Dunia uwanja wa fujo
![]() |
Dunia uwanja wa fujo |
𝐃𝐮𝐧𝐢𝐚 𝐮𝐰𝐚𝐧𝐣𝐚 𝐰𝐚 𝐟𝐮𝐣𝐨
“Dunia uwanja wa fujo” inaelezea jinsi maisha yaliyopo duniani ni sawa sawa na fujo kwani kila mtu anayekuja duniani huleta fujo zake na baadae kutoweka.
Mwandishi E.Kezilahabi anaelezea katika jamii kila mtu anakuja duniani kufanya fujo zake na kusababisha matatizo mbalimbali katika jamii yake kama vile mauaji, ukabila, umalaya, uchawi, ubakaji ulevi wa kupindukia nk. hivyo basi mwandishi anaamini kwamba katika dunia kila mtu anakuja na fujo zake na kutoweka, mfano mhusika Tumaini katika Riwaya hii ameleta fujo zake kama vile umalaya, mauaji na mengine mengi na baadae kutoweka.
JE WEWE UNALETA FUJO GANI DUNIANI?
Soma kitabu hiki na vingine vingi mtandaoni kupitia www.lantern.co.tz
Comments
Post a Comment