SAIDO ASAJIKIWA SIMBA

 


Aliyekuwa mchezaji wa Yanga na Geita Gold, amesajiliwa na Simba SC, huu ni usajili wa kwanza kwa Simba tangu kufunguliwa kwa dirisha dogo la usajili. Nyota wengine kadhaa wanatakiwa kusajiliwa Simba SC, inayotaka kuimarisha kikosi chake kwaajili ya mashindano mbalimbali.

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?