UDSM NEWS : YAJAYO YA NAFURAHISHA WAGOMBEA IKS WAAHIDI MAKUBWA, MWENYEKITI WA ZAMANI NAYE ATOA NENO KUELEKEA UCHAGUZI

Na VICTORY M. Huu ni wakati wakuchagua viongozi mbalimbali katika chuo kikuu cha Dar es salaam na ndaki mbalimbali Mambo yamepamba moto huku kila mgombea aki omba kura kwa udi na uvumba pamoja na kuahidi mambo mbalimbali Katika ndaki ya IKS Mambo ni moto asikwambie mtu Katika online exclusive interview, iliyo fanyika kwa vipindi tofauti baadhi ya Wagombea walileta sera na ahadi zao Na hapa nimekuwekea kila kitu Mgombea namba moja alikuwa ni RAMADHANI MZAVA, MGOMBEA UKATIBU IKS Mgombea huyu vipengengele vyake alivyo vipa kipaumbele 1 . Suala la taaluma hasa changamoto za matokeo na changamoto ya mpangilio mbovu wa ratiba 2 . Amezungumzia suala la umoja na mshikamano 3. Kwa mgombea huyu michezo haijaachwa nyuma pia kaipa kipaumbele. OJWANG HAPPINES Mgombea viti maalum Iks Mgombea huyu V...