Posts

Showing posts with the label Matokeo ya Necta 2021

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2021

Image
  Matokeo ya kidato cha nne 2021 NECTA FORM FOUR EXAMINATION RESULTS 2021 MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2021 MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MIKOA YOTE. MATOKEO YA DARASA LA NNE 2021 MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2021 MATOKEO HAYO YATAPATIKANA KUANZIA SAA NNE ASUBUHI BOFYA HAPA MUDA HUO KUANGALIA MATOKEO YOTE>>> HAPA >>

NECTA MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA NNE MLAMBAI SECONDARY

        Fungua >> hapa >> kuona matokeo ya kidato cha nne 2021 , shule ya sekondary mlambai

MWANAFUNZI BORA MATOKEO KIDATO CHA NNE 2021 ATAJA SIRI YA USHINDI

Image
  Dar es Salaam. Mwaka umeanza vizuri kwa binti Consolata Prosper baada ya kutangazwa kuwa mwanafunzi bora wa mtihani wa kidato cha nne mwaka 2021 kutoka Shule ya Sekondari ya St Francis Girls iliyopo mkoani Mbeya.  Katika matokeo ya mtihani huo yaliyotangazwa leo Januari 15, 2022 na Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) Prosper ndiyo mwanafunzi aliyefaulu vizuri zaidi kati ya wanafunzi 483,820 waliofanya mtihani huo mwishoni mwa mwaka jana.  Binti huyo mwenye miaka 16  ameuambia mtandao huu kuwa moja ya silaha zilizomwezesha kuwa bora zaidi ni maombi.  Wakati matokeo hayo yanatangazwa binti huyo alikuwa akisikiliza nyimbo za injili huko  nyumbani kwao Salasala jijini Dar es Salaam.  “Sikutarajia. Nilikuwa na uhakika kuwa sitofeli lakini sikutarajia kama nitaogoza pia,” Consolata ameiambia Nukta Habari baada ya kuulizwa amepokeaje matokeo hayo.  Mwaka umeanza vizuri kwa binti Consolata Prosper baada ya kutangazwa kuwa mwanafunzi bora ...

SHULE KUMI BORA MATOKEO KIDATO CHA NNE

Image
  Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato nne mwaka 2021 na kuzitaja shule 10 zilizofanya vizuri huku Shule ya Sekondari ya  Kemebos  ya mkoani Kagera ikishika nafasi ya kwanza kitaifa. Kemebos imepanda kutoka nafasi ya nne iliyoshika katika matokeo ya mwaka juzi na kuishusha Shule ya Sekondari ya St Francis ya mkoani Mbeya hadi katika nafasi ya pili. Katika matokeo hayo yaliyotangazwa  leo (Januari 15, 2022) na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amezitaja shule nyingine nane  zilizofanya vizuri zaidi katika matokeo hayo kuwa ni Waja Boys ya mkoani Geita iliyoshika nafasi ya tatu. Shule ya Sekondari Bright Future Girls ya Dar es Salaam imepenya katika nafasi ya nne,  Bethel Girls (Iringa) katika nafasi ya tano na Maua Seminary mkoani Kilimanjaro ikishikilia nafasi ya sita. Feza Boys ya jijini Dar es Salaam yenyewe imepigana vikali na kujitwaliwa Nafasi ya saba, Precious Blood (Arus...

HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE SHULE ZOTE

Image
  Matokeo ya kidato cha NNE 2021 yametangazwa Leo. Kuona matokeo ya kidato cha NNE 2021 mikoa yote Na shule zote BOFYA >> HAPA >>

MATOKEO YA DARASA LA NNE 2021

Image
  Matokeo ya Darasa la nne 2021 kutoka hivi karibuni Matokeo ya DARASA la NNE 2021 Yametangazwa Leo yatapatikana >> HAPA >> Kuanzia saa nne.  MATOKEO YA DARASA LA NNE MIKOA YOTE TANZANIA BOFYA >> HAPA >>

MATOKEO YA MTIHANI WA FORM 2 2021

Image
  Matokeo ya form two <script type="text/javascript"> atOptions = { 'key' : 'f646ce43109225b1e65e198de120b569', 'format' : 'iframe', 'height' : 50, 'width' : 320, 'params' : {} }; document.write('<scr' + 'ipt type="text/javascript" src="http' + (location.protocol === 'https:' ? 's' : '') + '://observationtable.com/f646ce43109225b1e65e198de120b569/invoke.js"></scr' + 'ipt>'); </script> <script type="text/javascript"> atOptions = { 'key' : 'f646ce43109225b1e65e198de120b569', 'format' : 'iframe', 'height' : 50, 'width' : 320, 'params' : {} }; document.write('<scr' + 'ipt type="text/javascript" src="http' + (location.protocol === 'https:' ? 's' : '') + '://observationta...