Posts

Showing posts with the label Simba

UMEISIKIA AHADI YA KAGERE MICHUANO CAF

Image
MSHAMBULIAJI wa Simba, Meddie Kagere amefunguka kuwa atahakikisha anapambana kufa na kupona kwa kuwafunga wapinzani wao, TP Mazembe katika mchezo wa marudio kwa kuwa anataka kutimiza ndoto yake ya kutwaa kiatu cha ufungaji bora Afrika. Kagere mwenye mabao sita akizidiwa bao moja na mshambuliaji wa Al-Nasr ya Libya, Moataz Al-Mehdi, ameyasema hayo kufuatia mchezo wa mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika Hatua ya Robo Fainali dhidi ya TP Mazembe ambao utapigwa kesho Jumamosi, Lubumbashi nchini DR Congo. Kagere alisema amejipanga kupambana mwanzo mwisho kwa kuhakikisha Simba inafanikiwa kushinda mchezo huo huku yeye akitimiza ndoto yake ya kuwa mfungaji bora Afrika kutokana na mtu anayemzidi mabao timu yake kutolewa. “Najua huu mchezo utakuwa mgumu lakini sisi tunakwenda kufuata ushindi kwa sababu ni jambo ambalo linawezekana kwetu, maana wachezaji wote tunaelewa umuhimu wa mchezo huo, sisi hatuangalii mechi zilizopita lakini watu wanatakiwa kuelewa kwamba hii ni robo faina...

SIMBA ITAFUZU NUSU FAINALI HATA KWA MIKWAJU YA PENATI

Image
Umeshtuka? hesabu hazijawahi kudanganya, na kama simba wataipigia To mazembe hesabu nzuri basi simba inaenda hatua nyingine ya nusu fainali,  Aidha msururu mzuri Wa Matokeo ya simba kwenye mechi za karibuni hasa wanapo kuwa katika uwanja Wa nyumbani itazidi kushadadia hoja hii. Kama simba watapata ushindi wowote Wa bila jawabu nyumbani yani mfano 1-0, 2-0 au 3-0, basi kazi imekwisha mapeema tuu, unajua nikwanini? Simba wakishinda mchezo Wa nyumbani kutawaongezea kujiamini na watakapo kuwa ugenini na watakuwa katika nafasi nzuri ya kupata Matokeo chanya yeyote  Hata kama simba watapata ushindi Wa 3-0 halafu ugenini wakafungwa 4-1 watakapo ingia katika mikwaju ya penati , ni nani asiyejua uwezo Wa simba katika matuta tangu zamani? Nani asiyejua simba wana mafundi wakutungua mikwaju? Nani anautilia shaka uwezo Wa Aishi Manula? Lakini usisahau Mchezo huu ni muhimu kwa kila timu kutokana na mshindi kwenda nusu fainali. Timu hizi zimefika hapa baada ya kupenya katika hat...

KAGERE ANAONDOKA SIMBA

Image
MENEJA wa Mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere, Patrick Gakumba anatua nchini hivi karibuni kukutana na viongozi wa Simba kuhusu dili ya nne tofauti. Kwa mujibu wa meneja huyo Raja Casablanca ya Morocco, Zamalek ya Misri, TP Mazembe na SC Vita zote za DR Congo zimefika bei kwa Kagere. “Simba ndio wanashikilia mkataba wa Kagere kwa sasa, siwezi kuweka wazi kitu chochote hadi nitakapokutana na uongozi wa klabu hiyo ili niweze kuzungumza nao na ninatarajia kuja Dar hivi karibuni ndio nitajua kama atabaki ama la. “Kuna timu nyingi ambazo zinamuhitaji Kagere ambazo ni TP Mazembe, SC Vita, Casablanca na Zamaleki zote hizo zilimfuata na kumtaka lakini hatujafikia makubaliano nazo. “Kitaaluma na kibiashara watu wanakwenda kimkataba, Kagere ni mchezaji wangu ninammeneji lakini Simba ndio wenye mamlaka naye kwa sasa na ndio wenye maamuzi ya kumtoa ama la, hadi tukutane tukae na tuzungumze niwaombe ndipo nitakapowatangazia. “Watu wakae watambue kwamba, Simba sasa hivi sio timu ya kawaida, maan...

STRAIKA HATARI MBENIN AHITAJIKA SIMBA

Image
KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, amesema bado anahitaji huduma ya mshambuliaji, Sadney Urikhob raia wa Benin kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Mshambuliaji huyo hivi karibuni alitua nchini kwa ajili ya majaribio ya kuichezea timu hiyo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kabla ya kurejea nyumbani kwao kutokana na kanuni za usajili za Caf kumzuia kusaini Simba. Mbenin huyo alikuwepo kwenye sehemu ya kikosi cha timu hiyo kilichoshiriki michuano ya SportPesa Super Cup, iliyofanyika hivi karibuni kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Aussems alisema tayari ameanza maandalizi ya kukisuka kikosi chake kipya atakachokitumia kwa ajili ya msimu ujao wa ligi huku jina la Mbenin likiwa la kwanza kwenye orodha yake. “Nipo kwenye mipango thabiti ya kukiimarisha kikosi changu katika kuelekea msimu ujao wa ligi, kama unakumbuka walikuwepo baadhi ya wachezaji waliokuja na wengine niliowaleta kwa ajili ya kuwaongeza katika usajili wa Caf. “Kati ya hao yupo yule mshambul...

SIMBA, AJIBU WAMALIZANA

Image
YANGA SC waliwafanyia umafia Simba kwa kumng’oa Ibrahim Ajibu na kwenda kumtambulisha kwa mbwembwe kisha wakampa uzi wa kijani misimu miwili nyuma. Simba wenyewe walijipoza machungu hayo kwa kumchomoa kiungo fundi Haruna Niyonzima na kumpa jezi nyekundu. Lakini taarifa ikufikie kwamba mara ligi itakapomalizika tu muda wowote Ajibu atarudi kule alikotoka kwa kuvaa tena jezi nyekundu. Vigogo wa Simba wameamua kwani wanataka kuona kombinesheni ya Ajibu na Niyonzima pembeni wakiwa wanawalisha mipira tu washambuliaji wao wakiongozwa na Meddie Kagere.  Ishu iliyotufikia mezani ni kwamba tayari Simba wameshamalizana na nahodha huyo wa Yanga na kuna mkataba amesaini lakini ukiwa ni ule wa awali. Nahodha huyo wa Yanga kwa sasa anahesabu tu siku ndani ya klabu yake hiyo kisha achukue virago vyake na kurudi kwao. Waswahili wanasema nyumbani kumenoga. Mkataba wake unafika ukingoni pale msimu huu utakapogota mwishoni. Habari ambazo Championi Jumatatu, limevujishiwa ni kwamba kila kitu juu y...

CHAMA AWAPA SIMBA MCHEZAJI NI YULE ALIYE PIGA HATRIKI NDANI YA DAKIKA TANO LIGI YA MABINGA

Image
<span class="mycenter"><span class="image-share-wrap"><span class="hidden-share" style="width:48px;"><a rel='nofollow' href="https://www.facebook.com/sharer/sharer.php?u=https%3A%2F%2Fglobalpublishers.co.tz%2Fchama-ashusha-mashine-simba&picture=https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2019/03/lazarous-kambole-of-zambia_18upv19tng1qp16lfnj8v5y7ov.jpg" onclick="newMyWindow(this.href); return false;"><img title='' width='48' height='48' src='https://globalpublishers.co.tz/wp-content/plugins/cool-image-share/img/roundsimple/facebook.png' /></a><a rel='nofollow' href="http://twitter.com/share?text=Chama%20ashusha%20mashine%20Simba&url=https%3A%2F%2Fglobalpublishers.co.tz%2Fchama-ashusha-mas...

Hii ndiyo Ratiba ya mechi za Simba SC zilizosalia katika Ligi Kuu

Image
    RATIBA YA SIMBA MECHI ZOTE ZILIZOSALIA 31/03/2019 Simba vs Mbao - Dsm  03/04/2019 Simba vs JKT Ruvu - Dsm 06/04/2019 KMC vs Simba - Dsm 09/04/2019 Simba vs Biashara - Dsm  12/04/2019 Simba vs Mtibwa - Dsm Timu itakwenda mikoani kuvifuata vigongo hivi 15/04/2019 Coastal vs Simba - Tanga 19/04/2019 Kagera vs Simba - Kagera 22/04/2019 Alliance vs Simba - Mwanza 25/04/2019 Biashara vs Simba - Mara 30/04/2019 Prisons vs Simba - Mbeya 03/05/2019 Mbeya city vs Simba - Mbeya Timu inarudi Dsm 06/05/2019 Simba vs Coastal - Dsm 09/05/2019 Simba vs Kagera - Dsm 12/05/2019 Simba vs Azam - Dsm 18/05/2019 Simba vs Ndanda - Dsm Timu itawafuata hawa Mkoani  22/05/2019 Singida United vs Simba - Singida 26/05/2019 Mtibwa vs Simba - Morogoro