Posts

Mbinu za ukalimani

 Mjadala kuhusu mbinu za ukalimani. Ukalimani fululizi Ukalimani fuatizi  Ukalimani nong’onezi Ukalimani changamani Ukalimani pokezi Ukalimani tazamishi   MBINU ZA UKALIMANI Utangulizi  Insha hii imegawanyika katika sehemu kuu nne ambazo ni; utangulizi, kiini, hitimisho na marejeleo. Sehemu ya utangulizi ni maelezo kuhusiana na mgawanyiko wa insha hii pamoja na fasili ya ukalimani, sehemu ya kiini ni mbinu za ukalimani, sehemu ya hitimisho ni mawazo ya jumla kuhusiana na insha kisha vyanzo mbalimbali vilivyotumika kusheheneza insha hii, vimewekwa katika sehemu ya marejeleo.  Dhana ya Ukalimani Wanjala (2011:14) anaeleza kuwa ukalimani ni kitendo cha kuhawilisha ujumbe katika mazungumzo kutoka lugha chasili hadi lugha lengwa. Katika fasili hii, jambo la muhimu linalodokezwa ni kwamba, ukalimani unahusu uhawilishaji wa lugha ambayo ipo katika mazungumzo. Hata hivyo, kwa maoni yetu, kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia fasili ya ukalimani inapevuka n...

STADI ZA UKALIMANI

  STADI ZA UKALIMANI                                                          1.0 Utangulizi Kazi hii imegawanyika katika vipengele mbalimbali kama vile; ukalimani na teknolojia, matumizi ya teknolojia katika ukalimani, stadi za msingi katika ukalimani ambazo ni kunukuu, kusikiliza, kuzungumza na kuzungumza hadharani. Kadhalika stadi za ziada katika ukalimani kama vile, kuficha dosari za msemaji chanzi, kusema jambo lilelile kwa maneno mengine na kupitisha muda. Kimsingi, vipengele hivyo vimefafanua kwa kuoneshwa namna vinavyotumika katika taaluma ya ukalimani, na mwisho tumehitimisha kazi.    2.0 Ukalimani na Teknolojia Kimsingi, hapa mkalimani hutumia teknolojia ili kukamilisha mchakato wa kukalimani vizuri. Mbillow (2017) anaeleza kuwa, ukalimani na teknolojia unaweza kusemwa kwa namna mbili. Mosi, ni kutumia vifaa au mashin...

MSHITAKIWA AELEZA JINSI UTUNDU ULIVYOSABABISHA KIFO CHA MPENZI WAKE

Image
   Dodoma. Mshtakiwa katika kesi ya mauaji ya mpenzi wake, Helena Sambo (52) ameieleza Mahakama Kuu Dodoma kuwa siku ya tukio walipeana penzi zito ambalo halijawahi kutokea tangu walipoanza uhusiano wa kimapenzi. Mshtakiwa huyo alisema hayo katika utetezi wake kwenye kesi ya mauaji namba 160/2017 ambapo anadaiwa kumuua aliyekuwa mpenzi wake, Mussa Seiph Agosti 11 mwaka 2016. Akiongozwa na Wakili wa Utetezi, Shedrack Mbunda, mshtakiwa aliieleza mahakama kuwa walianza uhusiano kuanzia mwaka 2013 walipokutana kwenye mnada wa Msisi uliopo kijiji cha Msisi wilayani Bahi. Habari kamili jipatie nakala yako ya Mwananchi leo.

DODOSO LA KUKUSANYA MAONI KUHUSU KUANDAA KANUNI NDOGO ZA VIFURUSHI, OFA NA PROMOSHENI KATIKA HUDUMA ZA MAWASILIANO YA SIMU

Image
  JAZA DODOSO HILO KWA BONYEZA MAANDISHI HAPA CHINI Bofya  <<HAPA>>  KISWAHILI ENGLISH LINK  (CLICK HERE)

TUZO YA KISWAHILI YA MABATI-CORNELL YA FASIHI YA AFRIKA: 2021

Image
  Utaratibu wa Kushiriki Tunafurahi kuwajulisha utaratibu wa kushiriki katika mashindano ya Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya Fasihi ya Afrika yanayoingia mwaka wake wa sita. Tuzo hii, iliyoanzishwa mwaka wa 2014 na Dkt. Lizzy Attree (Short Story Day Afrika) na Dkt. Mukoma wa Ngugi (Chuo Kikuu cha Cornell, Marekani), ina madhumuni ya kuhimiza uandishi kwa lugha za Kiafrika, na kuhimiza sanaa ya tafsiri kutoka lugha za Kiafrika, baina ya lugha za Kiafrika, na kwa lugha za Kiafrika. Baada ya kusimamisha Tuzo ya Mabati-Cornell mwaka 2020 kwa sababu ya janga la Covid-19, miswada iliyopelekwa mwaka jana pia itajumuishwa katika tuzo ya mwaka huu wa 2021. Tuzo itatolewa kwa mswada bora ambao haujachapishwa, au kitabu kilichochapishwa katika miaka miwili kabla ya mwaka wa Tuzo katika tanzu za riwaya, ushairi, mkusanyo wa hadithi fupi, riwaya za picha na wasifu. Jumla ya $15,000 (za Marekani) zitagawanywa ifuatavyo: Mshindi wa Kwanza (riwaya)  – $5,000 Mshindi wa Kwanza (ushairi) ...

WANAHITAJIKA WAALIMU WA MASOMO MBALIMBALI INTERNATIONAL SCHOOL MOSHI

Image
  We currently have the following opportunities available for well-qualified applicants to start in August 2021 at the beginning of the new school year. MYP COORDINATOR & TEACHER We are seeking an MYP Coordinator who will also be able to offer one of the other subjects or responsibilities listed below. MYP experience is needed for this position. MATHEMATICS WITH CHEMISTRY A secondary teacher able to offer both subjects up to diploma level. IB Diploma teaching experience is preferred. MATHEMATICS WITH BUSINESS MANAGEMENT A secondary teacher able to offer both subjects up to diploma level. IB Diploma teaching experience is preferred. MATHEMATICS WITH ANOTHER SUBJECT We are seeking two diploma mathematics teachers who can also offer an additional secondary subject from the following: Environmental Systems & Societies (DP) French (MYP) English as an Additional Language . IB teaching experience would be an advantage. ENGLISH AND DRAMA A secondary teacher able to offer both Engli...

58 Job Opportunities at TPB Bank, Banking Operation Officers

Image
  Banking Operation Officers  – Upcountry ( 58 Positions)   TPB Bank PLC is a Bank that provides competitive financial services to our customers and creates value for our stakeholders through innovative products. TPB Bank PLC is a Bank, whose vision is “to be the leading bank in Tanzania in the provision of affordable, accessible and convenient financial services”. As part of effective organizational development and management of its human capital in an effective way, TPB BANK PLC commits itself towards attaining, retaining and developing the highly capable and qualified workforce for TPB BANK PLC betterment and the Nation at large. BANKING OPERATION OFFICERS  – UPCOUNTRY ( 58 POSITIONS) TPB Bank PLC seeks to recruit dedicated, self-motivated and highly organized Banking Operation Officers (58 positions) to join the Directorate of Technology and Operation team. The work stations are upcountry. DIRECT REPORTING LINE: BRANCH MANAGER LOCATION:UPCOUNTRY WORK SCHEDUL...