Posts

Showing posts from September, 2022

Jinsi ya kujibu swali la “wewe ni nani” katika usaili wa kazi

Image
Epuka kuelezea wasifu wako kwani tayari wameshausoma. Elezea mafanikio yako na jinsi unaweza kuwa na mchango utakapoajiriwa. Usisahau kuongelea shauku yako juu ya kazi hiyo. Dar es Salaam.  Kama ni mtafuta ajira ambaye umewahi kupata bahati ya kuitwa kwenye usaili, bila shaka swali hili sio geni.  Ni swali la “wewe ni nani” ambalo mwajiri anauliza ili kufahamu taaluma, ujuzi na uzoefu wako. Amini ninapokuambia kuwa, wala hahitaji kujua kabila na mkoa uliozaliwa. Anahitaji madini ya kung’amuliwa mchango ambao unaweza kuwa nao kwenye kazi unayoomba. Hivi ndivyo vitu unavyotakiwa kujibu swali hilo: Ongelea ujuzi na mafanikio yanayoendana na kazi unayoomba Ni wazi kuwa hauwezi kufika kwenye swali hili ukiwa haujataja jina lako lakini kama ndiyo swali ulilolipata mara baada ya kuingia mlangoni, ni muhimu ukaanza na utambulisho ambao ni majina yako na elimu yako au cheo. Tovuti ya masuala ya ajira,   Resume Now   imeeleza kuwa, ni muhimu kueleza historia yako kikazi na mam...

Hatimaye mke wangu Anatoa Nduru Gizani! Nimekuwa Simba

Image
  Licha ya kuwa na umri wa miaka thelathini na sita, mimi sijafanikiwa kufanyia bibi  yangu mapenzi akatosheleka. Hata hatujapata watoto naye. Nyumbani mwetu tumekuwa tukilumbana kila mara na kipenzi changu kisa na maana  mimi ni dume bwege tu. Bibi yangu mara mingi analalamika kuwa siwezi kumpea mtoto  hivyo atajipanga. Muda si muda, akaanza kuenda masafari nyingi kila wiki na nilipomuuliza alinijibu  kuwa anataka kutafuta mme wa kumtosholeza manake mimi ni bure. Iliniuma siku hiyo  aliponijibu hivyo lakini singeweza kumchapa. Kwa kweli siku hiyo alitoka akalala huko  na nilipompigia simu aliniambia niachane naye ama asiwai rudi. Mke wangu kipenzi aliendelea na hulka hizo hadi pale nilipotafutiwa suluhu ya kudumu  na nyanyangu ambaye alinipeleka kwa Daktari mmoja wa kienyeji aliyeitwa Kiwanga  ambaye alinishugulikia kwa muda wa siku tatu; na kwa kweli, kutoka siku hiyo mambo  yakawa sambamba.  Siku nne zilizopita nilikuwa na usiku ...

Promote Publisher's Future Land Promo 2022

     Great news for everyone who monetizes their traffic. PropellerAds is giving away $6,000 in prizes & monthly bonuses for the Future Land Promo! Read more here.  ➡️ https://joinpropeller.com/publishers/future-land-promo       #PropellerAds, #OnClickPromo

MIKOA 11 TISHIO EBOLA, WAZIRI ATOA TAHADHARI

Image
 WIZARA ya Afya imetoa tahadhari ya  tishio la ugonjwa wa Ebola huku ikitaja mikoa 11 ambayo iko hatarini zaidi kukumbwa na ugonjwa huo ambapo hadi sasa hakuna mgonjwa aliyepatikana. Akizungumza na waadishi wa Habari leo Septemba 28,2022 jijini Dar es Salaam,Waziri wa Afya ,Ummy Mwalimu amesema mikoa iliyopo hatarini zaidi  ni Kagera, Mwanza, Kigoma, Geita na Mara.  Mikoa ya Dar es salaam, Arusha, Kilimanjaro, Songwe, Mbeya na Dodoma nayo imetajwa kuwa hatarini kwa sababu ya uwepo wa viwanja vya ndege na vituo vikubwa vya mabasi ya kutoka nchi jirani. Amesema serikali ilipokea taarifa Septemba 20, 2022 kutoka kwa Waziri wa Afya wa Uganda, kupitia vyombo mbalimbali vya habari juu ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola katika Wilaya ya Mubende nchini humo. “Wilaya ya Mubende iko umbali wa takribani kilometa 130 hadi Kampala, Makao Makuu ya Uganda na  kutoka Kampala hadi Mutukula mkoani Kagera Tanzania ni umbali wa takribani kilometa 220,”Amesema Ummy.  Amesema hadi k...

Ona Vile Majirani Hawalali Mtaani Sababu Tumekuwa Billionaires Sasa

Image
  Msinicheke! Mimi na bwanagu tulianza maisha kwa njia ya ufukara hata chakula kama  uji hatukuwa nayo kwetu. Maisha yetu yalikuwa ya balaa tupu huku wengi wakitucheka  kuwa tumelaaniwa. Maisha yalikuwa ngumu zaidi kila mwisho wa mwezi tulipoitajika kulipia nyumba  tuliokuwa tumekodisha. Tulilala kwa jirani siku moja na kisha siku iliyofuata asubuhi  tukafunganya virago kurudi kwetu mashamabani. Ilikuwa aibu kubwa! Maisha magumu ilituzonga na kutuandama hadi huko mashaambani hadi wakati rafiki  yangu mama Zubedah alipotutembeelea na kutuambia siri ya kuimarisha maisha yetu.  Alitukariria maisha yake yalivyokuwa kwa muda mrefu hadi pale alipomtembelea  daktari mmoja mashuhuri wa miti shamba. Alimuita Daktari Kiwanga. Alitupatia  nambari ya simu ya daktari huyo kisha akatuambia tumtemtembelee ili atutengeneze na  kutufungulia baraka zetu. Kwa kweli sababu tulikuwa tumefika mwisho ilibidi tuende tumuone mimi na bwanangu  na tulipofika ...

MJAMZITO ABAKWA NA KUUAWA

Image
   MKAZI wa Kitanzini Iringa, Atka Kivenule (25) aliyekuwa na ujauzito wa miezi miwili, amebakwa na kuuawa kwa kukabwa koo katika tukio lililotokea usiku wa kuamkia Jumapili nyumbani kwake mjini Iringa.  - Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, lakini majukumu mengine ya kikazi hayakumwezesha kuzungumza na wanahabari hadi habari hii inakwenda mitamboni.  - Mmoja wa maofisa wa polisi Iringa ambaye si msemaji wa jeshi hilo, alimtaja kijana mfanyabiashara wa viatu vya mtumba, Mohamed Njali maarufu kama Muddy amekamatwa akihusishwa na tukio hilo.  - Muddy anayeishi nyumba ya pili kutoka nyumba ya marehemu, alikamatwa akiwa na simu ya marehemu, suti ya mume wa marehemu na pasi anavyodaiwa kuvichukua baada ya kutekeleza unyama huo.  - Mume wa marehemu, Adeline Michael Kileo alisema tukio hilo lilitekelezwa wakati yeye akiwa baa ya jirani na nyumbani kwao Kitanzini mjini Iringa akitazama pambano la ndondi la Twaha Kas...

MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI LEO JUMATANO

Image
  Call For Interview  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO KIKUU ARDHI 27-09-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MULEBA DC 27-09-2022

UNATAFUTA MTOTO? TUMIA NJIA HII

Image
  Naitwa Mohamed Zeddy mzaliwa wa Nyali mjini ambako familia yangu pia imekita  mizizi. Nilimpata mrenbo fulani ambaye tulianza maisha naye lakini kuna jambo moja  lililotusumbua kwa muda mrefu. Tatizo hilo ni la kupata watoto. Tumetafuta mtoto tangu mwaka jana lakini hatujafanikiwa. Mimba ya kwanza ilitoka  kisha ya pili pia ikatoka tukabaki kwa masononeko. Sijajuwa ni nini hasa mbaya lakini nilimpeleka bibi hospitalini ili afanyiwe uchunguzi  lakini suluhu haikupatika na ikafika wakati wa kuanza kulaumiana naye. Nilimuambi  kila mara simtaki sababu hawezi nizalia watoto hata nikamfukuza na akaenda kwao. Bila kuficha, amekuwa kwao kwa muda wa miezi nane nilipoambiwa anaudhuria  matibabu ya kienyeji kwa daktri Kiwanga. Hata nilipoambiwa hilo nilipuuzilia mbali  lakini dadangu akaniambia nitafute huyo bibi haraka huenda akafanikiwa kupata mtoto  baada ya kupata matibabu kwa Kiwanga. Kwa sababu nilimuheshimu dadangu huyo  nilimtuma amuite ...

Fursa mpya wazalishaji video fupi YouTube

Image
Dar es Salaam .  Ikiwa wewe ni miongoni mwa watu wanaotengeneza video fupi na kuziweka YouTube, mwaka ujao unaweza kuwa wa kipekee katika maisha yako. Mtandao huo umeandaa mpango maalum wa kuwazaja pesa mifukoni wazalishaji wa maudhui ya video yanayojulikana kama “shots” yanayowekwa katika mtandao huo. Kwa mujibu wa  blogu ya Youtube  watazamaji wa kila mwezi wapatao bilioni 1.5 hutazama zaidi ya video fupi bilioni 30 kila siku, hali hii inaleta ubunifu wa hali ya juu katika kila mada kutoka maeneo yote duniani. “Kuanzia mwanzoni mwa 2023, watayarishaji wa sasa na wa siku zijazo wa Mpango wa Washirika wa YouTube (YPP) watastahiki ugavi wa mapato ya video fupi ili kupata pesa kutokana na maudhui yao,” amesema Amjad Hanif, Makamu wa Rais wa Bidhaa za Watayarishi, Youtube. Malipo yatatokana na majumuisho ya mapato ya kila mwezi kutokana na matangazo ambayo huonyeshwa kati ya video fupi  na kusaidia kulipia gharama za leseni ya muziki unaotumiwa kutayarisha video hizo. W...

Ukisoma Hii Stori Utagundua Siri Kubwa. Sio Wash Wash!

Image
  Kukuwa na mali na pesa ni jambo la busara mno na hasa kama wewe umefikisha  kiwango cha kuwa na familia. Ijapokuwa pesa sio kitu cha kuokota barabarani, kuna vile unaweza kufungua njia za  kupata hela bila kutatizika na bila kumuibia yeyote. Mimi nilikwa maskini kwa miaka mingi hadi pale shangazi yangu mmoja kutoka huko  Pwani aliponitemeblea na kuniibia siri kubwa ya utajiri ambayo hata wanasiasa wengi  hutumia ili kupata kura kwa wakazi. Leo nasema kuwa vile tu unavyopambana na magonjwa ndivyo unavyopaswa  kupambana na umaskini manake umaskini ni ugonjwa tena mbaya sasa. Bila pesa hata  bibi yako mwenyewe hawezi kukuheshimu sawa na jamii yako. Ndugu au dada zako  hawatakueshimu vilevile.  Yote tisa kumi swali utafanya nini ndio uepuke na hali hii tatanishi? Wengine  wamegundua kuwa dawa au suluhu ya kipekee na ya haraka ni wizi. Kufanya wizi ni njia  ya mkato ya kupata pesa lakini ni hatari mno sababu utauwawa kwa mtutu wa bundu...

Serikali kuajiri walimu zaidi ya 40,000 mwaka 2022-23

Image
  Dar es salaam.  Huenda uhaba wa walimu wa masomo ya Sayansi na Hesabu ukapungua nchini Tanzania na kuongeza ufaulu wa wanafunzi katika masomo hayo mara baada ya Serikali kusema iko mbioni kuajiri walimu 42,697.  Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Omary Juma Kipanga aliyekuwa akizungumza bungeni jijini Dodoma Septemba 22, 2022 amewaambia Wabunge kuwa tayari kimeshaombwa kibali cha kuajiri walimu zaidi ya 42,697 na kipaumbele kitakuwa kwa walimu wa Sayansi na Hesabu. “Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) katika mwaka huu wa fedha  imeshaomba kibali cha kuajiri walimu 42,697 kipaumbele kitakuwa walimu wa masomo ya Sayansi, Hisabati na wanaojitolea,” amesema Kipanga. Naibu Kipanga ametoa kauli hiyo wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu Esther Matiko aliyehoji kwanini Serikali haijaweka mkakati wa kuajiri walimu wa Sayansi na Hisabati ikiwa ni asilimia 33 tu ya wahitimu wa masomo hayo walioajiriwa. Kwa mujibu wa Kipanga kati y...

Hii Ndio Sababu kuu Nimefanikiwa kwa Maisha Kuliko Marafiki Zangu

Image
  Kwa Muda mfupi tu biashara zangu za kuuza nguo zimenoga sababu ya kuwa mjanja wa  maisha. Wengine hawafahamu mimi nilifanya nini ndio nikawa tajiri hivyo. Kwa majina naitwa Abdalla mkaazi wa Kongowea Mombasani na nimekuwa na matatizo  ya pesa kwani umaskini ni kama ulipiga hodi kwangu na nikaitika. Niliteseka kwa muda  mrefu lakini ya Mungu ni Mengi. Mimi kwa kweli napenda kusoma mitandao na baada ya kuhangaika kwa muda mrefu  baadaye nilipata nambari ya simu ya Dakatari mmoja anaiyeitwa Kiwanga na nikainakili  kwa kijitabu changu. Jambo lililonifanya nikainakili ni kwa sababu niliona kazi yao  nzuri ambao walikuwa wamewafanyia wateja wao kupitia wavuti yaani website yao. Ilinichukuwa siku tatu tu baada ya kuwatembelea Kiwanga na hela zikaanza kuingia  kwangu kama mfereji. Chochote nilichojaribu kufanya kilifaulu kwa haraka hadi wa leo. Kiwanga Doctors wana uwezo mkubwa wa kuimarisha nyota yako ya biashara yoyote ile  unayofanya na kwa muda...

Jambazi Awamiminia Risasi Wanandoa Wakibishana Usiku, Aua Mtoto

Image
Jambazi amesababisha kifo cha mtoto katika shambulizi hilo POLISI jijini Nairobi wanamsaka mtuhumiwa mmoja wa mauaji ya mtoto ambaye anadaiwa kuwamiminia risasi wanandoa usiku wakati wakizozana nje ya nyumba yao katika eneo la Buruburu.   Katika kisa hicho, Cecilia Mugure, 42, na mumewe Njoroge Wahome mwenye umri wa miaka 47 walifika nyumbani kwao majira ya saa 3.45 usiku kutoka katika kilabu cha pombe, Bee Centre, huko eneo la Umoja.   Kulingana na ripoti iliyowasilishwa katika Kituo cha Polisi cha Kamukunji, wanandoa hao wakiwa wamelewa walikuwa wakirushiana maneno baada ya mwanamke kugoma kuingia ndani ya nyumba yao.   Baada ya mabishano hayo, jamaa aliyekuwa amejihami kwa bastola aliibuka na kuwafyatulia risasi na kumuua mtoto wao wa kiume, James Muriithi mwenye umri wa miaka 19 huku mama akijeruhiwa vibaya.   Mtoto wao mwingine wa kike mwenye umri wa miaka 13 aliambia Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kwamba mabishano ya wazazi wake yalidumu takriban s...

NAFASI ZA KAZI 10 KUTOKA SOKABET

Image
 

JINSI YA KUPATA WATOTO WENYE AKILI

Image
Najua sio mimi pekee yangu. Mimi ni mama Hamisah kutoka Kilifi Mombasa na niko na  bwana na watoto tano wote ambao wako shuleni wanasoma. Jambo ambalo wengi wameshindwa kuelewa ni vile wanangu wote ni werevu shuleni  manake wote wanapata alama za juu na ni nambari moja kila mhula jambo ambalo  limewatatiza majirani hawapati usingizi  Majirani hawafahamu kuwa mimi ni mama mjanja ambaye nimefanya mikakati zangu  na daktari wa kiasili ambaye aliweka baraka tele za masomo kwa wanangu. Ni rafiki yangu mama Zubedah ambaye aliniibia siri hiyo ya maisha baada ya watoto  wake kufanikiwa masomoni. Hapo ndipo na mimi nikachukuwa mwanangu wa kwanza  nikampeleka kwa dakatari Kiwanga ambaye anatibu kupitia njia ya kiasili yaani miti  shamba. Baada ya mtoto wangu kufanyiwa matibabu hayo, aliimarika kimasomo kwa  haraka mno. Kwa mfano, mhula wa kwanza kwenye kidato cha kwanza alipata alama za  juu na kuwa wa kwanzadarasani na kutoka hiyo siku hajarudi n...

Amuua Kaka yake kwa panga akigombania nyama ya utumbo

Image
  Polisi huko Murang'a nchini Kenya wanamsaka mwanaume wa miaka 30 anayeshukiwa kumuua kakake mkubwa kufuatia mzozo wa nyama ya utumbo ya KSh 50 sawa na shilingi 1000 ya Tanzania. Katika kisa cha Jumapili, Septemba 18,2022 kilichotokea kijiji cha Ihumbu, mshukiwa alidaiwa kumkata marehemu, Moses Mwaura, kichwani kwa kutumia panga na kumwacha akiwa amepoteza maisha yake.  Baba yao Onesmus Nduati aliwaambia polisi kwamba alisikia zogo katika boma lake na alipofika, akawapata wawili hao wakizozana kuhusu kitoweo hicho, Nation iliripoti.  Nduati alisema mshukiwa huyo alieleza kuwa alinunua nyama hiyo katika duka la karibu na kuiweka kwenye shina la mti nyumbani kwao ili kujisaidia. Hata hivyo, alipotoka nje alikuta matumbo hayapo kwa kuwa kakake mwenye umri wa miaka 36 ambaye alikuwa katika boma hilo alikuwa ameyaiba.  Baba huyo alisema mtuhumiwa huyo ambaye kwa ujumla ni mgomvi hakutaka kusuluhisha mgogoro huo kwa amani na kumshambulia kaka yake kwa panga.  “Huyo k...

JINSI YA KUPATA MKE/MME TAJIRI

Image
  Mimi sitawaficha ukweli wanguy. Mimi ni dem ambaye nimetamani kupata mwanamme  wa pesa kwa muda mrefu na kwa kweli sikuwai fanikiwa kwa urahisi. Wenzangu wamekuwa wakipata wanaume wa pesa na magari lakini mimi napata tu  maskini wa kawaida ambao wamekuwa wakiongeza shida kwa zingine. Sikukuwa  nimetambua walichokifanya ama wanachofanya wenzangu ili kufanikiwa maishani, hadi  pale mmoja wa marafiki wangu niliosoma nao chuo kikuu aliponiambia siri kubwa ya  maisha.  Tafadhali umaskini ni kitu mbaya na kama una uwezo wa kupata mali tafadhali akina  dada leo nitawaibia sir kubwa. Kupata kipenzi ambacho kitakufaa kufedha ni mhimu na  hilo sitawaficha.  Kama hangekuwa rafiki wangu Elizabeth kuniibia siri ya alichofanya hadi kapata  mpenzi wa hela nyingi mimi leo hii ningekuwa ningali maskini kijijini.  Elizabeth aliniambia kuwa yeye alitumia Spells kuvutia wanaume wa hela maishani  mwake. Mwanzo sikufahamu ni nini alichokuwa a...

RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI ...MHANDISI KHATIB APELEKWA TCRA

Image
  Amemteua Bw. Sosthenes Laurent Kewe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Maendeleo ya Tanzania (TIB). Bw. Kewe ni Mshauri Binafsi wa Uendelezaji wa Sekta Binafsi za Fedha, Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo: 2.Amemteua Mhandisi Othman Sharif Khatib kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Bw Khatib anachukua nafasi ya Dkt. Jones Kilembe ambaye uteuzi wake umetenguliwa. Bw. Khatib ni Mhandisi Mstaafu (TCRA). 3.Amemteua Dkt. David Nkanda Manyanza kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI). Dkt. Manyanza ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Development Solution Consultancy (T) Limited. 4.Amemteua Bi. Hawa Abdulrahman Ghasia kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Shirika la Masoko Kariakoo. Bi Ghasia ni Mbunge mstaafu. 5.Amemteua Bw. Sylvester Jospeh Kainda kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Bw. Kainda ni Naibu Msajili wa ...

Polisi yaua ‘panya road’ sita Dar

Image
Kamanda Kanda Maalumu ya Dar es Salam, Jumanne Muliro Kwa ufupi Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema kuwa limewaua watu sita wanaotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha maarufu ‘panya road’ eneo la Makongo. Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema kuwa limewaua watu sita wanaotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha maarufu ‘panya road’ eneo la Makongo. Pia, Jeshi hilo linawatahadharisha wahalifu wanapotakiwa kujisalimisha wakati wa ukamataji wafanye hivyo.  Hayo yamesemwa leo Jumapili Septemba 18, 2022 Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. Amesema kuwa watu hao wamefariki dunia wakati wakipelekwa hospitali baada ya kujeruhiwa kwa risasi. Kamanda Muliro amesema “Jana majira ya saa nne na robo eneo la Makongo area 4 tulipata taarifa kutoka Kaa wananchi wema wakisema wahalifu hao ...

Mwizi wa Simu aona Cha mtemakuni

Image
  Madhara ya Kumuibia mtu Simu Yake Wizi ni mbaya…. Usiwahi iba kitu cha mtu. Mimi naitwa Jacob na kwa kweli niliona cha  mtema kuni siku niliojaribu kuchukuwa simu ya mtu iliyokuwa imeenguka chini. Wakati nilipokuwa nimeenda kuona mpira wa Uingereza kwenye klabu fulani mjini  Eldoret ndipo nilipoona simu ya Samsung imeanguka chini. Niliichukua na kuenda nayo  nyumbani. Nilikaa na simu hiyo kwa muda wa wiki mbili kisha nikaanza kuitumia lakini  nilijuta. Ilianza tu kwa mzaa nilipoona watu watatu wakinitembelea kwa nyumba yangu usiku na  kuniambia nirejeshe simu kisha wakapotea kighafla. Yaani ilifanyika kama  mazingaumbwe. Siku ya pili pia nikasikia mabati ya nyumba yangu yakipiga kelele na  kisha nikaona paka wawili wakighuruma na kuitisha simu. Dah! nilijua kuna jambo  limefanywa na mwenye simu hiyo. Hiyo siku sikulala. Nilianza kutafuta mwenye simu hiyo kwenye klabu hicho nilichookota simu na kwa  bahati nzuri nilimpata na nikamkabidh...

Kwa wale wataalamu wa kubett

kwa wale wataalamu wa kubeti karibu ingia hapa kuona best betting zote  click here masshele.com

LICHA YA MAFANIKIO KATIKA SENSA, MAKARANI 10 WALIJIUA NA KUUAWA

Image
  Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Nchini, Anne Makinda amesema licha ya mafanikio makubwa yaliyoonekana kwenye kazi ya Sensa la 2022 kuzifikia kaya,  jumla ya makarani kumi walipoteza maisha kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kujiua na kuuawa. Makinda ametoa ripoti hiyo huko mkoani Manyara wakati alipokutana na Kamati ya Sensa mkoani hapo kwa minajili ya kupokea taarifa ya zoezi la Sensa  ambapo Mkuu wa Mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere amesema kwamba zaidi ya kaya 300,000 ziliweza kufikiwa kwenye kazi hiyo. Credit' Azam Tv

NAFASI ZA KAZI KONDOA

Image
  Advertisement  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KONDOA DC 16-09-2022