Posts

Showing posts with the label Urembo

MHARIRI ASEMA SAYANSI NA TEKNOLOJIA NI CHANGAMOTO KATIKA UCHAPISHAJI(MAENDELEO YA TEHAMA NA CHANGAMOTO ZAKE KATIKA UCHAPAJI)

Image
Na HUGHOLIN KIMARO Masshele blog Kwa Mukhtasari Mhariri wa Kiswahili wa matbaa ya Longhorn Kenya, Bw James Mwilaria, amesema uchapishaji wa vitabu katika awamu hii ya utandawazi umekumbwa na changamoto tele ingawa upo uzuri wake pia. MHARIRI wa Kiswahili wa matbaa ya Longhorn Kenya, Bw James Mwilaria, Alhamisi aliwaelezea wataalamu, wasomi na wapenzi wa Kiswahili kwamba uchapishaji wa vitabu katika awamu hii ya utandawazi umekumbwa na changamoto tele ingawa upo uzuri wake pia. Kulingana na Bw Mwilaria, ingawa uchapishaji wakati huu wa utandawazi ni rahisi, unakabiliwa na changamoto si haba. “Waandishi na wachapishaji wamekuwa wakichangamkia sana uchapishaji wa kidijitaji bila kujua kuwa unazo changamoto zake.  Wenyewe ni rahisi kwani hata baadhi ya waandishi wamekuwa wakijiandikia na kujichapishia miswada. Lakini mambo si shwari kama inavyofikiriwa. Kuna tatizo la kudhibiti hakimiliki za wachapishaji. Unapochapisha  vitabu katika enzi hizi inakuwa vigumu kui...

UKIWA NA SIFA HIZI LAZIMA UOLEWE!

Image
M OJA  kati ya kilio kikubwa cha mabinti ni kupata wanaume sahihi wa kuwaoa. Ishu si tu kuolewa lakini kupata mume sahihi ni jambo lingine. Wengi wanaishia kukutana na wanaume ‘wasanii’ ambao hawana mpango wa ndoa. Wao wanafurahia maisha ya ujana hadi pale watakapojisikia. Kwa kuwa kiasili mwanaume ndio humfuata mwanamke, fursa ya kuanza kuchagua mke mtarajiwa, mchumba, ‘girlfriend’ huwa inaanza kwa mwanaume. Wazo la kukufanya wewe kuwa rafiki, mchumba na baadaye mke mara nyingi huwa linaanza kwa mwanaume. Hivyo basi utakubaliana na mimi kwamba, kwa kiasi kikubwa mwanaume ndio mwenye ‘funguo’ ya ndoa. Ndiye anayeweza kusema ‘Yes’ au ‘No’. Mara nyingi mwanaume ndiyo mwenye maamuzi ya kusema nioe au nisioe kwa sasa. Ndio mwenye uamuzi wa kusema nioe mwanamke huyu au nisimuoe nitaoa mwingine. Nimuoe huyu kwa sababu ananifaa, nimuache huyu kwa sababu hanifai. Licha ya kuwa mwanaume anaweza kuwa na matatizo yake lakini pamoja na yote hayo, jukumu la kufanya maamuzi huwa linaba...

HIZI HAPA AINA MPYA 61 ZA UBANAJI WA NYWELE

Image
Asante kwa kutembelea tovuti hii karibu tena kwa maoni tuandikie WhatsApp +255766605392 Gmail , massheleblogger@gmail.com