Posts

Showing posts with the label Firauni 3

UHAKIKI RIWAYA YA FIRAUNI SEHEMU YA TATU

Firauni ni riwaya mpya iliyotoka hivi karibuni. Upya wa riwaya hii si tu kwa sababu imechapishwa hivi karibuni, la hasha! Bali ni kwa sababu ya upya wa mawazo yake  ambayo yanasawiri barabara matukio anuwai yatokeayo katika jamii zetu wakati huu. Riwaya hii iliandikwa na mpenzi wa Kiswahili Athumani Mauya  inatugusa sisi Watanzania na pia watu wa jamii nyingine za Kiafrika kwa sababu ya uhalisia na uzito wa matukio yanayojadiliwa na mwandishi huyu Athumani Mauya.     Akiwa Dar es Salaam  alikutana na msichana  mrembo aliyejulikana  kwa jina la  Kunguru  ambaye  alikuwa amelelewa na  katika maadili, mpole, mwenye heshima na adabu, mkweli asiye na hatia. Buna aliamua  kumuoa binti huyo. Wakati wa kupima afya zao kabla ya kuoana  Buna alikula njama  na daktari  ili majibu ya damu yatoke kwa matakwa  ya mashine. Buna laifariki dunia kwa Ukimwi akiwa mikononi mwa  Kunguru na kumwacha na msongo wa...