Posts

Mke aliyenikimbia kisa sina fedha arejea mwenyewe na kuomba msamaha

Image
  Mke wangu ambaye tulikuwa tumekaa kwenye ndoa kwa miaka minne, siku moja aliamka na kuniarifu ameamua kunipa talaka, kisa cha kufanya hivyo ni kwa sababu sina fedha za kuweza kumlinda na kumtunza kama inavyohitajika. Nilipigwa na butwaa mbona aliamua kufanya hivyo kwani tulikuwa tumekaa kwenye ndoa kwa miaka minne bila hayo mambo ya talaka kuwahi  kutokea.  Aliponipa talaka hapo ndipo nilipogundua kuwa wanawake wengi humpenda mume kwa kuwa ana fedhaa na wakati utakapokosa kupata hizo fedha hapo ndipo atakapokuacha kuenda kumtafuta mwingine. Sikuwahi kudhani kuwa mke wangu Stella niliyempenda na kumdhamini kwa kiasi hicho angeweza kunipa talaka, kabla ya hayo kutokea tulikuwa tunaishi maisha mazuri yenye furaha na upendo sana.  Alionekana kuwa mwenye furaha na kutaka kuwa nami kila wakati, kwa kuwa nilikua na fedha, niligundua kuwa sio mimi aliyenipenda bali alizipenda fedha nilizokuwa mfukomi mwangu. Jambo hilo lilinifanya kumjua ni mtu mpenda mali na nilikuwa na u...

Dah! kumbe mdogo wangu anakula Tunda la mke wangu!

Image
   African Doctors wana dawa ya kumrudisha mpenzi wako aliyekuacha, dawa ya nguvu za kiume, dawa ya kusafirisha nyota yako, dawa ya mvuto wa biashara, dawa ya kupata ujauzito dawa ya mapenzi pamoja dawa ya kushinda michezo ya bahati nasibu. Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965 , tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com Jina langu ni Rwakatare mkazi wa Mwanza pia mke wangu anaitwa Juliana mwenye umri wa miaka 27, Mwenyezi Mungu katujalia tuna mtoto mmoja wa kike. Mwaka 2018 nilimfungulia mke wangu duka la kuuza nguo za kiume na za kike. Mke wangu alifanya kazi kwa bidii kubwa sana hadi duka letu likaongezeka sana japo mimi nilizidi kufanya kazi yangu ya kusafirisha maharagwe kutoka Mwanza kwenda mikoa mbalimbali.  Kutokana na kazi yangu, nilikuwa nasafiri mara kwa mara, mwaka 2019 mdogo wangu wa kiume alihitimu kidato cha sita kisha nikaamua kumleta nyumbani ili aweze kusaidiana na mke wangu dukani. Nili...

Hizi hapa Dalili za mimba changa

Image
kipimo cha mimba Je unajisi kwamba una dalili za mimba changa na huna uhakika? Njia pekee ya uhakika ni kufanya kipimo ndipo utajua mbivu na mbichi. Kabla ya kupima kuna dalili za awali ambazo waweza kuzitumia kukupa mwanga kwamba tayari una ujauzito. Je Kila Mwanamke anaweza Kupata dalili za mimba mapema? Kila mwanamke anatofautiana na mwingine kimaumbile. Kuna wengine hawapati dalili kabisa hata mimba ifike miezi mitano. Lakini kuna wanawake wengine huona dalili mapema sana mimba ya miezi mwili tu. Usichanganye hedhi na mimba Wanawake wengi hushindwa kugundua mapema kama wana mimba kwasababu dalili nyingi za mimba hufanana na zile za kwenye hedhi mfano kizunguzungu na uchovu. Dalili zifuatazo zitakupa mwanga iwapo tayari mimba imeingia, japo watakiwa kufahamu kwamba dalili hizi pia zaweza kuwa matokeo ya swala lingine la kiafya. Vipimo ni muhimu kufanyika ili kuwa na uhakika zaidi. Na kumbuka muda mzuri wa kupima mimba kwa mkojo,...

Sms za mahaba na mapenzi usiku

Image
  Sms 9 za mahaba kwa yule umpendaye Maji hunitosha nisikiapo kiu, chakula hinitosha nisikiapo njaa, lakini wewe hunifaa kwa kila kitu! ***** Najua unanipenda mpenzi wangu, lakini urembo wako unaniweka roho juu, angalia usihadaike na walaghai, napenda mpenzi wangu! Mwaaaa… ***** Niseme nini ujue nakupenda? Nifanye nini ujue nakupenda? Nikuite jina gani ujue ni wewe peke yakon upo moyoni mwangu? Hakika hakuna ila moyo wangu ndio naosema kuwa nakupenda, niamini mpenzi! ***** God is wise when he did not put a price tag on you darling. If he did, I won’t be able to afford to have a boyfriend as precious as you. I luv you! ***** Najua una kazi nyingi mpenzi, lakini muda wa kula umefika, nenda ukale kwanza mpenzi wangu! ***** Hakuna atakayetutenganisha mpenzi wangu, ingawa wanafiki wanasema mengi, weka masikio yako pamba, achana nao wana vivu hao! ***** Sms 9 za mahaba kwa yule umpendaye Kama nikiambiwa niweke rekodi ya watu muhimu katika maisha yangu duniani, kwenye tatu bora utakuwepo,...

Nanyimwa uroda na kupigwa na mke wangu

Image
Niliishi na mke wangu Cate kwa furaha hadi wakati ambapo alianza kunichapa makonde nisijue hata pa kukimbilia, alikuwa ni mwanamke ambaye mwili ulikuwa umemkubali ajabu.  Alikuwa ni askari na mimi nilikuwa ni dalali wa kuuza maji mjini Kakamega, wakati nataka kumuoa, marafiki zangu walinikataza na kusema kuwa mwanamke yule angenisumbua lakini yote sikutilia maanani. Mapenzi yalikuwa yamenoga na hakuna chochote nilikuwa nasikia.  Kila mara alipotoka kazini nalifika nyumbani na kuanza vurugu, kwa vile nilikuwa na mwili mdogo alinizaba nisijue hata la kufanya, ningekimbilia kwa majirani wangenicheka na kuniita mwanaume bwege.  Wakati mwingine hata alinipa nguo zake nimfulie, nilifua hata nguo zake za ndani, wakati mwingine majirani walimsifia kuwa amepata mume mzuri baada ya kuniona mara nyingi nikufua mavazi ya mke wangu bila hata ya uoga. Mgeni alipokuja nyumbani mimi ndiye nilikuwa nawajibikia kupika chai, jambo hilo lilikuwa kinyume na mila na desturi za Waafrika, ama kw...

TAMISEMI : TANGAZO LA MAJINA YA WALIOITWA KAZINI AWAMU YA PILI

Image
  TANGAZO LA KUITWA KAZINI Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inapenda  kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali za kada za afya waliowasilisha  maombi katika kipindi cha mwezi wa April, 2023 kuwa mchakato wa kuwapangia  vituo vya kazi umekamilika kwa awamu ya pili. Awamu hii ni kwa ajili ya kujaza nafasi  wazi za Watumishi waliokosekana wakati wa uchambuzi wa maombi ya awali. Mwezi Aprili, 2023; Ofisi ya Rais – TAMISEMI ilipata kibali cha ajira ya watumishi 8,070 wa  Kada mbalimbali za Afya. Baada ya mchakato wa ajira kukamilika, jumla ya waombaji wa  ajira wenye sifa wa kada za afya 5319 walipangiwa vituo vya kazi. Aidha, jumla ya nafasi  2,751 za kada ya afya zilikosa waombaji wenye sifa. Kada hizo ni Daktari Bingwa, Daktari  Msaidizi, Daktari wa Meno, Daktari wa Meno Msaidizi, Dobi, Fiziotherapia, Fundi Sanifu  Vifaa Tiba, Mteknolojia Macho, Mteknolojia Mionzi, Mteknolojia meno, Mteknolojia Msaid...

Mazishi ya mkuu wa mamluki wa Russia Yevgeny Prigozhin, ambaye aliuawa katika ajali ya ndege wiki iliyopita, yamefanyika kwa faragha

Image
  Picha ya mkuu wa mamluki wa Wagner, Yevgeny Prigozhin kwenye kumbukumbu ya muda iliyoko Moscow, Agosti 24, 2023. Mazishi ya mkuu wa mamluki wa Russia Yevgeny Prigozhin, ambaye aliuawa katika ajali ya ndege wiki iliyopita, yamefanyika kwa faragha kwenye makaburi yaliyoko nje kidogo ya mji aliotoka wa St Petersburg, chombo chake cha habari kimesema Jumanne. “Kuagwa kwa Yevgeny Prigozhin kulifanyika kwa faragha. Wale wanaotaka kumuaga wanaweza kutembelea makaburi ya Porokhovskoye,” chombo hicho cha habari kimesema katika chapisho fupi kwenye Telegram, ikiambatana na picha ya Prigozhin. Usiri ulikuwa umezingira mipango ya mazishi ya Prigozhin, ambaye aliuawa katika ajali ya ndege Agosti 23, miezi miwili kuanzia siku alipoanzisha uasi uliosababisha changamoto kubwa sana tangu utawala wa rais Vladimir Putin uingie madarakani mwaka 1999. Awali Ikulu ya Kremlin ilikuwa imesema kuwa Putin hatahudhuria mazishi hayo. “Uwepo wa rais haukutarajiwa,” msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov aliwaambia...