Posts

Showing posts with the label SELECTION

UCHAGUZI WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA 2022

Image
  Kuhusu wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Na kidato cha kwanza 2022. Taarifa Na majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Na kidato cha kwanza kutoka Tamisemi Leo.

SELECTION ZA KIDATO CHA TANO 2021/2022

Image
   FORM FIVE SELECTION 2021 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA SITA PAMOJA NAVYUO KWA MWAKA 2021/ 2022  - WALE WOTE WANAOULIZIA MACHAGUO HAYA BADO HAZIJATOLEWA MPAKA LEO MAY 25 LAKINI ZINZWEZA KUTOLEWA MUDA WOWOTE KUANZIA LEO. TEMBELEA MTANDAO HUU MARA KWA MARA ULI UPATE TAARIFA ZAIDI AU TOVUTI RASMI YA TAMISEMI KWA KUBOFYA HAPA www.tamisemi.go.tz

TAMISEMI: Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Tano AWAMU YA TATU 2017

Image
Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Tano AWAMU YA TATU TAARIFA KWA UMMA Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano Awamu ya Tatu mwaka 2017 wataanza masomo yao tarehe 21 Novemba, 2017 na hakutakuwa na mabadiliko yoyote ya shule. Wanafunzi wote wanatakiwa kuripoti katika shule walizopangwa kwa wakati. Endapo mwanafunzi atachelewa kuripoti hadi tarehe 4 Desemba 2017 ambayo ndiyo siku ya mwisho ya kuripoti, atakuwa amepoteza nafasi. Mwanafunzi mara uonapo jina lako kwenye tovuti ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwamba umechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano, inabidi ku-download fomu ya kujiunga na shule husika kwenye mtandao. Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano Awamu ya Tatu mwaka mwaka 2017 pamoja na fomu za kujiunga na shule (joining instructions) inapatikana kwenye tovuti ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI ya www.tamisemi.go.tz Imetolewa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais -TAMISEMI Tafadhali bofya chini Kuj...