Posts

Showing posts from November, 2016

FONIMU INAVYO WEZA KUVUKA MPAKA WA FONIMU NA KUINGIA KAYIKA FONIMU NYINGINE

FONIMU INAVYOWEZA KUVUKA MPAKA WA FONIMU NA KUINGIA KATIKA FONIMU NYINGINE. Dhana ya fonimu ni dhana ambayo imejadiliwa na wataalamu mbalimbali wakitumia mitazamo tofauti tofauti. Wataalamu wafuatao wameeleza maana ya fonimu:- Massamba, (2004) anasema fonimu ni kipande kidogo kabisa katika mfumo wa sauti za lugha ambacho kina sifa pambanuzi kuweza kukitofautisha na vipande vingine vya aina yake. Sauti pambanuzi katika mfumo wa lugha. Massamba na wenzake, (2004) wanasema fonimu ni kitamkwa kilicho bainifu katika lugha fulani maalumu. Mgullu, akimnukuu Jones, (1975) anaeleza kuwa Fonimu ni kundi la sauti katika lugha fulani, lenye sauti muhimu (phonemes) pamoja na sauti zinazohusiana na ambazo hutumiwa mahali peke katika muktadha maalumu. Tunaweza kusema kuwa wataalamu hawa wametofautiana katika kuelezea dhana nzima ya fonimu, wakati Massamba (2004), anasema fonimu ni kipande kidogo kabisa katika mfumo wa sauti za lugha, Jones (1975) akinukuliwa na Mgullu anasema kuwa fonimu ...

ALOFONI KATIKA LUGHA YA KISWAHILI

Y OMBO 4 JUMATANO 05-04 pm 1.0 UTANGULIZI Alofoni katika lugha ya Kiswahili ni dhana ambayo haijashughulikiwa vizuri. Hii ni kutokana na wataalamu mbalimbali kutofautiana juu ya dhana hii. Tofauti hizi za wataalam zinajitokeza juu sauti za lugha wanazozitoa kama mifano ya alofoni za Kiswahili. Wengine huenda mbali na kusema kuwa lugha ya Kiswahili haina Alofoni. Madhumuni ya makala hii ni kujaribu kuchunguza alofoni katika lugha ya Kiswahili. Na kufikia hitimisho iwapo lugha ya Kiswahili ina Alofoni au la. Na iwapo lugha ya Kiswahili ina alofoni basi alofoni hizo ni zipi? Tutachunguza dhana ya alofoni kama inavyofasiliwa na wataalam mbalimbali, mbinu mbalimbali za kuzitambua alofoni na fonimu za lugha na kisha tutaichunguza mifano mbalimbali ya alofoni inayotolewa na wataalam mbalimbali. Mwisho nitatoa msimamo wangu na kuhitimisha kwa kuchokoza mjadala. 2.0 KIINI Kabla ya kusema Alofoni ni nini kwanza tutoe maana za istilahi za muhimu katika kuelezea dhana nzima ya Alofoni. Istilahi...

KIPA MPYA ATUA SIMBA

Image
Baada aya hadithi siku kadhaa, hatimaye kipa wa Medeama, Daniel Agyei ametua nchini tayari kumalizana na Simba. Kipa huyo, atasajiliwa na Simba baada ya kocha mkuu wa timu hiyo Mcameroon, Joseph Omog kutoa mapendekezo hayo kwenye ripoti yake aliyoikabidhi hivi karibuni. Agyei ametua jijini Dar es Salaam leo akitokea Ghana kupitia Abu Dhabi.  BAada ya kutua na ndege ya Etihad, Agyei alipokelewa na mratibu wa Simba, Abbas Ally maarufu kama Dizzo. Kuhusiana na kipa huyo, awali Msemaji wa Simba, Haji manara alisema hivi: "Tumeona maswali yamekuwa mengi, hivyo basi nichukue nafasi hii kutangaza kuwa, kesho (leo) Simba tunashusha kipa mpya kutoka Medeama ambaye ni Agyei raia wa Ghana. "Kipa huyo, atakuja kusaini mkataba wa kuichezea Simba, hiyo yote ni katika kuifanyia kazi ripoti ya kocha wetu aliyoitoa kwa uongozi katika usajili huu wa dirisha dogo,"alisema Manara. Kutua kwa kipa huyo, kutafanya idadi ya makipa kuongeza na kuwa wanne ambao ni Manyika Peter Jr, De...

MWIGULU AKUTANA NA YULE KIUNGO ALIYE SAINI YANGA

Image
 Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba ambaye ni shabiki wa Yanga wa ‘kugalagala’, amekutana na kiungo mpya wa Yanga, Justice Zulu. Zulu raia wa Zambia, yuko nchini tayari kumalizana na Yanga. Mwigulu ambaye ni straika tegemeo wa Yanga katika timu ya Wabunge ameonekana akiwa picha na Zulu, nje ya hoteli aliyofikia. Zulu anatarajia kumalizana na Yanga, leo au kesho na mara moja ataanza kazi katika harakati za kocha mpya, George Lwandamina kuandaa kikosi chake.

Umepata hii Taarifa kutoka SIMBA

Image
AWADHI JUMA Uliisikia hii taarifa? Imeelezwa kuwa kigogo mmoja wa klabu ya Simba, jina kapuni amezuia uhamisho wa mchezaji Awadhi Juma ambaye alitakiwa kupelekwa kwa mkopo katika timu ya Kagera Sugar katika usajili huu wa dirisha dogo kwa madai ya kiwango chake kushuka. Awadhi ni miongoni mwa wachezaji kadhaa wa Simba ambao hawakupata nafasi ya kucheza mechi hata moja katika mzunguko wa kwanza wa ligi kuu kutokana na kocha Joseph Omog kutompanga katika kikosi chake. Chanzo kutoka Simba ambacho hakikutaka kuweka wazi jina lake kimeeleza kuwa, kuna baadhi ya viongozi walikuwa katika mipango ya kumtoa kwa mkopo kiraka huyo kwenda Kagera Sugar lakini jaribio lililogonga mwamba.  DEWJI (KULIA) AKIWA NA HASSAN DALALI “Awadhi ni miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa kwenye mipango ya kutolewa kwa mkopo katika usajili wa dirisha dogo kutokana na kutopata nafasi ya kucheza mzunguko wa kwanza. “Maamuzi hayo yalipingwa vikali na kigogo mmoja wa Simba kufuatia kuutambua vilivyo uwezo wake k...

KWA MABEGI ALIYO KUJA NAYO KIPA MPYA WA SIMBA HEEEEE!!!!

Image
Kipa wa Medeama, Daniel Agyei ametua nchini tayari kumalizana na Simba. Lakini kwa hali inavyoonekana, huenda Simba imeishamaliza kila kitu kwa kuwa Agyei amekuja nchini na rundo la mabegi. Mabegi ya Agyei, inaonyesha ni mtu aliyekuja kazini na hana mpango wa kurudi kwao keshi, labda baada ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara kwisha.

PAN AFRICANISM

   About Contact Search      Jump to a Section Introduction African Religious Identity Pan–African Conferences Garvey and the UNIA Congresses and Communist Movements The International African Service Bureau The Last PAC Bibliography Pan–Africanism Minkah Makalani – Rutgers University Pan-Africanism represents the complexities of black political and intellectual thought over two hundred years. What constitutes Pan-Africanism, what one might include in a Pan-African movement often changes according to whether the focus is on politics, ideology, organizations, or culture. Pan-Africanism actually reflects a range of political views. At a basic level, it is a belief that African peoples, both on the African continent and in the Diaspora, share not merely a common history, but a common destiny. This sense of interconnected pasts and futures has taken many forms, especially in the creation of political institutions. One of the earliest manifestations of Pan-Africanism came in the n...

SOMAHII KUHUSU FREEMASONS

Image
Swahili hiphop family club  ▼ Wednesday, 23 May 2012 SOMENI HABARI HII KUHUSU FREEMASON TANZANIA SOMA HABARI HII HALAFU NA RUHUSU MALUMBANO JUU YA UTAMADUNI HUU : Sir Andy Chande Mtanzania wa kwanza kukiri kuwa Mwanachama wa Freemasons *Nimepata kutambua umuhimu wa mafunzo ya Freemason katika kujenga hisia za utuwema na ukweli kwake mtu wenyewe na kw abinadamu wenzake. Moyo wangu mawazo yangu na roho yangu, vyote vimeimarika kutokana na kushiriki kwangu katika Freemason  SIR ANDY CHANDE *Mwaka 1972 nikachukua hatua yangu ya kwanza kuelekea kwenye madaraka makubwa zaidi katika Freemason nilipochaguliwa Afrisa Mkuu wa Wilaya wa kufanya kazi na Makao makuu ya Freemason ya Mkoa kule Nairobi ambao wakati ule ulikuwa unasimamia makambi kiasi cha ishirini na manane katika Afrika nzima *Freemason Tanzania wamesaidia kituo cha watu wenye ukoma cha kindiwi wilayani Utete; Kituo cha watoto cha Mama Theresa; shule ya Vipofu ya Pongwe, mkoani Tanga; Kituo cha yatima cha Arusha, Hospitali ya Mnaz...

UANDISHI WA TAMTHILIYA

TAMTHILIA UANDISHI WA TAMTHILIA Tamthilia ni nini? Tamthilia ni utanzu ambao hutegemea mazungumzo na uigizaji ili kuwasilisha ujumbe wake. Huu ni utanzu ambao huandikwa kwa mtindo wa mazungumzo ya wahusika (Wamitila, 2007). Nkwera (h.t) anaelezea kuwa tamthilia ni: “Tamthilia ni mchezo wa kuigiza au utungo wa kisanaa ambao huweka wazo fulani katika matendo na mazungumzo” (Nkwera, h.t) AINA ZA TAMTHILIA Kwa mujibu wa Aristotle, kuna aina mbili za tamthilia. Aina ya kwanza ni tanzia na nyingine ni ramsa. Tanzia ni nini? Tanzia ni kinyume cha ramsa kwa maana kuwa hutumika kuonesha kuanguka na kushindwa kwa mhusika maarufu, mbabe, au shujaa atokaye katika tabaka la juu yaani mtu wa nasaba bora (Mutembei, 2005 katika mihadhara ya SW 234). Kama ilivyo kwa ramsa, tanzia ilianzia katika miviga ya kidini, katika sherehe ya kumhusu Dionisius. Wachezaji na Waigizaji walivalia na kuonekana kama mbuzi wakiimba nyimbo zilizohusu anguko la shujaa (Mutembei, 2005 katika mihadhara ...

KIPA MPYA WA SIMBA NI YULE WA MADEMA ?

Image
Simba imeonyesha imenuia kujiimarisha na kunja taarifa imeanza mazungumzo na kipa Daniel Agyei. Agyei ni kipa namba moja wa kikosi cha Medeama ya Ghana na Simba inataka aongeze nguvu katika kikosi chake. "Ndiye anaonekana kuwa chaguo sahihi, kazi yake ilionekana akiwa kwenye Kombe la Shirikisho," kilieleza chanzo. Kocha Joseph Omog alipendekeza kuongezwa kwa kipa mmoja ili ‘kumbusti’ Vicent Angban.

Alicho kisema NONDO , KUHUSU MFUMO WA ELIMU

Hiki ndicho alicho sema NONDO ,Aliyekuwa waziri wa zamani wa mikopo click hapa https://youtu.be/DpfoPYiKBgU

DHANA YA USHAIRI

SANAA YA USHAIRI USHAIRI Shaaban Robert katika uandishi wa ushairi ameandika Tenzi na mashairi ya kimapokeo. Tenzi: Ni aina ya mashairi ya kimapokeo wenye sifa zifuatazo: Kimaudhui; Ni utungo wenye maudhui yanayosimulia kwa urefu tukio fulani maalum. Waweza kuwa wasifu wa mtu au jambo la kihistoria. Mfano; S. Robert ameandika utenzi wa vita vya Uhuru, ameeleza kuhusu historia. Pia katika Mapenzi Bora, ameeleza kuhusu sifa za mapenzi bora. Utenzi ni utungo wa pili kati tungo za ushairi zenye beti nyingi. Utungo wa kwanza unaoongoza kuwa na beti nyingi kuliko zote katika ushairi ni Tendi. Lakini hapa tutaangazia tenzi zaidi. Utenzi hauna mizani nyingi aghalabu mizani nane, hauna mshororo bali una nusu mshororo/kipande mstari. Vilevile katika utenzi kipande mstari hakigawiki. Pia katika kipande mshororo kuna vipande vinne kwa kila ubeti. Mistari mitatu ya kwanza huwa na vina vyenye urari na kipande mstari cha mwisho/cha nne huwa na kina tofauti na vipande vya mwanzo. Kina cha mwis...

SINTAKSIA HAIWEZI KUTENGANISHWA NA VITENGO VINGINE VYA LUGHA

SINTAKSIA SINTAKISIA HAIWEZI KUTENGANISHWA NA VITENGO VINGINE VYA LUGHA. Katika kujadili mada hii, kwanza tutatoa fasili ya sintaksia kwa mujibu wa wataalam mbalimbali, fasili ya lugha, tutafafanua uhusiano uliopo kati ya sintaksia na vitengo vingine vya lugha na mwisho tutatoa hitimisho juu ya mjadala wetu. Kwa mujibu wa Massamba na wenzake (1999) Sintaksia ni utanzu wa sarufi unaojihusishana uchunguzi wa mpangilio wa maneno katika sentensi na uhusiano wa vipashio vyake. Wanaendelea kusema, utanzu huu huchunguza sheria au kanuni zinazofuatwa katika kuyapanga maneno ili yalete maana inayokubalika na kueleweka katika lugha husika. Pia Habwe na Karanja (2004) wanasema Sintaksia ni utanzu wa isimu unaoshughulikia muundo wa sentensi na elementi nyingine zinazounda sentensi kama vile kategoria za maneno, vikundi na vishazi. Kutokana na fasili hizi inaonekana kuwa Massamaba na wenzake wamefafanua zaidi kwa kuonesha kuwa licha ya kuzingatia kanuni na sheria za kupanga maneno lakini pia ...

DHANA YA URADILI YA KIMOFOLOJIA

Image
  KISWAHILI DHANA YA URADIDI KATIKA MOFOLOJIA YA KISWAHILI LEARN SWAHILI 10:43:00  UTANGULIZI Dhana ya uradidi, Kwa mujibu wa Rubanza (1996), anafasili uradidi kuwa ni njia ya kuunda maneno mapya katika Kiswahili, kama ilivyo katika lugha zingine ni kurudufu au kwa maneno mengine ni kurudia maneno. Neno lote zima linarudiwa au sehemu ya neno linarudiwa. Linaporudiwa neno zima kitendo hicho huitwa urudufu kamili na linaporudiwa sehemu ya neno ni urudufu nusu. Kwa mujibu wa Matinde (2012), uradidi ni utaratibu unaotumika katika kuunda maneno ambayo sehemu ya neno lote hurudiwa na kuunda neno au msisitizo fulani. Fasili ya Matinde ina upungufu katika kufasili hasa nini maana ya uradidi kwani si lazima neno lote lirudiwe, huweza kuwa sehemu tu ya neno. Hivyo tunaweza kusema kuwa uradidi ni kanuni au utaratibu katika lugha wa kuunda neno/maneno mapya kwa namna ya kurudia sehemu ya neno au neno zima. Ili hali sehemu ya neno ikirudiwa huitwa urudufu nusu na i...