Posts

LUGHA NA SIASA

LUGHA YA KISWAHILI MHIMILI MKUU KATIKA SIASA       WAKATI lugha yoyote ile inakuwa na umuhimu mkubwa, hasa kama kiunganishi cha watawala na watawaliwa, mfumo wa elimu uliopo hugeukiwa kuwa njia kuu ya usambazaji wake. Nchini Tanganyika (kabla ya kuwa Tanzania) chini ya utawala wa Wajerumani, mojawapo ya majukumu ya kimsingi ambayo Kiswahili kiliyatelekeza yalikuwa ni kuziunganisha jamii za Kiafrika na Wajerumani; ambao walikuwa wageni. Unganisho la pili ambalo Kiswahili kilitekeleza ni lile la utabaka kwani Wajerumani, kama wakoloni wengine katika mataifa ya Afrika, walikuwa wakionekana kama “wa tabaka la juu.” Wajerumani walikuwa wamekichagua Kiswahili kama lugha ya kiutawala, ambapo walifaulu kuwafunza watawala wengi kutoka pande zote mbili-Waafrika na Wajerumani kuendesha utawala wao. Mfumo wa kiutawala uliowekwa ulioana pakubwa na sera ya lugha iliyokuwepo, ambayo kimsingi ilikuwa ikilenga kuhakikisha kuwa walifaulu kutumia Kiswahili kama nguzo kuu ya kufani...

WANAWAKE KATIKA FASIHI YA KISWAHILI

Hapa tutachunguza mwanamke anavyo onekana katika kazi mbalimbali za kifasihi kama vile Ushairi Tamthilia Hadithi Riwaya Ngomezi Sanaa za maonyesho Nyambi Semi Maombi  Matangazo ya kibiashara n.k tutatalii namna watunzi mbalimbali wanavyo mtazama mwanamke na majukumu wanayo mtwisha katika kazi zao. andika makala yeyote kuhusiana na mwanamke katika kazi za fasihi kisha Nitumie  Katika mail , info.masshele@gmail.com

Solskjaer hints on Ferguson's possible task before Liverpool clash

Image
ENGLISH PREMIER LEAGUE Former Manchester United manager  Sir Alex Ferguson  could play a crucial role when the  Red Devils  host arch-rivals  Liverpool  in a crunch Premier League clash at Old Trafford on Sunday. United caretaker boss Ole Gunnar Solskjaer has hinted Ferguson could give a team talk before the crucial match if he wants. “He would be welcome to have his talk to the players if he wanted to, the gaffer, because we know how much it meant for his to overtake Liverpool,” Solskjaer was quoted by the  Mirror . “I think our players know what [playing against Liverpool] means for everyone at Man Utd.” United have been in superb form under the Norwegian winning 11 of their last 13 games since he was appointed in December.

12 loaned players who could save Chelsea if transfer ban stands

Image
ENGLISH PREMIER LEAGUE Following the disastrous news of the club’s transfer ban for two windows by FIFA, Masshelesports looks at players that Chelsea currently has out on loan who may benefit from or save the club, should the club’s pending appeal fail . Chelsea are noted for having quite a large catalogue of loaned-out players in various major leagues across Europe, and this exact ball game may relieve everyone connected to The Blues. At best, Chelsea’s returning talent could head for London as top new signings. At worst, the club may be forced to keep unwanted players if the ban stipulates that the club cannot sell. Via Transfermarkt, here’s a list of the most notable loaned-out Chelsea players, including their market values. List of players: Christian Pulisic Position: Forward Age: 20 Loan club: Borussia Dortmund (Germany) Nationality: USA/Croatia Market value: 50,00 Mill. € Tiemoué Bakayoko  Position: Defensive Midfield Age: 24 Loan club: ...

Umuhimu wa Kiswahili katika Taifa

Image
Mwalimu J. K. Nyerere ametuasa tusiwe wabinafsi katika masuala yahusuyo taifa. Suala la ubinafsi amelipiga vita tangu alipoasisi taifa hili na kutuagiza tuondokane na unafsi kama alivyoandika katika kitabu chake cha ‘Tujisahihishe.’ Kitabu hiki kilichapishwa mwezi Juni 1962. Kwa maana hiyo, alitupa fursa ya kuielimisha jamii bila uchoyo na husuda. Katika eneo la lugha, tunayo mambo mengi tunayoweza kujifunza kwa faida yetu binafsi, kwa taifa letu na kwa ulimwengu mzima kwa jumla. Hapa yafaa nitoe ufafanuzi kidogo.  Katika miezi ya hivi karibuni liko jambo lililotokea huko Uingereza ambalo ni mfano wa kuigwa. Wabunge wa Bunge la Uingereza ambao ni wapenzi wa lugha yao ya taifa hawakuridhishwa na hadhi ya lugha yao inavyotumika kitaifa na kimataifa. Wameishauri  Serikali yao iimarishe ufundishaji wa lugha ya Kiingereza katika shule zote na hasa  vyuo vya lugha. Pia waliishauri serikali kufundisha Kiingereza kwa umakini mkubwa katika shule na vyuo. Pia walishauri ...

Askari Watano Wapewa Zawadi Ya 1,500,000 Baada Ya Kukataa Rushwa Kutoka Kwa Wachina Wamiliki Wa Mashine Za Kamali

Image
Na.Faustine Gimu Galafoni ,Dodoma. Askari watano mkoani Dodoma wamepewa zawadi ya Tsh.Milioni Moja na Nusu kutoka kwa ofisi ya kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa baada ya kukataa rushwa ya Tsh.Milioni 1 Kutoka kwa Wamiliki wa Mashine za kuchezea kamali Raia wa China.   Akizungumza na waandishi wa habari Leo Februari 22,Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma Gilles Murroto  amewataja askari waliopewa Motisha hiyo ili waendelee kuchapa kazi zaidi ni Inspekta Ntilungila,F 3129 Coplo Edward,G 2856 D/C  Ahmed,G 1973 D/C Edward na wa tano ni askari mwenye No.G 6593 PC Stanley.   Raia wa Kichina waliokamatwa wakitaka kutoa hongo hiyo ni Chen Xian Wen[35],Chen Ji[21] na Mwingine ni Lin Bibi[30].   Kamanda Murroto ameendelea kufafanua kuwa ,Jeshi la polisi Mkoa wa Dodoma limefanikiwa kukamata jumla ya watuhumumiwa  wa makosa mbalimbali 49 pamoja na  mali mbalimbali za wizi zikiwemo mashine za kuchezea kamali 138.   Katika wilaya ya Dodoma...

Bastola ya Profesa yatoa uhai wa mwanafunzi Kidato cha Nne

Image
Mtu  mmoja aliyetambulika  kwa jina la Jasmini Ngoye (18), mwanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari Lupanga iliyopo manispaa ya Morogoro,  amekutwa amukufa baada ya kujipiga risasi ya kichwa  huku chanzo cha kifo hicho kikidaiwa kuwa ni msongo wa mawazo. . Tukio hilo limetokea Jumanne Februari 19, 2019 eneo la Kola B mtaa wa Bogwa na mwili wa mwanafunzi huyo ulikutwa ukiwa na bastola pembeni aina ya Bereta ikiwa na magazini moja na ganda la risasi. Akizungumzia tukio hilo leo Alhamisi Februari 21, 2019 Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa amesema muda mfupi baada ya tukio hilo, shemeji wa binti huyo, Profesa Hamisi Mahigi alijitokeza na kueleza kuwa bastola hiyo ni yake na anaimiliki kihalali. Kamanda huyo amesema binti huyo aliacha ujumbe aliouandika katika kitabu chake cha kumbukumbu kabla ya kujipiga risasi, alimkabidhi rafiki yake aliyekuwa akisoma naye darasa moja, Imelda Milanzi. Katika kitabu hicho mwandishi huyo ...