachezaji wengi wanawaowaniwa na baadhi ya klabu za ndani na nje na kati ya hao ni Aziz Ki mwenye kiwango bora hivi sasa. Bosi huyo alisema kuwa Berkane tayari wametuma ofa kwa uongozi wa Yanga kabla ya mabosi wao kutua nchini kwa ajili ya kutua kukamilisha usajili wake kama wakipewa ...

Majirani wangu ni roho chafu. Ona nilivyojikinga na maovu yao

Image
  Mimi na bwanagu tulianza maisha kwa njia ya ufukara hata chakula kama uji hatukuwa nayo  kwetu. Maisha yetu yalikuwa ya balaa tupu huku wengi wakitucheka kuwa tumelaaniwa. Maisha yalikuwa ngumu zaidi kila mwisho wa mwezi tulipoitajika kulipia nyumba tuliokuwa  tumekodisha. Tulilala kwa jirani siku moja na kisha siku iliyofuata asubuhi tukafunganya virago  kurudi kwetu mashamabani. Ilikuwa aibu kubwa! Maisha magumu ilituzonga na kutuandama hadi huko mashaambani hadi wakati rafiki yangu  mama Zubedah alipotutembeelea na kutuambia siri ya kuimarisha maisha yetu. Alitukariria  maisha yake yalivyokuwa kwa muda mrefu hadi pale alipomtembelea daktari mmoja mashuhuri  wa miti shamba. Alimuita Daktari Ngoso. Alitupatia nambari ya simu ya daktari huyo kisha  akatuambia tumtemtembelee ili atutengeneze na kutufungulia baraka zetu. Kwa kweli sababu tulikuwa tumefika mwisho ilibidi tuende tumuone mimi na bwanangu na  tulipofika kwa Ngoso alichukuwa mda k...

Majirani wabaya wamekimya sasa baada ya bibi yangu kuzaa mtoto wa kwanza

Image
Naitwa Mohamed mzaliwa wa kijitopanga Tanzania ambako familia yangu pia imekita mizizi. Nilimpata mrenbo fulani ambaye tulianza maisha naye lakini kuna jambo moja lililotusumbua  kwa muda mrefu. Tatizo hilo ni la kupata watoto. Tumetafuta mtoto tangu mwaka jana lakini hatujafanikiwa. Mimba ya kwanza ilitoka kisha ya  pili pia ikatoka tukabaki kwa masononeko. Sijajuwa ni nini hasa mbaya lakini nilimpeleka bibi hospitalini ili afanyiwe uchunguzi lakini  suluhu haikupatika na ikafika wakati wa kuanza kulaumiana naye. Nilimuambi kila mara simtaki  sababu hawezi nizalia watoto hata nikamfukuza na akaenda kwao. Bila kufucha, amekuwa kwao kwa muda wa miezi nane nilipoambiwa anaudhuria matibabu ya kienyeji kwa Daktari Ngoso. Hata nilipoambiwa hilo nilipuuzilia mbali lakini dadangu  akaniambia nitafute huyo bibi haraka huenda akafanikiwa kupata mtoto baada ya kupata  matibabu kwa Ngoso. Kwa sababu nilimuheshimu dadangu huyo nilimtuma amuite bibi yangu  arudi. N...

Mwanadada aliyeniibia shilingi Laki nane Azirudisha mweneywe

Image
  Nilikuwa na mwanake ambaye nilikuwa nimeanza mapenzi naye yapata wiki tatu zilizopita. Nilikuwa namleta nyumbani mara nyingine yeye mwenyewe anakuja wakati anajihis mpweke ili  tufanye mapenzi naye.  Siku moja alikuja kwangu na kutaka kukaa siku tatu na wakati huo mimi nilikuwa naelekea kazi  ya nje. Kwa kweli niliporudi siku iliyofuata nipata amechukuwa hela zangu kwa bengi. Hii ni baada ya yeye kupata kadi yangu ya ATM. Alikuwa na Password kisisri lakini mimi sikujua. Kuenda kuangalia akaunti yangu nilishtuka nusra nijitie kitanzi. Hela zangu zote shilingi laki  nane zimeenda. Jasho ilinitoka manake zilikuwa za kununuwa kipande cha ardhi nijenge boma  langu. Nilipiga ripiti kwa kituo cha poilisi lakini sikupata usiadizi kwani alikuwa amezioma simu na  ndipo nilikumbuka Dakatari mmoja kwa jina Ngoso aliye na uwezop wa kurejesha mali na pia  kukinga boma. Nilielezea dakatri kila kitu na ndipoa aliniagiza niende na picha ya huyo msichana. Kwa bah...

Binti akata Nyeti za baba yake na kuziondoa

Image
  Mwanamke anayefahamika kwa jina Grace Kihumba(30) mkazi wa Wang'ing'ombe mkoani Njombe anayedaiwa kuwa na matatizo ya akili anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kumshambulia baba yake mdogo akiwa usingizini na kisha kuzikata sehemu za siri na kuziondoa. Baada ya kukamatwa na kufanyiwa mahojiano na maofisa wa jeshi la polisi mwanamke huyo amesema amefanya hivyo kutokana na kukasirishwa na kitendo cha wanafamilia kuendelea kusherekea wakati yeye anaendelea kuumwa licha ya kutoa hela za matibabu kwa mzee huyo ambaye anadaiwa kuwa ni mtaalamu wa tiba asilia,kama ambavyo Kamanda wa jeshi la polisi mkowa Njombe Hamis Issa alivyobainisha wakati akizungumza na Waandishi wa Habari. Katika tukio jingine Kamanda Issa amesema jeshi hilo linamshikilia kijana anayefahamika kwa jina la Baraka Alfonce mkazi wa kitongoji cha Kimbila Ludewa mjini kwa tuhuma za kuhusika kumkata kiganja cha mkono bosi wake baada ya kutomlipa fedha kiasi cha elfu 65

Serbia inawaweka wanajeshi katika hali ya tahadhari kutokana na kuongezeka kwa mvutano

Image
Jeshi la Serbia linasema liko katika "kiwango cha juu zaidi cha utayari wa mapigano" baada ya wiki kadhaa za mvutano unaoongezeka kati ya Serbia na Kosovo. Rais Aleksandar Vucic anasema "atachukua hatua zote kulinda watu wetu na kuhifadhi Serbia". Hata hivyo, serikali ya Pristina haijasema lolote kuhusu madai hayo. Lakini hapo awali imemshutumu Bw Vucic kwa kucheza "michezo" ili kutatua matatizo. Umoja wa Ulaya umekuwa ukijaribu kupatanisha. Umoja huo wenye wanachama 27 unatoa wito wa "kuzuiliwa kwa kiwango cha juu zaidi na hatua za haraka", na viongozi wa Serbia na Kosovo "kuchangia suluhisho la kisiasa". Serbia inakataa Kosovo kama nchi huru. Kosovo, ambayo ina watu wengine wa kabila la Albania, ilijitenga na Serbia baada ya vita mwaka 1998-99. Nato, ambayo ina ulinzi wa amani huko Kosovo, imetoa wito kwa pande zote kupinga uchochezi. Umoja wa Ulaya umeonya kuwa hautavumilia uvumilivu dhidi ya polisi wa Umoja wa Ulaya au vitendo vya u...

USAJILI: NYOTA HUYU KUTUA YANGA

Image
  Marouf Tshekai TAARIFA kutoka DR Congo zinaeleza kuwa Klabu ya Yanga ipo katika mazungumzo na Klabu ya AS Vita kwa ajili ya kumsajili kiungo fundi kutoka ndani ya timu hiyo anayefahamika kwa jina la Marouf Tshekai, 26. Kiungo huyo fundi mwenye uraia wa Togo ameshinda tuzo ya kiungo bora wa Ligi ya DR Congo kwa misimu miwili mfululizo huku akisifika kwa uwezo wake mkubwa wa kupiga mashuti nje ya boksi. Taarifa ambazo limezipata Championi Jumatatu kutoka katika chanzo cha ndani kutoka DR Congo, zinasema kuwa Yanga ipo katika mazungumzo na viongozi wanaomsimamia mchezaji huyo ambaye inasemekana kuwa amegoma kuongeza mkataba ndani ya timu hiyo kutokana na ofa mbalimbali anazozipata kutoka klabu mbalimbali ikiwemo Yanga. “Yanga ni kweli wamekuwa kwenye mazungumzo na viongozi wa mchezaji huyo ni kwa namna gani wanaweza kumpata katika dirisha hili dogo la usajili, Marouf ni moja kati ya wachezaji bora ndani ya ligi ya DR Congo kutokana na kushinda tuzo mbili mfululizo za kiungo bora. Ki...

Revenue share and CPA, what are top CPM ads network 2023?

Image
  For affiliates there are many routes to earn money. But how to earn that money, and how to monetize traffic as much profitable as possible? There are different models of tracking conversion that each affiliate should consider. Let's review the most money-making that are CPA and Rev/Share. TOP ADS NETWORK FOR YOUR BLOG 1. Adsterra : Minimum payment is only 5$ To join Click >>HERE>> 2. MONETAG/ PropellerAds minimum payment is only 5$ To join Click > HERE>> Revshare or Revenue share is the typical "lifetime revenue" model, where you get paid a certain percent of the profits made by the client you refer. The revshare percentage can be as low as 25% or as high as 40%. If your client (the person you have referred) makes purchase for $2000, you receive as high as $800 from just 1 order. CPA or Cost Per Action the commission model where you get paid a certain amount for every client you bring. There are several models of this conversion type: client shoul...

Licha ya kukaa kwa upweke kwa muda, sasa nimepata bwana wa kifahari

Image
  Kufanyiwa kisomo ni kitu cha busara na mimi leo sitawaficha manake nimefaidika mno  kutokana nacho. Mimi ni mjane ambaye nimekuwa nikihangaika kwa miaka tatu tangu bwanagu afariki dunia  kwa maradhi ya Pressure. Nimekuwa na wakati mgumu manake pesa zake zote waliochukuwa ni nduguze ambao  hawakujali maisha yangu baada ya kifo chake licha ya kwamba nina watoto wawili na marehemu  bwanangu. Umaskini ulinijia na hata chakula cha watoto kiwakuwa kigumu kupata hadi pale nilipoanza  kuuza Omena sokoni ndipo nikaanza kujikimu kiasi lakini kwa muda mchache biashara hiyo  ikaanguka nikarudi maisha ya kuhangaika. Ilikuwa wiki tatu zilizopita ndipo nilipokutana na mama mmoja sokoni aliyenionea huruma kisha  akanipa wosia kuhusu jinzi nitakavyojiwezesha kimaisha. Ninamshukuru sababu alinipatia  nambari ya Daktari wa kienyeji kwa jina Ngoso ambaye alinifanyia Free Love Spells za kupata  mchumba. Ilinichukuwa siku mbili tu na nikakutana na mwanamme ...

umyalezo wothando wokuthi goodnight kunkosikazi/umyeni wakho

Image
  umyalezo wothando wokuthi goodnight kunkosikazi/umyeni wakho I-SMS EMNANDI ❤️ FISELA UBUSUKU OBUHLE ESITHANDWENI SAKHO❤️ Ubuhle bobusuku akubona ubumnyama obumboze umhlaba noma ukuthula okubusa imvelo kodwa kuyiphupho elihle elinombono kanye nokulindelwe ngempumelelo. Ngikufisela usuku oluhle °·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.° Uma amehlo ami engaboni kusho ukuthi enhliziyweni yami ngiyakukhumbula njalo futhi uma imikhuleko yami ingakuvikelanga Nkulunkulu njalo Uzokuvikela, futhi kumele ngikufisele ubusuku obuhle. °·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.° Uthando luyikhambi, isifo siyabaleka. Imikhonzo iyasutha futhi iyachichima. Ukukhumbulana kuyintelezi, ukukhanya kuyasikhanyisela. Ngenjabulo nangothando angikhathali ukubingelela. Ulale kahle •·.·°¯·.·•*•·.·°¯·.·• Ibhalansi yamehlo akho akwanele ukuqhubeka nokubona okwamanje, ngicela wendlule umbhede futhi ulale, ukuze uthole ulwazi olwengeziwe, ulinde ukulala futhi ube nephupho elihle. ulale kahle! •·.·°¯·.·•*•·.·°¯·.·• kuwubusuku obunokuthula obunomoya ohlanzekile ...

NAFASI ZA KAZI MBALIMBALI ZIKIZOTANGAZWA LEO

Image
  Advertisement  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHUO KIKUU ARDHI 24-12-2022  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI WIZARA YA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA 23-12-2022

Ibrahim aongezwa madaraka kazini baada ya kufanya hili

Image
  Mwanzo kwa majina mimi naitwa Amos wa mtaa wa Kahama na nimesoma hadi chuo kikuu  ambacho kilinipa shahada ya juu lakini muajiri wangu alikataa kuniongeza mamlaka kwa muda  huo wote huku wengine wakiongezewa mishahara na marupurupu. Hali hiyo iliendelea kwa muda mrefu na sababu niko na familia ilinibidi nivumilie hadi mwisho.  Lakini nataka niwaambie ilikuwa hivi majuzi nilipopata nambari ya daktari mmoja mashuhuri  wa miti shamba ambaye alibadilisha nyota yangu ya maisha na sasa cheo ninacho pia mshahara  mkubwa nimepewa. Daktari huyu alinifanyia kisomo baada ya kunisadia na dawa ya kienyeji ya  Baraka. Nilisafiri hadi Kenya na Ngoso Traditional Doctors walinibadilishia maisha kwa kutumia Spells  na shirika langu sasa linaona uwezo niliokuwa nao. Mkubwa wangu aliamrisha hivi majuzi  nipandishwe cheo kwa haraka sana. Sasa mimi ni mtu anayelipwa kiasi kikubwa cha pesa kila  mwezi na pia ofisi na gari nimepewa. Nashuku Mungu na Daktari N...

Dunia uwanja wa fujo

Image
Dunia uwanja wa fujo  𝐃𝐮𝐧𝐢𝐚 𝐮𝐰𝐚𝐧𝐣𝐚 𝐰𝐚 𝐟𝐮𝐣𝐨 “Dunia uwanja wa fujo” inaelezea jinsi maisha yaliyopo duniani ni sawa sawa na fujo kwani kila mtu anayekuja duniani huleta fujo zake na baadae kutoweka.  Mwandishi E.Kezilahabi anaelezea katika jamii kila mtu anakuja duniani kufanya fujo zake na kusababisha matatizo mbalimbali katika jamii yake kama vile mauaji, ukabila, umalaya, uchawi, ubakaji ulevi wa kupindukia nk. hivyo basi mwandishi anaamini kwamba katika dunia kila mtu anakuja na fujo zake na kutoweka, mfano mhusika Tumaini katika Riwaya hii ameleta fujo zake kama vile umalaya,  mauaji na mengine mengi na baadae kutoweka.  JE WEWE UNALETA FUJO GANI DUNIANI? Soma kitabu hiki na vingine vingi mtandaoni kupitia www.lantern.co.tz

Gamba la nyoka

Image
Gamba la nyoka 📚 Gamba la Nyoka ni riwaya inayosawiri mapambano kati ya dola na wananchi wa hali ya chini waliogomea tekelezaji wa mifumo ya uzalishaji mali iliyowalazimisha kuondoka katika maisha na maeneo waliyoyafahamu baada ya ukombozi.  ✍️Mwandishi anaangazia namna dola ilivyotumia mabavu kupambana na wakulima wa kawaida ambao hawakukubaliana na uamuzi wa kuwahamisha kutoka katika makazi yao ya jadi na kuwapeleka katika vijiji “vilivyopangwa.”  ✍️Ni riwaya inayoangazia pupa za kisiasa katika kufanya uamuzi, na athari zake kwa watu wa kawaida. Unjozi wa mawanio ya kujenga mfumo mpya vijijini unaoneshwa, na hali kadhalika vikoa vya upinzani, baadhi vikiwa ndani ya makanisa na baadhi ndani ya serikali yenyewe.  ✍️ Mbali na uhalisia huo, riwaya inaeleza pia falsafa ya mwandishi kuhusu maisha na ubaho, kuhusu dini, imani na Mungu, na kuhusu mabadiliko na mageuzi duniani. 𝗦𝗼𝗺𝗮 𝗿𝗶𝘄𝗮𝘆𝗮 𝗵𝗶𝗶 𝗻𝗮 𝗻𝘆𝗶𝗻𝗴𝗶𝗻𝗲 𝗻𝘆𝗶𝗻𝗴𝗶 𝘁𝗮𝗻𝗱𝗮𝗼𝗻𝗶 𝗸𝘂𝗽𝗶𝘁𝗶𝗮 𝘄𝘄?...

Mzingile

Image
  Mzingile 𝐌𝐳𝐢𝐧𝐠𝐢𝐥𝐞 Mzingile ni novela (riwaya fupi) ya kifalsafa na kibaadausasa iliyochapishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1991. Riwaya hii ni pacha ya ile ya Nagona (1990). Riwaya hii inasawiri chimbuko, maendeleo, maangamizi na kuzaliwa upya kwa dunia kutokana na fujo za wanadamu.Kakulu, mhusika kiini wa novela hii, anasemekana kuwa alizaliwa kiajabuajabu, na umbo lake na maisha yake kwa jumla yalikuwa ni ya kushangaza na kutatanisha, yakihusishwa na matukio ya ajabu na uwezo usio wa kawaida aliosadikiwa kuwa nao. Hatimaye Kakulu anajitenga na jamii na kwenda kuishi peke yake juu ya kilima, lakini watu hawamwachi kwa amani kama anavyotaka, bali wanaendelea kumfuata na kumsujudia na kumhusisha na mambo ambayo yeye anasema hahusiki nayo. Hata baada ya karne nyingi bado watu wanamwamini na kumsujudia. Kwa njia hii kisasili cha Kakulu kinaundwa na uvumi unageuka kuwa ukweli. Unapotokea msiba unaodhaniwa kumhusu, anatumwa mjumbe (Msimulizi) kwenda kumtafuta Kakulu kumwarifu juu...

NAGONA

Image
  Nagona Nagona ni riwaya fupi ya kifalsafa na kibaadausasa inayoibua kira kuhusu falsafa na maana ya uhai, maisha, dhamira na hata kira yenyewe. Mhusika kiini wa novela hii anajikuta katika mazingira ya ajabuajabu katika nyakati tofauti tofauti. Si rahisi kubaini iwapo ni maono, njozi, kra ama matendo halisi, pengine ni vyote kwa pamoja. Unachoweza kubaini ni kuwa, katika hali zote hizi, yu akidadisi ama safarini kusaka jambo fulani. Katika safari yake hii anakutana na wahusika tofauti na wenye sifa za ajabuajabu. Wahusika hawa, wanaonekana kufurahi kumwona na wanabainisha kuwa yeye pekee ndiye waliyekuwa wakimsubiri muda wote na ndiye tegemeo lao. Yumkini yeye ndiye mkombozi wa pili. Hivyo, wanajiunga naye na safari inaendelea, ila fumbo linabaki, ukombozi gani anapaswa kuleta? Dhidi ya nini? Na, kwa vipi? Je, itakuwa lini? Hivi vinabaki kuwa ni vitendawili vya kifalsafa. Katika matukio yote haya, ambayo mengi hayasawiri moja kwa moja uhalisia wa duniani bali kuwa katikati ya kir...

Gari lililomgonga mpendwa lapatikana. Ona tulichofanya

Image
  Mimi naitwa Mama Rashid na nimezaliwa kwetu Mtwara Tanzania ingawaje nilipoteza mume  wangu kwa njia ya kutatanisha wakati gari hili lilipomgonga na kisah kupotea lisionekane  kamwe. Ilikuwa siku ya Ijumaa tulipopata habari kuwa mwili wa bwannagu upo katika chumba cha maiti  mjini dar Es salaam na ndipo familai yangu ilishtuka isijuwe nini la kufanya. Nilipokimbia kuelekea kule kwa kweli nilidhibitisha kuwa ulikwa mwili wa mume wangu.  Alikuwa amehusika kwenye ajali ya barabaranai lakini hamna yeyote aliyeliona gari  lililomgonga. Ilinikula mno akili kabla mamangu mzazi kufika na nambari ya Daktari wa kisomo anayeitwa  Ngoso wa Ngoso Traditional Doctors. Alinikabithi kwa haraka nikapiga kasha kwa bahati nzuri  daktari akapokea ndipo nikamuambi ajali iliotupata ndipo akafanya mambo yake na muda si  muda habari zikatokea kuwa gari lililomgonga bwanangu mpendwa limepata ajali hatua kadhaa  baada ya kumgonga bwananagu. Tulienda kuliona tuk...

SAIDO ASAJIKIWA SIMBA

Image
  Aliyekuwa mchezaji wa Yanga na Geita Gold, amesajiliwa na Simba SC, huu ni usajili wa kwanza kwa Simba tangu kufunguliwa kwa dirisha dogo la usajili. Nyota wengine kadhaa wanatakiwa kusajiliwa Simba SC, inayotaka kuimarisha kikosi chake kwaajili ya mashindano mbalimbali.

Mkongwe wa Vietnam ashinda bahati nasibu mara sita

Image
Mkongwe wa Vietnam aliingia kwenye duka la pombe huko Massachusetts siku moja ya baridi ya mwezi Desemba akitegemea hisia zake. Alicheza bahati nasibu, kama alivyokuwa akifanya kwa zaidi ya miaka 20. Hisia zake zilimwambia: usinunue tiketi moja tu, nunua sita. Na usitumie nambari zozote tu, tumia nambari sawa kwenye kila tiketi. Kama bahati ingekuwa hivyo, Raymond Roberts alishinda kwa tiketi zote sita, na kupata mkupuo wa karibu $2m (£1.6m), pamoja na malipo 20 ya kila mwaka ya $25,000. Nambari za ushindi ambazo Bw Roberts alichagua zilikuwa mchanganyiko uliotungwa kwa uangalifu wa siku za kuzaliwa na tarehe za maadhimisho. Alikuwa amezitumia kwenye tiketi zingine za bahati nasibu, siku za nyuma, lakini aliambulia patupu. Bahati ya Maisha ilikuwa mchezo ambao Bw Roberts alicheza, na kwa kweli ndivyo wengine wanaweza kumuita kulingana na sheria za mchezo huo, uwezekano wa kushinda $25,000 pekee kwa mwaka kwa zawadi ya maisha ni moja kati ya 1,813,028. Wakazi wa Massachusetts hutumia pe...

USAJILI MPYA: NYOTA HUYU KUTUA SIMBA

Image
  Straika wa Power Dynamo ya nchini Zambia, Kennedy Musonda. SIMBA inatakiwa ivunje benki na kutenga kitita cha Sh 350Mil ili kufanikisha usajili wa straika wa Power Dynamo ya nchini Zambia, Kennedy Musonda ili kuwa pacha wa Mzambia mwenzake, Moses Phiri kikosini hapo. Zambia wanatokea wachezaji wawili tegemeo hivi sasa katika kikosi cha Simba ambao ni kiungo Clatous Chama na Moses Phiri anayecheza nafasi ya ushambuliaji kama ilivyo kwa Musonda. Simba hivi sasa ipo katika mipango ya kukiboresha kikosi chake ili kifanye vema katika michuano ya ndani na Ligi ya Mabingwa Afrika wakitinga hatua ya makundi. Chanzo chetu kutoka ndani ya Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, kimeliambia Spoti Xtra kwamba, katika kusaka mshambuliaji, wameweka mitego kwa nyota wawili, wakimkosa Cesar Manzoki anayekipiga  Dalian Proffessionalya nchini China, basi wataangukia kwa Musonda. Mtoa taarifa huyo aliongeza kwamba, Musonda amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili wenye thamani hiyo ya dau la usajili ba...