Posts

Showing posts with the label TANGA RAHA

TANGA RAHA SEHEMU YA 50

Image
AGE………………18+ WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA ILIPOISHIA Niliwauliza baada ya kuona mshangao wao unazidi, kidole kimoja cha nesi mmoja kikaniashiria nigeuke nyuma yangu kuangalia kitu kinacho toka kwenye droo nililo lifungua.Nikageuka kwa haraka, sikuamini macho yangu, hii ni baada ya kukutana na mtu niliye fanana naye kuanzia juu hadi chini, isitoshe nguo zake na zangu zimefanana sana, jambo lililo nistua kupita maelezo.Akaanza kupiga chafya nyingi, nikastukia kishindo nyuma yangu, nikageuka na kumkuta nesi mmoja akiwa ameanguka na kupoteza fahamu huku mlinzi naye akifwatiakuanguka na kukaa kimya “Mambo Eddy” Jamaa alinisalimia, na sauti yangu inafanana sana na sauti yangu, nikabaki mdomo wazi nisijue nini nimjibu ENDELEA Jamaa akatoka kwenye droo ya kuhifadhia maiti na kusimama karibu yangu, mwili mzimwa ukaanza kunitetemeka kwa maana katika maisha yangu sijawahi kukutana na vihoja kama hivi japo kuna matukio mengi ya kutisha yalisha wahi kupita kipindi cha nyuma ila...

TANGA RAHA SEHEMU YA 49

Image
AGE………………18+ WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA ILIPOISHIA Regina alizungumza huku akilisogelea friji moja na kulivuta nje, na kwakusaidiana na wezake, wakautoa mwili ambao hadi wanauweka chini nikabaki nikiwa ninashangaa kwani ni mwili wangu wote. “Huyu ni wewe,  halisi baada ya kufa wakakuleta huku ila wamejisahau na kujua wewe upo hai” Regina alizungumza huku akiugeuza mwili wangu, ambao hauna nguo hata moja, nikaliona jeraha la kisiki kilichokuwa kimenichoma mgongoni, kipindi mkia wa joka kubwa ulivyokuwa limenipiga na kunirusha juu na kukiangukia kisiki hicho “Jile mwenyewe, sasa au unataka tukuwekee rost kama la wengine ulio wala?” ENDELEA Nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama, Regina na wezake anao fanana nao. “Moja, mbili, ta…..” “Ngoja kwanza Regina” “Ehee unsemaje?” “Ninakuomba umsaidie mke wangu, hapa nilipo sijielewi kabisa, tafadhali ninakuomba ndugu yangu” Regina wote watatu wakaanza kucheka kwa dharau huku wakianza kunizunguka kwa kasi sehemu ambayo nimechuchumaa n...

TANGA RAHA SEHEMU YA 48

Image
AGE………………18+ WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA ILIPOISHIA Nikawaomba wanipishe njia, na wakafanyahivyo hadi nikafika kwenye mlango, nikaanza kugongwa kwa nguvu ulu nikiliita jina la Rahma, gafla moshi mwingi ukaanza kutoka chini ya mlango, ulio anza kutupalia watu wote tuliopo kwenye eneo hili la mlango ENDELEA Moshi mwingi ukazidi kutoka ndani ya chumba alichopo mke wangu Rahma, ambaye hadi sasa hivi anapiga kekelele za kuomba msaada, nikajitaidi kuibana pumzi yangu, nisiendelee kuuvuta moshi unaotoka kwenye chumba alichopo Rahma na kuanza kuubamiza mlango kwa kutumia bega langu la mkono wangu wa kushoto, kwa nguvu zangu zote.Kelele za Rahma zikazidi kunichanganya kiasi cha kujikuta nikizidisha juhudi za kuuvunja mlango kwa kutumia nguvu zangu zote. Wanaume wezangu wakaanza kunisaidia kufanya kitendo ninacho kifanya mimi, cha kumshukuru Mungu, mlango ukavunjika na sote tukajikuta tukianguka nao baada ya kuurukia kwa nguvu zetu zote, Moshi mwingi tukakumbana nao, ulio a...

TANGA RAHA SEHEMU YA 47

Image
AGE………………18+ WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA ILIPOISHIA Akaingia kwenye moja ya chumba na mimi nikaingia pasipo kubisha hodi, gafla macho yangu yakakutana na Regina akiwa mtupu kama alivyo zaliwa huku mwili wake ukiwa umejaa maji, akionekana kutoka kuoga, nikatazama kila kona ya chumba na sikumuona binti ambaye nilikuwa ninamfatilia, Regina hakuonekana kushangaa wala hukuficha sehemu zake za siri, zaidi akabaki akiwa ametabamu na kuanza kupiga hatua za kunifwata, gafla nikastukia mlango ukifunguliwa nyuma yangu na nilipo geuka nikakutana na Rahma akiwa anatushangaa ENDELEA *Eddy ndio unafanya nini hapo?” Rahma alizungumza huku akinitazama kwa hasira, “Kwani wifi wewe, unatuona tunafanya nini?” Regna alimuuliza swali Rahma, ambalo likazidi kumkasirisha Rahma “Koma wewe, sijazungumza na wewe, nimemuuliza mume wangu” “Ndio unijibu sasa, umetukuta tumesimama unababaika, ungenikuta nimemuweka kifuani mwangu si ndio ungekufa” Regna alizungumza kwa dharau wala ...

TANGA RAHA SEHEMU YA 45

Image
AGE………………18+ WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA ILIPOISHIA Nikabaki nikiwa nipo kimya, kama nimemwagiwa maji ya baridi, swali la kwanza kujiuliza kichwani ni mbinu gani waliyo itumi hadi mimi leo nipo hai.Nikiwa ninaendelea kuliwazia ninalo liwaza nikamuona Olvia Hitler akiwa amesimama nyuma ya Rahma huku macho yake yakimwagikwa na machozi ya damu ENDELEA Nikabaki nikiwa nimeduwaa, pasipo kuzungumza kitu chochote, Olvie akaanza kutingisha kichwa taratibu huku machozi ya damu yakiendelea kumwagika kwa wingi, akauinua mkono wake mmoja na kuanza kuniita taratibu, hapa ndipo nilipoiona mkono wake ukiwa umejaa damu nyingi. “Walipo niambia kwamba umekufa, ikanilazimu kufanya kitu ambacho kingeurudisha uhai wako, kutokana sikuhitaji uweze kupotea kiurahisi maishani mwangu, wakati bado sijaisha nawe vya kutosha” Hata Rahma alicho kizungumza sikukitilia maanani kwa maani macho, na akili yangu zote zilikuwa zipo kwa Olvia aliye simama nyuma ya mke wangu Rahma.Olvia Hitler akaunyan...

TANGA RAHA SEHEMU YA 44

Image
AGE………………18+ WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA ILIPOISHIA “Asante sana mke wangu” Nilizungumza huku nikimvuta karibu Rahma, na akakilaza kifua kichwa chake juu ya kifua changu “Ila mume wangu, ninasiri moja kubwa sana katika maisha yetu, ambayo inanisumbua sana kwenye kipindi chote cha maisha yangu” “SIRI.....!!, Siri gani?” ENDELEA “Nitakuambia tu mume wangu, subiri kwanza watu waondoke” “Hapana, naomba uniambie mke wangu” “Nitakuambia tu mume wangu, nakuomba uwe mvumilivu.Ngoja kwanza nikazungumza na hao watu nje, alafu nitarudi kukuambia” Nikamtazama Rahma kwa macho makali ya kumchunguza, akayakwepesha macho yake katika kunitazama usoni.Akanipiga busu la shavu na akatoka nje, nikajilaza kitandani huku amani ikiwa imenitoweka kwani sijui ni siri gani ambayo Rahma anataka kuniambia.Nikasikia kelele za watu wakishangilia kwa furaha, sikujua ni kitu gani ambacho Rahma alizungumza hadi kuwafanya watu kushangilia kwa furaha namna hii.Nikanyanyuka kitandani na kuanz...

TANGA RAHA SEHEMU YA 43

Image
AGE………………18+ WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA ILIPOISHIA Nikaanza kushangulia huku nikiruka ruka juu, nikaanza kupiga hatua nikiondoka baharini huku nikiwa nimejawa na furaha sana.Gafla nikasutkisha nikastukia nikirushwa juu na nikiwa angani nikalishuhudia joka likiwa limeufumbua mdomo wake, huku likiningojea niingie ndai ya kinywa chake.Nikaanza kurudi chini kwa kasi kubwa huku nikipiga kelele nyigi na moja kwa moja nikaingia ndani ya mdomo wa joka ENDELEA Kwa, haraka nikachomo mshale ulipo kwenye podo langu nililo livaa mgongoni, Nikiwa ninaendela kushuka katika tumbo la mwili wangu, huku nikiwa nimeibana pumzi yangu.Nikaukita mshale wangu kwenye tumbo la joka hili na kuanza kuuchana mwili wake huku nikimshale wangu kwenye tumbo la joka hili na kuanza kuuchana mwili wake huku nikiwa ninaendelea kushuka nao chini hadina kumfanya joka hili kuanza kubingiria bingiria huku maji mengi, ya bahari yakiwa yanakingia mwilini mwake Wingi wa maji unao ingia mwilini mwa joka, yaka...

TANGA RAHA SEHEMU YA 42

Image
  AGE………………18+ WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA ILIPOISHIA Akanipiga kofi jengine huku akiniporomoshea matusi mengi,akaendelea kufanya anacho kifanya akaanza kuufungua mkanda wa suruali yangu,kabla hajamaliza nikstukia kuona jitu jengine kubwa na lakutisha,lenye mabawa likisimama mbele ya gari letu na kusababisha kishindo kikubwa hadi gari ikatingishika ENDELEA Rahma akaniacha na nikamsukumia kwenye siti yake na tukabaki tukiwa tumetazamana na jitu hili ambalo linatisha kupita maelezo.Rahma kwa haraka akawasha gari na kuaanza kuirudisha nyuma kwa mwendo wa kasi,Cha kushangaza jitu hili halikuwa na habari na sisi zaidi ya kubaki likitutuzama. “Tunaelekea wapi?” Nilimuuliza Rahma “Hata mimi sijui” “Twende kwenu” “Kwetu!!?” “Ndio kuna kazi nataka kwenda kuifanya” “Kazi gani?” “Wewe twende,utaiona huko huko” Tulizungumza huku Rahma akiendelea kuongeza mwendo wa gari,Tukafika nyumbani kwao na kukuta geti likiwa wazi,Tukashuka ndani ya gari na kujibanza pem...

TANGA RAHA SEHEMU YA 41

Image
 AGE………………18+ WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA ILIPOISHIA Radi nyingi zikaanza kutawala kwenye anga huku mawingu mazito ya mvua yakikusanyika kwa kasi.Ndani ya dakika kadhaa mvua kubwa iliyoongozana na radi kali ikaanza kunyesha.Nikatafuta sehemu ya kujibanza pembezeni ya ukuta ili kuacha mvua ipite Nikiwa nimeuegemea ukuta niskastukia nikikabwa shingo kwa nguvu na mkono ulio tokeza kwenye ukuta nilio uegeme huku mkono huo ukiwa na kucha ndevu za kutisha ENDELEA Cha kwanza kukiwahi ni kuishika shingo yangu kwa haraka na kuanza kuminyana na kiganja hiki kilicho ikamata shingo yangu,nikafanikiwa kujinasua kwenye kiganja,kitendo cha kugeuka nyuma nikakikuta kikimalizikia kuingia ndani ya ukuta.Nikataka kuondoka ila ujasiri mkubwa ukauvaa mwili wangu,nikarudi nyuma hatua chache na kuiangalia jinsi nyumba hii ilivyo kuanzia juu hadi chini.Ni nyumba inayoonekana kujengwa miaka mingi ya nguma,kwani hata kuta zake ni zile zilizo jengwa kipindi cha ukoloni.Nikiwa ninaendelea ...

TANGA RAHA SEHEMU YA 40

Image
AGE………………18+ WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA ILIPOISHIA Nikakimbilia ndani na kwenda moja kwa moja nikaingia chumba alipo mtoto,Sikuyaamini macho yangu kwani nilimkuta amekuwa mkubwa na kufikia ukubwa babu mtu mzima mwenye mandevu mengi na anatisha kupita maelezo,akanitazama kwa jicho lake kililo kubwa kama gololi za kuchezea pooltable “NATAKA DAMU YAKO” ENDELEA Nikabaki nikiwa nimesimama kama ninasubiri kupapigwa picha ya mnato,kukimbia ninataka ila miguu inashindwa,Nikajikuta nikitabasamu kama mtu aliye pumua kwa njia ya haja kubwa mbele ya mama mkwe.Likasimama na kuanza kunifwata kwa mendo wa taratibu kuja sehemu nilipo.Nikataka kurudi nyuma ila nikijikuta miguu inazidi kuwa mizito na kubaki nikiwa nimesimama kama mlingoti.Likanisogelea na kuushika mkono wangu wa kulia,akautazama sehemu ya giganja na gafla sehemu ya juu ya kiganja,akaing’ata na kuanza kuinyonya damu. Kitu kilicho nishangaza,sikuweza kupata maumivu ya aina yoyote japo ninaona damu zinanichuruzika p...

TANGA RAHA SEHEMU YA 39

Image
AGE………………18+ WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA ILIPOISHIA Olvia alizungumza huku akiwa amemshika mtoto mchanga ambaye sikuweza kumuona vizuri sura yake.Olvia Hitler akanyoosha mkono wake kwenye  moja ya lango kubwa,ukafunguka na yakatoka majitu mawili yakutisha yakiwa na vishoka vikubwa na kuwafanya watu waliopo hapa kuanza kushangilia ENDELEA Nikabaki nikiwa nikiyatazama majamaa yanayo kuja kwa mwendo wa taratibu ulio jaa vishindo.Nikatazama vishoka walivyo vishika na kujikuta mwili mzima ukiingiwa na hufu “NIMERUDI” Nikaisikia sauti ambayo mara kwa mara huwa inanielekeza nini cha kufanya, “Muda wote ulikuwa wapi hadi umeniacha nimekuja huku chini?” “NILIKUWA NINAMANA YANGU” “Maana gani?” “MANAA KUU NI KWAMBA UJE KUICHUKUA DAMU YAKO KABLA HAWAJAKUDHURU ZAIDI” “Sasa nitamchukuaje?” “USIJALI KWA HILO” Sauti ninayo zungumza nayo kidogo ikanipa matumaini ya kuweza huku kizimu nilipo.Nikastukia  kuona watu watu wapatao sita,walio valia mavazi meupe ...