Baraza la Madiwani lazidi kulia juu ya Chakula cha mchana




Na. John Walter-MANYARA

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Babati limekubaliana kuwaelimisha na kuwahamasisha wazazi wa wanafunzi katika Shule mbalimbali za Msingi na Sekondari kuchangia kwa hiari chakula kwa ajili kuwajengea mazingira rafiki ya kujifunza na kufanya vizuri katika masomo na mitihani yao.

Awali wakitoa michango yao walimtaka Mkuu wa Wilaya na Mwanasheria wa Wilaya ya Babati kuruhusu itungwe sheria itakayowalazimisha michango iwe ya lazima.

Mkuu wa Wilaya, Elizabeth Kitundu alisema ni muhimu wanafunzi kupata chakula cha mchana ili kusaidia kuongeza ufaulu.

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?