Posts

Showing posts with the label alofoni

kubainisha alofoni na mifano ya alofoni

  Kigezo cha mfanano wa kifonetiki ni mojawapo ya vigezo muhimu katika kucbunguza ikiwa sauti zinazotokea katika lugha ni alofoni za fonimu. Pamoja na mfahano wa kifonetiki, kigezo kingine, na cha lazima ni mazingira ya kifonolojia sauti hizo zinamotokea. Katika mfano wa Kiingereza uliotolewa hapo nyuma (7a and b), ilionyesbwa kuwa utokeaji wa alofoni [t] na [th] za fonimu /t/ unategemea mazingira maalumu. Alofoni [t] hutokea wakati fonimu /t/ inapotanguliwa na konsonanti nyingine, kama [s], ambapo alofoni [th] hutokea mwanzoni mwa neno. Tulisema kuwa sauti hizi haziingiliani katika mazingira yao. Hakuna wakati ambapo alofoni [th] itatokea baada ya sauti [s], au alofoni [t] kutokea mwanzoni mwa neno. Sauti hizi ziko katika uhusiano wa  mgawo-kamilishi.  Maana yake ni kuwa hizi sauti zinagawana mazingira ya utokeaji wao katika maneno ya Kiingereza; na kuwa ukijumlisha mazingira kila moja inamotokea, unapata ujumla wa matamshi ya fonimu /t/ katika lugha hii. Kwa maneno meng...

fonimu na alofoni pdf

  Hapojuu tumetofautisha kati ya sauti-msingi na zile ambazo si za msingi.  Sauti-msingi  ni zile ambazo wazungumzaji wanaziona kuwa zinatenganisha maneno ya lugha yao, tofauti na zile ambazo, ingawa wanaweza kuzitamka wakipenda, hawazioni kuwa zina umuhimu katika kuunda maneno ya lugha yao. Hizi sauti-msingi huitwa  fonimu . Katika sura iliyotangulia tumesema kuwa sauti yoyote inayotolewa na viungo-sauti vya mwanadamu inaitwa  foni,  na tukaangalia jinsi foni zinavyochunguzwa na kupewa sit’a zao za kifonetiki, bila kujali zinatokea katika lugha gani, au zinatymika vipi. Lakini foni zikishachukuliwa na kutumiwa katika lugha fulani kuunda na kutofautisha maneno ya lugha hiyo, zinaingia katlka utaratibu wa mfumo-sauti wa lugha hiyo na kuwa fonimu za lugha hiyo. Hivyo, wakati ambapo foni ni vitamkwa halisi vinavyoweza kupimwa kiuchunguzi (yaani kifonetiki), fonimu ni vipashio vya mwanafonolojia vinavyomwezesha kujadili mfumo-sauti wa lugha maalumu. Katika mifa...