Posts

Showing posts with the label mapenzi

Maneno 100 Ya Kumwambia Mwanamke Ili Moyo Wake Usisimke

Image
Orodha ya maneno 100 ya kumsisimua mpenzi wako (Sms 100 za mapenzi za kumtumia mpenzi wako) Hivi yule mwanamke unayemtongoza ushamwambia maneno mangapi matamu na akakuambia kwa upole, “Nakupenda mpenzi wangu”. Iwapo hujawahi kutamkiwa maneno kama haya na mwanamke kwa njia ya upole basi itakuwa yale maneno unayomwambia hayatosheki. Mwanamke anapenda kuona kuwa unamfukuzia. Anataka kujua iwapo unamwona ni mrembo na kuvutia au la. Wanawake ni viumbe tofauti na huchagua maneno. Unaweza kuwa kila siku unamrushia mistari ama voko ambazo umekuwa ukizihifadhi kumbe kwake haoni chochote. Kabla hatujaendelea, sababu ya kuandika post hii ni kuwa kuna rafiki yangu katika mtandao wa Facebook amekuwa akiniandama akitaka nimpe mistari angalau mmoja ili aweze kumzuzua mpenzi wake. Well, kwa hili tulikaa na paneli yetu  na tukaamua kuweka maneno 100 ambayo bila shaka yatamridhisha mwanamke yeyote. Zama nasi.  Maneno matamu ya kumwambia mwanamke  Nakumbuka ile siku ya kwanza ambayo macho y...

Mitego 30 Ambayo Hutumiwa na Wanaume Kuwanasa Mabinti iko Hapa, Jinyakulie Kadhaa

Image
PICHA NA MTANDAO   Wanawake hupenda maneno matamu hata ikiwa sio kweli na huyachukulia kuwa mapenzi ya kweli Baadhi ya wanaume wmesomea usanii wa kuwapagawisha mabinti kwa maneno matamu huku wakifahamu wazi, ahadi zao ni wongo mkubwa Wao hutumia mashairi na mistari ya kumtoa nyoka pangoni na mara wakishafaulu, humtosa binti ya mtu wakati binti huyo akitaka mahusiano ya kweli Ni wazi wanawake hupenda maneno matamu hata ikiwa sio kweli na huyachukulia kuwa mapenzi ya kweli.  Baadhi ya ‘midume’ kwa sababu hii, wamesomea usanii wa kuwapagawisha mabinti kwa maneno matamu huku wakifahamu wazi, ahadi zao ni wongo mkubwa.   Wakati mwingine mabinti huwa wagumu sama kunasa lakini nao wanaume hutumia maneno matamu na ulimu uliopakwa asali kuwanasa,.  Wanaume wa aina hii, hutumia mashairi na mistari ya kumtoa nyoka pangoni na mara wakishafaulu, humtosa binti ya mtu wakati binti huyo akitaka mahusiano ya kweli. TUKO imekusanya badhi ya mistari na ndimi zilizotiwa asali ambaz...

UHAKIKI WA RIWAYA YA WATOTO WA MAMA NTILIE

Image
  UHAKIKI WA RIWAYA JINA LA KITABU : Watoto wa Maman’tilie MWANDISHI : Emmanuel Mbogo Karibu tena katika makala yetu yanayojikita katika kutoa maarifa ya Kiswahili kwa kidato cha tatu. Leo tutachambua riwaya ya  Watoto wa Maman’tilie . Utangulizi Watoto wa Maman’tilie ni riwaya iliyotungwa na Emmanuel Mbogo. Riwaya hii inachambua kwa kina maisha ya akina maman’tilie. Hata hivyo maman’tilie ametumika kama ishara tu ili kuwakilisha watu wanaoishi kwa kipato cha chini. Kwa hiyo dhamira kuu katika riwaya hii ni  UMASIKINI . Umasikini huu umesababisha watoto wakose elimu, mavazi, wapate maradhi pamoja na kukusa sehemu bora ya kulala. Kutokana na hayo, watoto hujiingiza katika biashara haramu pamoja na wizi mambo yanayowapelekea kifo na kukamatwa na polisi. MAUDHUI Katika riwaya hii, msanii ameweza kuonesha shuruba mbalimbali zinazowakumba watu wa kipato cha chini. Kuanzia chakula wanachokula, elimu wanayopata, mavazi yao, huduma za afya na muonekano wao. Hata hivyo riwaya hii ...

Aina za tungo na mpakingio wake

Image
  MJENGO WA TUNGO   Karibu tena katika makala yetu yanayojikita katika kutoa maarifa ya Kiswahili kwa kidato cha tatu. Leo tunajadili kuhusu mjengo wa tungo. Nini Maana ya Tungo? Tungo ni kipashio cha kimuundo ambacho hutokana na uwekwaji pamoja wa vipashio vidogo ili kuunda kipashio kikubwa zaidi. Tungo huweza kutoa taarifa kamili au isiyo kamili. Kimuundo kuna aina nne za tungo ambazo ni;  tungo neno, tungo kirai, tungo kishazi na tungo sentensi.  Mpangilio huu umeanza na tungo ya chini kabisa hadi tungo ya juu kabisa. Hivyo,  neno  hujenga  kirai, kirai  hujenga  kishazi  na  kishazi  hujenga  sentensi . Angalia zaidi ufafanuzi hapo chini. Tungo Neno Neno ni kipashio kidogo kabisa cha kimuundo kilichoachiwa nafasi pande zote mbili na hutoa maana. Katika Kiswahili kuna aina mbalimbali za maneno kama ifuatavyo; Nomino Kivumishi Kitenzi Kielezi Kiwakilishi Kihisishi/Viigizi Kiunganishi na Kihusishi Rejelea aina za maneno k...