Posts

Showing posts from August, 2023

TAMISEMI : TANGAZO LA MAJINA YA WALIOITWA KAZINI AWAMU YA PILI

Image
  TANGAZO LA KUITWA KAZINI Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inapenda  kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali za kada za afya waliowasilisha  maombi katika kipindi cha mwezi wa April, 2023 kuwa mchakato wa kuwapangia  vituo vya kazi umekamilika kwa awamu ya pili. Awamu hii ni kwa ajili ya kujaza nafasi  wazi za Watumishi waliokosekana wakati wa uchambuzi wa maombi ya awali. Mwezi Aprili, 2023; Ofisi ya Rais – TAMISEMI ilipata kibali cha ajira ya watumishi 8,070 wa  Kada mbalimbali za Afya. Baada ya mchakato wa ajira kukamilika, jumla ya waombaji wa  ajira wenye sifa wa kada za afya 5319 walipangiwa vituo vya kazi. Aidha, jumla ya nafasi  2,751 za kada ya afya zilikosa waombaji wenye sifa. Kada hizo ni Daktari Bingwa, Daktari  Msaidizi, Daktari wa Meno, Daktari wa Meno Msaidizi, Dobi, Fiziotherapia, Fundi Sanifu  Vifaa Tiba, Mteknolojia Macho, Mteknolojia Mionzi, Mteknolojia meno, Mteknolojia Msaid...

Mazishi ya mkuu wa mamluki wa Russia Yevgeny Prigozhin, ambaye aliuawa katika ajali ya ndege wiki iliyopita, yamefanyika kwa faragha

Image
  Picha ya mkuu wa mamluki wa Wagner, Yevgeny Prigozhin kwenye kumbukumbu ya muda iliyoko Moscow, Agosti 24, 2023. Mazishi ya mkuu wa mamluki wa Russia Yevgeny Prigozhin, ambaye aliuawa katika ajali ya ndege wiki iliyopita, yamefanyika kwa faragha kwenye makaburi yaliyoko nje kidogo ya mji aliotoka wa St Petersburg, chombo chake cha habari kimesema Jumanne. “Kuagwa kwa Yevgeny Prigozhin kulifanyika kwa faragha. Wale wanaotaka kumuaga wanaweza kutembelea makaburi ya Porokhovskoye,” chombo hicho cha habari kimesema katika chapisho fupi kwenye Telegram, ikiambatana na picha ya Prigozhin. Usiri ulikuwa umezingira mipango ya mazishi ya Prigozhin, ambaye aliuawa katika ajali ya ndege Agosti 23, miezi miwili kuanzia siku alipoanzisha uasi uliosababisha changamoto kubwa sana tangu utawala wa rais Vladimir Putin uingie madarakani mwaka 1999. Awali Ikulu ya Kremlin ilikuwa imesema kuwa Putin hatahudhuria mazishi hayo. “Uwepo wa rais haukutarajiwa,” msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov aliwaambia...

Baada ya kufukuzwa kazi mume naye kanikimbia ila....!

Image
  Tuliishi pamoja na mume wangu Kibet katika kaunti ya Lamu ambapo nilifanya kazi ya udaktari katika hospitali moja ya kibinafsi katika kaunti ile, mume wangu naye alifanya kazi ya uhandisi katika wizara ya ujenzi kwenye kauti ile. Maisha yetu yalikuwa ya kuvutia kwani hakuna wakati hata moja tuligombana na mume wangu kwani hali ilikiwa shwari kabisa ndani ya nyumba.   Wakati mwingine nilimpaa mume wangu hata pesa za matumizi na yeye pia alinipa pesa kidogo kutoka kwenye mshahara wake. Hali ilikuwa ni nzuri zaidi kwani upendo ulikuwa umetufikisha pazuri.  Siku moja nilienda ofisini na nikakumbana na barua fulani kwenye meza yangu, niliifungua na kuisoma na hapo nikakumbana na ujumbe kwamba hospitali ile ilikuwa ishanionyesha mlango wa kutokea. Niliporejea nyumbani na kumwarifu mume wangu yaliyonikumba alinipa moyo kwani alisema kuwa angewajibika kama kichwa cha familia ile kuhakikisha kwamba mahitaji ya nyumbani yanapatikana.  Nilipiga moyo konde na kufahamu kuw...

Rais wa Russia Vladimir Putin amewaamuru wapiganaji wa kundi la Wagner kutia saini kiapo cha kuitii serikali ya Russia

Image
  Rais wa Russia Vladimir Putin akiongoza mkutano wa wajumbe wa Baraza la Usalama kwa njia ya mtandao kwenye ikulu ya Kremlin mjini Moscow, Agosti 25, 2023 Rais wa Russia Vladimir Putin amewaamuru wapiganaji wa kundi la Wagner kutia saini kiapo cha kuitii serikali ya Russia baada ya ajali mbaya ya ndege iliyomuua kiongozi wa kundi hilo la mamluki, Yevgeny Prigozhin. Putin alisaini amri hiyo inayoleta mabadiliko na ilianza kutekelezwa siku ya Ijumaa, baada ya Kremlin kusema kwamba madai ya nchi za Magharibi kuwa Prigozhin aliuawa kwa amri yake ni “uongo mtupu”. Mamlaka ya usafiri wa ndege ya Russia ilisema kwamba Prigozhin alikuwa ndani ya ndege binafsi iliyoanguka Jumatano jioni kaskazini magharibi mwa Moscow na hakuna abiria aliyenusurika katika ajali hiyo, ambayo ilitokea miezi miwili baada ya Prigozhin kuongoza uasi uliofeli dhidi ya wakuu wa jeshi. Rais Putin alituma salamu za rambirambi kwa familia za waliofariki katika ajali hiyo siku ya Alhamisi na kumzungumzia Prigozhin kat...

Wagandana wakifanya ngono Hotelini, wote wana ndoa zao!

Image
  Kizaa zaa kilitokea Busia wakati ambapo umati wa watu ulifurika katika hoteli moja mjini humo wakitaka kujionea, mwanaume na mwanamke waliokua wamenaswa wakifanya tendo la ndoa, nje ya ndoa zao. Kila mtu aliyekuwa eneo hilo alitaka kufika kujionea wapenzi hao wawili wanaosemekana kukwamana walipokua wakishiriki tendo la ndoa, iliwalazimu walinda usalama kutumia vitoa machozi kuwatawanya watu hao waliokuwa wanaongezeka eneo hilo kwa wingi. Inasemekana wawili hao wamekuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu japo walikua na wenza wao kwenye ndoa zao, alikuwa mwanaume wa umri wa miaka 24, na mwanamke mwenye miaka 30, mara kwa mara walionekana pamoja wakitembelea hoteli hiyo.  Mumewe mwanamke huyo, Johnston Kabadi alisema mkewe ambaye wamekuwa kwenye ndoa kwa muda wa miaka 10, amekuwa akishiriki tendo la ndoa nje ya ndoa yao, na mara kwa mara alipomuuliza mwanamke huyo alikana kutofanya hivyo.  Alipofanya upelelezi na kugundua, hakuwa mwaminifu kwenye uhusiano huo aliamua kwenda ...

Top 10 sites for You

 TOP 10 SITES FOR YOUR CAREER 1. LinkedIn 2. Indeed 3. Careerealism 4. Job-Hunt 5. JobBait 6. CareerCloud 7. GM4JH 8. Personalbrandingblog 9. Jibberjobber 10. Neighbors-helping-neighbors TOP 10 SITES FOR FREE ONLINE EDUCATION 1. Coursera 2. edX 3. Khan Academy 4. Udemy 5. iTunesU Free Courses 6. MIT OpenCourseWare 7. Stanford Online 8. Codecademy 9. Open Culture Online Courses 10. Alison TOP 10 SITES TO LEARN EXCEL FOR FREE 1. Microsoft Excel Help Center 2. Excel Exposure 3. Chandoo 4. Excel Central 5. Contextures 6. Excel Hero 7. Mr. Excel 8. Improve Your Excel 9. Excel Easy 10. Excel Jet TOP 10 SITES TO REVIEW YOUR RESUME FOR FREE 1. Zety Resume Builder 2. Resumonk 3. Resume dot com 4. VisualCV 5. CvMaker 6. ResumUP 7. Resume Genius 8. Resumebuilder 9. Resume Baking 10. EnhanCV TOP 10 SITES FOR INTERVIEW PREPARATION 1. Ambitionbox 2. AceTheInterview 3. Geeksforgeeks 4. Leetcode 5. Gainlo 6. Careercup 7. Codercareer 8. InterviewUp 9. InterviewBest 19. Indiabix

Nimetoa uroda ili mume wangu apandishwe cheo kazini!

Image
  Kwa mtazamo wa haraka msomaji unaweza kunihukumu kwa kile nilichofanya na kuonekana kuwa si mwanamke anayefaa katika jamii bila kutambua shida na changamoto nilizokutana nazo hadi kufikia hatua hiyo. Wote tunatambua kuwa mwanamke ukishaolewa kazi yake kubwa ni kumsaidia mume wake kwa namna yoyote ile pia kumpatia furaha pale anapokosa kutokana na sababu mbalimbali za maisha. Mimi ni mwanamke wa miaka 37, mume wangu ni mfanyakazi wa serikari katika kitengo cha uwamiaji hapa mkoani, amefanya kazi kwa miaka 10 bila kupandishwa cheo kazini kwake.  Kila mara mume wangu aliniambia kuwa anafanya kazi kwa bidii na kwa umakini ila cha ajabu wenzake kila mwaka wanapandishwa vyeo ila yeye bado, kitendo cha mume wangu kukosa cheo kwa muda mrefu kilininyima raha kabisa.  Siku moja tulialikwa na mfanyakazi mwenzake Mr. Boniface ambaye alikuwa amepandishwa cheo kazini kwao na kuhamishiwa mkoa mwingine.  Tulijianda na mume wangu kisha kwenda kwenye ukumbi husika kwa ajili ya shere...

Watu 10 wafariki katika ajali ya ndege Russia Boss wa Wegner atajwa

Image
  Watu 10 wamekufa baada ya ndege binafsi iliyokuwa ikitokea Moscow kuelekea St. Petersburg kuanguka. Vyombo vya habari vya Urusi na maafisa wa anga wamesema kuwa mwanzilishi wa kundi binafsi la kijeshi la Urusi la Wagner, Yevgeny Prigozhin alikuwa kwenye orodha ya abiria wa ndege hiyo.  Hata hivyo haijafahamika mara moja kama alikuwa ndani ya ndege hiyo. Taarifa ambazo hazijathibitishwa zinaeleza kuwa ndege hiyo ni mali ya Prigozhin, ambaye aliongoza uasi mwezi Juni dhidi ya jeshi la Urusi.

Majambazi walionipora Pikipiki wajikuta wakila Nyasi!

Image
    Visa vya wizi wa pikipiki na bidhaa nyingine vimekuwa vikitokea mara nyingi katika eneo la Msambweni na Mombasa nchini Kenya jambo ambalo limekuwa likirudisha watu nyuma kimaendeleo.  Ni hivi karibuni tu ambapo rafiki yangu alivamia na genge la majambazi ambalo lilikua limejihami kwa bunduki na kuweza kumpokonywa Pikipiki yake. Aliweza kuripoti kisa hicho kituo cha Polisi cha Msambweni lakini hadi sasa, Pikipiki hiyo haijaweza kupatikana.  Vitendo hivi vya wizi, hutokea nyakati za jioni ambapo wezi hao huja na kujifanya wateja ambao wanasafari maeneo mbalimbali, wanapofika njiani hukuvamia na kukupokonya Pikipiki yako.  Siku moja nikiwa kazini kwangu alikuja mwanamke mmoja mwenye umri wa makamu na kuniomba nimpeleke kijiji cha Mpeketoni, niliweza kukubali kumsafirisha kwani ilikuwa kazi inayonipa fedha nyingi. Tukaanza safari, mwanamke huyo alikuwa anaongea sana, alikuwa anapigiwa simu mara kwa mara, alichozungumza na aliyempigia sikuweza kufahamu kwani aliz...

Nimepata mtoto baada ya kuachika katika ndoa tatu!

Image
   Nimepata mtoto baada ya kuachika katika ndoa tatu Nimepata mtoto baada ya kuachika katika ndoa tatu Naweza kusema katika maisha kila jambo huwa na wakati wake, huwezi kulazimisha mambo kutokea wakati muda wake bado hajafika, ni kama kifaranga cha kuku, ukipasua yai kabla ya muda wake huwezi kupata kifaranga.  Ndivyo ilivyokuwa katika maisha yangu na yale niliyopitia katika ndoa zangu tatu za mwamzo, kila mwanaume ambaye alinioa alitaka nimzalie mtoto na alipoona muda unaenda bila kushika ujauzito alifunikuza.  Hakuna ubishi ni kwamba walishindwa kujua ni muda wangu wa kuzaa mtoto haujafika. Nilikuwa najipa moyo kuwa kuna muda wangu utafika lakini muda nilikaaa na kuwa na mawazo sana hasa nilipoachana na mume wangu wa tatu.  Baada ya muda wa kama mwaka mmoja nilikuja kukutana na huyu mwanaume wangu wa sasa, alinipenda na tukaanzisha mahusiano ambayo naweza kusema mwanzo yalikuwa matamu ajabu.  Tuliendelea kupenda hadi ukifikia muda akaniambia kuwa anataka...

Nimeteseka sana na mpenzi ila nimepata tulizo la moyo

Image
    Hapa duniani ni matarajio ya kila kijana awe wa kike au wa kiume atakapofikisha umri wa utu uzima ataweza kumpata mchumba mwema na kufunga naye ndoa. Nilidhamiria kupata mume atakayenipenda na kunithamini kila wakati na chochote kile kisije kikatutenganisha maishani mwetu, japo hayo yote hayakuweza kutimia kwa urahisi.  Kwa sasa nasema kama nisingeweza kukutana na wataalam, African Doctors wanaotatua mengi katika mahusiano na ndoa, basi nisingeweza kufikia ndoto zangu. Kabla sijasimulia safari yangu ya kumpata mchumba wangu kwa usaidizi wa African Doctors, ningependa utakapomaliza kusoma utembelee tovuti hii; www.african-doctors.com ili kufahamu mengi.  Nilipofikisha miaka18 nilianza kupata hamu ya kuwa kwenye uhusiano, nilimpata kijana mmoja kwa jina la James ambaye tulisoma naye katika moja wapo wa vyuo vikuu nchini Kenya. Urafiki wetu ulikua kwa haraka sana na kufikia kuwa wapenzi wenye kupendana sana.  Hata hivyo, sikuweza kugundua kuwa James hakuwa mwam...

6 wafariki baada ya kudumbukia kwenye shimo muda mchache kabla ya harusi

Image
  Takriban watu sita waliokuwa wakipanga kuhuduria harusi wamefariki baada ya kuanguka ndani ya shimo la maji wakati walipokuwa wakicheza densi. Ajali hiyo imetokea katika Kihunguro, Kaunti Ndogo ya Ruiru viungani mwa mji mkuu Nairobi, Kenya wakati watu hao walipokuwa wakidensi juu ya mwamba wa zege unaofunika kisima cha maji ambao uliporomoka na kuanguka nao ndani ya shimo la maji, vimeripoti vyombo vya habari nchini humo. Kulingana na Msemaji wa Polisi wa Kiambu, kundi hilo la watu walikuwa wamesimama katika nyumba ya rafiki yao Jumamosi ili kujiburudisha wakati takriban 11 kati yao walikufa maji baada ya zege hilo la mfuniko wa shimo la maji kuporomoka. Polisi wanasema lazima kisima hicho kilibomoka kutokana na uzito wa watu waliokuwa wamesimama juu yake. Shughuli ya uokoaji ikiongozwa na kikosi cha zima moto na maafisa kutoka kituo cha polisi cha Kihunguro ilianza baadaye na watu 6 walipatikana wakiwemo wakiwa wamefariki akiwemo mtoto mmoja. Hata hivyo, polisi wamethibitisha ku...

Majambazi walionipora gari wajisalimisha Polisi wenyewe

Image
  Visa vya wizi wa magari vimekuwa vikiripotiwa kwa wingi katika maeneo mbalimbali nchini Kenya, kila wiki utasikia habari kwenye chombo cha habari kisa kimoja au viwili vikiripotiwa kuhusu wizi wa magari.   Ni hivi majuzi niliweza kukumbana na wizi huo baada ya gari langu aina ya Harrier kuporwa na majambazi, hiyo ni baada ya hivi majuzi tu moja wa rafiki zangu naye kuibiwa gari lake katika barabara kuu ya Thika.  Aliweza kuripoti kisa hicho katika kituo cha Polisi cha Kamukunji lakini hadi kufikia sasa hakuna mtu yeyote amenaswa kufuatia wizi huo, ni jambo la kuumiza sana.  Kabla ya kutokea, niliweza kushuhudia kisa hicho ndotoni, niliota kuwa majambazi wawili waliokua wamejihami kwa slaa waliweza kunisimamisha barabarani na kudai kuwa ni maafisa wa trafiki. Kumbe yalikua madai ya uongo, waliweza kunifunga pingu, na kunipokonya gari langu na kutoweka. Ndoto hiyo iliweza kunipa kiwewe kila wakati nikiwa katika shughuli zangu za usafirisaji abiria (Taxi), niliwe...

Mtoto wa Bosi kanipenda, nimemuoa ila changamoto ni hii!

Image
  Nafanya kazi katika moja ya shule za Secondary katika mkoa wa Kagera, nimefanya kazi katika shule hii kama mwalimu wa Biology na Chemistry kwa miaka minne sasa. Shule hii ina wanafunzi kuanzia Primary hadi form six  hivyo kuna walimu wanaofundisha  masomo mbalimbali katika shule hii. Kutokana na ukubwa wa shule hii na idadi kubwa ya wanafunzi kuwa wengi, kuna viongozi mbalimbali wa shule na mwenye shule zote ameweza kuwapa watoto wake nafasi mbalimbali katika shule yake na miongoni mwa watoto wake kuna  mke wangu ambaye anaitwa Upendo ambaye ndiye mtoto wake wa kwanza. Kazi kubwa ambayo alikuwa anafanya ni kusimamia mishahara ya wafanyakazi wa shule zote, hivyo alikuwa anajua yupi anapata mshahara mkubwa au mshahara mdogo na shughuli mbalimbali za shuleni.  Katika harakati zangu za kufanya kazi Upendo aliweza kuwa mtu wa karibu sana kwangu japo alikuwa ni Bosi wangu pia ni mtoto wa Bosi mkubwa. Ukaribu wangu na yeye ndiye mwenyewe aliuanzisha kwa sababu upande...

WAMILIKI WA SHULE BINAFSI, VYUO KUKUTANA DAR KESHO KUJADILI MASUALA YA ELIMU

Image
  Mwenyekiti wa Wamiliki wa Shule Binafsi katika Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt Amani Lymo akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mkutano wao mkuu utakaofanyika kesho. Wamiliki wa shule binafsi Mkoa wa Dar es salaam wameiomba serikali kutupia jicho la tatu suala la wanafunzi wanaohitimu masomo kwenye Shule binafsi ili na wao waweze kupata Mikopo kama wengine kwakuwa baadhi yao wanashindwa kuendelea na Elimu ya juu Kwa kukosa fedha Ujumbe huo umetolewa na viongozi wa ubimiliki wa shule binafsi mkoa wa Dar es salaam wakati wakizungumza na waandishi wa habari kuhusu mkutano Maalum utakaokutanisha wamili wa shule 709 na vyuo 41 pamoja na wadau mbalimbali kwa lengo la kujadili kwa kina mambo muhim kuhusu sekta ya Elimu na kuweka mikakati ya pamoja ya Kuboresha zaidi elimu nchini Katika Mkutano huo utakaofanyika jumatano hii utajadili Masuala muhimu kwenye sekta ya Elimu  ikiwemo kuanzisha sakosi ya Wamiliki wa shule binafsi,kuhusu wanafunzi wanaohitimu kwenye Shule binafsi kukosa ...

Libya Yatuma Ombi Kwa Lebanon La Kumuachilia Mwana Wa Kiume Wa Gadhafi

Image
  Mtoto wa kiume wa Moammar Gadhafi, Hannibal Gadhafi, ambaye anashikiliwa Lebanon. Picha ya maktaba. Mamlaka za kisheria nchini Libya zimewasilisha ombi rasmi kwa Lebanon kumuachilia mmoja wa watoto wa kiume wa kiongozi wa zamani wa taifa hilo Mommar Gadhafi Mamlaka za kisheria nchini Libya zimewasilisha ombi rasmi kwa Lebanon kumuachilia mmoja wa watoto wa kiume wa kiongozi wa zamani wa taifa hilo Mommar Gadhafi, Hannibal Gadhafi. Hannibal Gadhafi alifungwa jela bila kufunguliwa mashitaka tangu 2015, na maafisa wa afya wamesema kwamba ombi hilo ni kutokana na kuzorota kwa afya yake. Ripoti zimeongeza kuwa afya yake ilianza kuzorota tangu alipoanza kususia chakula hapo Juni 3, akipinga kuwekwa jela bila kufunguliwa mashtaka. Tangu wakati huo amepelekwa hospitali mara mbili , na amekuwa akinywa maji pekee. Kulingana na maafisa wawili wa mahakama wa Lebanon, mwendesha mashtaka mkuu wa Libya Al Sediq al Sour alituma ombi mapema mwezi huu kwa mwenzake wa Lebanon Ghassan Queidat, kuhus...

Hii dawa imenifanya naweza kula tunda vizuri sasa!

Image
  Ukweli ni kwamba heshima ya kweli anayopewa mwanaume kutoka kwa mke wake ni pale ambapo anatimiza majukumu yake vizuri ya kuihudumia familia, na kubwa zaidi ni pale wakati wa kula chakula cha usiku, mume ahakikishe mke kala na kuridhika.  Wakubwa tunaelewana vizuri katika jambo hilo nyeti zaidi, huo ni uwanja wetu wa vita wa kujidai na kuonyesha uwezo wetu na kudhihirisha uanaume wetu.  Niseme katika ndoa yangu kuna kipindi nilikubwa na tatizo la kiafya ambalo lilipelekea mimi kushindwa kumridhisha mke wangu hadi akafikia hatua ya kuanza kunidharau na kutamka wazi wazi ataenda nje ya ndoa yetu.  Kwenye ndoa nimeishi kwa miaka mingi, nimeona mengi, nimepitia milima na mabonde, kupanda na kushuka, kulia na kucheka hadi sasa nipo na mke wangu.  Naweza kusema kama sio African Doctors ndoa yangu tayari ingekuwa ishavunjika, namshuru rafiki yangu mmoja aliyenipatia namba za mtu huyo, mimi huita namba hiyo namba ya maajabu kwa kile nilichotendewa.  Basi nilionge...

MISHONO YA KISASA YA VITENGE KINIGERIA NA ANKARA 2023

Image
 Hii hapa Ni mitindo mipya ya ushonaji wa vitenge fashenk mbalimbali pendwa za KINIGERIA na ki ankara.  MISHONO mikali ya VITENGE mwaka huu 2023