Posts

Showing posts from January, 2019

TATIZO LA KUKOSA HEDHI (AMENORRHEA)

Image
K WA  kawaida, mtoto wa kike akishafikia umri wa kuvunja ungo, anaanza kuona siku zake za hedhi. Huendelea kuona siku zake kwa kipindi chote cha maisha yake, mpaka anapofikia umri wa ukomo wa hedhi.   Siku pekee ambazo mwanamke hatakuwa akiona siku zake, ni pale anapokuwa mjamzito mpaka miezi kadhaa baada ya kujifungua. Hata hivyo, wapo ambao licha ya kufikisha umri wa kuvunja hedhi, huwa hawazioni siku zao na tatizo hili huweza kuendelea kwa kipindi kirefu na kumsababishia mhusika matatizo mengi, ikiwa ni pamoja na kukosa uwezo wa kunasa ujauzito. Tatizo hili kitaalamu huitwa Amenorrhea. Tatizo hili limekuwa likiwaletea usumbufu mwingi wa kisaikolojia wanawake wengi waliowahi kukumbana nalo. Tatizo hili limegawanyika katika makundi mawili: primary amenorrhea na seconday amenorrhea. PRIMARY AMENORRHEA Hii ni hali ya kukosa hedhi inayoweza kumtokea msichana aliye katika umri wa kuvunja ungo na ambayo huweza kuendana na hali ya kukosa mabadiliko ya kuv...

KISWAHILI KINAFUNDISHWA ZAIDI YA NCHI 15 DUNIANI

Image
LUGHA ya Kiswahili imezidi kupata mashiko baada ya kuwa moja ya lugha duniani zinazofundishwa katika mataifa zaidi ya 15. Katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Kiswahili ni lugha rasmi baada ya kukubalika na kupitishwa na Bunge la Afrika Mashariki.  Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki (EAKC), Profesa Kenneth Simala, alisema ni jambo jema kuona Kiswahili kikiungwa mkono na mataifa ya kigeni duniani. akaongeza kuwa mafanikio ya Kiswahili katika nchi zilizo nje ya Afrika Mashariki, yatategemea juhudi zinazofanywa na nchi za Afrika Mashariki, ambako ndio nyumbani kwa lugha hiyo adhimu duniani.  “Maamuzi ya Bunge la Afrika Mashariki ya kukifanya Kiswahili kuwa lugha rasmi katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, yanalazimisha nchi zote wanachama kuwa na sera ya Kiswahili ambayo itaangazia maendeleo ya lugha hiyo katika nchi husika,” alisema Simala.  Alisema maamuzi mengine yaliyofanywa na chombo muhimu katika nchi za Jumuiya ya Afr...

World Owl Mythology (BUNDI NA FALSAFA ZA KIULIMWENGU)

Barn Owl Art by Madeline von Foerster Abyssinia: the Hamites held the Owl to be sacred. Afghanistan: the Owl gave Man flint and iron to make fire - in exchange, Man gave the Owl his feathers. Africa, Central: the Owl is the familiar of wizards to the Bantu. Africa, East: the Swahili believe the Owl brings illness to children. Africa, Southern: Zulus know the Owl as the sorcerers' bird. Africa, West: the messenger of wizards and witches, the Owl's cry presages evil. Algeria: place the right eye of an Eagle Owl in the hand of a sleeping woman and she will tell all. Arabia: the Owl is a bird of ill omen, the embodiment of evil spirits that carries off children at night. According to an ancient Arabic treatise, from each female Owl supposedly came two eggs, one held the power to cause hair fall out and one held the power to restore it. Arabs used to believe that the spirit of a murdered man continues to wail and weep until his death is avenged. They believed th...

TAMKO LA WIZARA YA AFYA MAUAJI YA WATOTO NJOMBE

Image
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inalaani na kukemea vikali vitendo vya mauaji ya watoto kumi (10) vilivyotokea katika wilaya ya Njombe ndani ya kipindi cha mwezi Desemba 2018 hadi Januari 2019; na hivyo kusababisha  taharuki kubwa kwa familia, jamii na Taifa kwa ujumla. Vitendo hivi havikubaliki kabisa katika jamii yetu na vinakiuka Sheria za nchi yetu. Wizara inachukua nafasi hii kuzikumbusha familia zote katika jamii kuhakikisha zinaimarisha ulinzi na usalama wa watoto. Familia zinahimizwa kuwaangalia watoto na kujiridhisha wakati wote kuwa watoto wako wapi, wako na nani, wanacheza maeneo gani ili kuhakikisha wakati wote wanakuwa salama. Aidha, Wizara inaikumbusha jamii na wazazi wote kwa ujumla kuzingatia jukumu la kuimarisha ulinzi na usalama wa watoto ndani ya maeneo yao.  Sheria ya Mtoto kifungu cha 95 inamtaka kila mwanajamii ambaye ana ushahidi au taarifa kwamba haki za mtoto zinakiukwa au ziko hatarini kukiukwa atoe taarifa ...

Baraza la Madiwani lazidi kulia juu ya Chakula cha mchana

Image
Na. John Walter-MANYARA Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Babati limekubaliana kuwaelimisha na kuwahamasisha wazazi wa wanafunzi katika Shule mbalimbali za Msingi na Sekondari kuchangia kwa hiari chakula kwa ajili kuwajengea mazingira rafiki ya kujifunza na kufanya vizuri katika masomo na mitihani yao. Awali wakitoa michango yao walimtaka Mkuu wa Wilaya na Mwanasheria wa Wilaya ya Babati kuruhusu itungwe sheria itakayowalazimisha michango iwe ya lazima. Mkuu wa Wilaya, Elizabeth Kitundu alisema ni muhimu wanafunzi kupata chakula cha mchana ili kusaidia kuongeza ufaulu.

Egypt FA: 10,000 fans allowed to attend Al Ahly-Simba clash

Image
Photo by Ahmed Awaad/NurPhoto via Getty Images The Egyptian Football Association (EFA) revealed that they received security clearance for 10,000 fans to attend Al Ahly clash with Simba in matchday three of the 2019  CAF Champions League . Al Ahly are currently top of Group D with four points in two matches while Simba are third, level on points with second-placed Vita Club with three points. The two clubs will meet on Saturday as the Red Castle look to extend their lead at the top of Group D. Kick-off takes place 19:00 GMT. READ | Al Ahly one of the biggest teams in the continent, says Simba head coach After the EFA announced the news regarding the number of fans allowed to attend the game, Al Ahly are expected to be issuing tickets for the game within the next few days.

Utabiri Wa hali ya hewa usiku Wa Leo Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa

Image
Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), Imetoa Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3 usiku wa leo tarehe 29/01/2019. 

Arsenal and Man United handed transfer boost on Carrasco

Image
ENGLISH PREMIER LEAGUE W ith Manchester United and Arsenal reported to be interested in Yannick Carrasco, his agent Christophe Henrotay has revealed that the Belgian is keen on a move to Europe with his family struggling to adapt in China. Carrasco left Atletico Madrid last year in the January transfer window to join Chinese Super League side Dalian Yifang. A move to Arsenal looks unlikely with the club looking for a loan deal rather than a permanent transfer due to what Unai Emery termed as lack of enough transfer funds. Carrasco's wife Noémie Happart confirmed United's interest in the winger, "Yes, they’re very interested. I won’t hide it from you, but nothing has been signed." In an interview with  Interdipendenza , Henrotay revealed that his family was the reason for seeking a transfer back to Europe, "There's plenty of interest in Yannick from all over Europe because his family are having problems adapting to China. He's concerned about ...

UDHAIFU WA KUFASILI KISHAZI KAMA KUNDI LA MANENO LENYE KIIMA NA KIARIFU

Kishazi kama kundi lenye kiima na kiarifu ni fasili iliyo tolewa na massamba 2004. Hatahivyo fasili hii  inamapungufu kadha Wa kadha kwani kusema kishazi kina muundo Wa kiima na kiarifu ni sawa na kusema kishazi ni sawa na sentensi. Je nikweli kubwa kishazi kina hadhi ya kubwa sentensi? Hapana hata hivyo kishazi Huru pekee ndicho chenye hadhi ya kuwa sentensi sahili. Vipi kuhusu kishazi tegemezi? Labda tungepitia kwa kina maana ya kiima na kiarifu Kwa ufupi kiima  ni sehemu katika sentensi inayo kaliwa na nomino ya mtenda au ni sehemu ya kwanza ya sentensi Kiarifu ni sehemu ya pili katika sentensi inayo arifu kuhusu kiima na hukaliwa na kirai kitenzi. Embu tuchunguze hiki kishazi tegemezi 1. Iwapo utanipigia magoti Je kiima chake ni kipi? 2. Baada ya kumaliza kusali Je kiima na kiarifu utazigawaje? Na je iwapo sentensi inavishazi viwili mfano  Habiba ameanza kuimba baada ya kumaliza kuswali. Habiba ameanza kuimba ni Kishazi cha kwanza Baada ya ...

Katika uainishaji Wa vishazi kwakuzingatia uwezo Wa kujitegemea kunadhihirika kuwako kwa vishazi Huru na kishazi tegemezi , haya ni mambo manne yanayo sababisha utegemezi Wa vishazi tegemezi.

 Kishazi kwa mujibu Wa Masshele chapisho la mkondoni 2016, kishazi ni tungo yenye vitenzi ndani yake na vitenzi hivyo huweza kutolewa katika tungo kuu yani sentensi na kuleta au kutokuleta maana kamili. Katika kiswahili kunamakundi mawili ya vishazi , vishazi Huru, na vishazi tegemezi. Vishazi guru huweza kusimama pekeyake na kuwa na hadhi ya sentensi sahili lakini vishazi tegemezi haviwezi kujitegemea. Mambo yanayo sababisha utegemezi Wa vishazi tegemezi. 1. Uunganishaji, huu ni mchakato Wa kuunganisha sentensi mbili kwa pamoja mfano , 1. mtoto amepotea  2. Mtoto amepatikana = Mtoto aliyepotea amepatikana 2. Upachikaji Wa virejeshi mfano -vyo -po -ye Mfano mbuzi aliyepotea amepatikana 3. Upachikaji Wa viambishi vya masharti mfano -ngali -ngeli -ki Mfano angali wahi mapema angalimkuta hapa kabla hajaondoka. 4.kuambatana kwa vitenzi viwili kimoja hushushwa hadhi na kubwa kitenzi kisaidizi mfano , Aliyempiga amevunjika goti. Soma machapisho mengine kama ma...

HADITHI YA KABILA LA WASUKUMA NA NAMNA INAVYO MSAWIRI MWANAMKE

Image
Mwandishi , SARAH M. MAYUNGA IKS UDSM @ MASSHELE Mzee Limbu alipatikana katika kijiji cha Sapiwi huko Simiyu.  Mzee Limbu alikuwa ni mzee mwenye mali nyingi katika kijiji cha Sapiwi na alifanikiwa kuoa wanawake 7 kwa kutumia kigezo cha mali zake. Mkewe wa kwanza alijulikana kwa jina la Nyakahoja, Nyakahoja alifanikiwa kupata watoto wanne ambao ni Masanja, Mbuke, Maige na Ndono. Masanja alikua amefikia umri wa kuoa na hivyo baba yake alimsihi atafute msichana yoyote atakaye vutiwa naye ili wapeleka posa kwa wazazi wa binti huyo. Masanja aliamua kutafuta msichana mzuri katika kijiji chao na kufanikiwa kumpenda msichana aitwaye Zabhe. Zabhe ni binti wa mzee Nkwabi na mama yake Zabhe aliitwa Ngwana Madoshi, Zabhe alikuwa ni binti mwenye umri wa miaka 12 aliyekuwa akisoma darasa la 3. Zabhe aliipenda sana shule japo hakukuwa na hamasa yoyote katika jamii ya Wasukuma kwa watoto wa kike kusoma. Baada ya Masanja kumpenda Zabhe alienda kumwambia baba yake kuwa amepata msicha...

Mane responds to Real Madrid transfer speculations

Image
ENGLISH PREMIER LEAGUE S adio Mane has responded to the transfer speculations linking him with a move to Real Madrid. The Senegalese was the last of Liverpool’s three forwards to commit his future to the club but eventually signed a deal that keeps him at Anfield until 2023. Roberto Firmino and Mo Salah extended their stays way before Mane. The delay led to speculations indicating that the former Southampton star is weighing options of joining the champions League reigning champs. “Speculation is part of football. You just learn to live with it and not to take it too seriously. All I can say is that my only concern is Liverpool. Mo, Bobby... it seemed like everyone was signing contracts and they were saying: 'Hey Sadio, when are you going to sign?'. I said to each of them: 'Don't worry bro, I will sign'. And what did I do? I signed... so they are pleased now. I'm very happy here and I think people are happy with me too. We want to write our names al...

Solskjaer provides an update on Man United's January transfers

Image
ENGLISH PREMIER LEAGUE M anchester United manager Ole Gunnar Solskjaer has revealed that he does not expect to see any departures from the club in the January transfer window. Several Manchester United players were linked with a move away from the club with Matteo Darmian rumored to be on the verge of joining Italian giants Inter Milan. Eric Bailly and Andreas Pereira were linked with moves to Arsenal while Juan Mata, Ashley Young, Antonio Valencia, Ander Herrera, and Phil Jones are all approaching the last six months of their contract. Speaking in a pre-match press conference ahead of the Burnley clash on Tuesday, Solskjaer was asked if Darmian could leave the club, “At the moment I can see everyone staying at the club no deals have been done with anyone but there are still a few more days but I’m not too involved in the negotiations so whatever happens but it’ll be good to get the window closed an improving the players in the squad still here.”