Posts

Showing posts from June, 2021

Amteka mpenzi wake akitaka arudishiwe hela alizo honga, amuua

Image
Jeshi la Polisi Mkoani Geita linamshikilia mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 30 kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake aitwaye Esta John (28) mkazi wa Ibamba Wilaya Bukombe Mkoani humo ambaye kabla ya kifo chake alitekwa nyara na mpenzi wake. Katika taarifa ya Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita Henry Mwaibambe aliyoitoa kwa waandishi wa habari inasema kwamba mwanamke huyo aliondoka nyumbani kwake juni 13 mwaka huu akiwa na mtu aliyesemekana ni mpenzi wake. Baada ya kutoweka kwa muda mwanaume huyo ambaye jeshi la polisi halijamtaja kwa majina yake, alianza kuwapigia simu wazazi wa mwanamke akihitaji kulipwa pesa alizokuwa akimuhudumia kwa ahadi ya kumuoa na kwamba mtuhumiwa alibaini kuwa sio mwaminifu . Kamanda Mwaibambe amesema baada ya taarifa kufika katika vyombo vya usalama upelelezi ulianza mara moja na kufankiwa kumkamata mtuhumiwa huyo akiwa na mali za marehemu ambaye alimteka nyara. “Katika mahojiano alikiri kumteka nyara mwanamke huyo akishinikiza kulipwa gharama alizotumia k...

TANZIA: MHANDISI MFUGALE AFARIKI DUNIA

Image
  Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale, amefariki dunia leo Juni 29, 2021 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma. Taarifa zinaeleza kuwa Mhandisi Mfugale aliondoka jana jijini Dar es Salaam na kuelekea Dodoma akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi kwa safari ya kikazi ambapo majira ya saa tano asubuhi ya leo, alianza kujisikia vibaya na kukimbizwa hospitali ambapo muda mfupi baadaye, alifariki dunia. Enzi za uhai wake, Mfugale atakumbukwa kwa kufanya utafiti na kutengeneza mfumo wa madaraja nchini ambapo miongoni mwa madaraja aliyosimamia ujenzi wake ni Daraja la Kikwete lililopo kwenye Mto Malagarasi, Daraja la Mkapa lililopo Rufiji, Daraja la Umoja linalounganisha Tanzania na Msumbiji lililopo Ruvuma na Daraja la Nyerere lililopo Kigamboni jijini Dar es Salaam. Pia Mfugale atakumbukwa kwa kubuni na kusimamia ujenzi wa barabara za kitaifa zenye urefu wa takribani kilometa 36,258 na ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa kikosi cha ujen...

Meseji nzuri za kumtumia mpenzi wako ili akupenda zaidi

Image
  Kila wakati nimekuwa nikisema ya kwamba maneno mazuri yana mchanago mkubwa sana katika mahusiano ya kimapenzi. Hivyo kila wakati tumia maneno mazuri ili kufanya mpenzi wako akupende daiama. Zifuatazo ndizo massage nzuri za kumtumia mpenzi wako ili akupende daiam: 1. Wangu kipenzi ninayekuenzi, jua wanitia uchizi na kuninyima usingizi, sijui kama una kizizi au ni mapenzi ndiyo yaninyima huo usingizi, la azizi nimekumiss kichizi, u hali gani mpenzi? 2. Japo umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi, sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika kwako mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza mpenzi nitunziye langu penzi! 3. Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yako hifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda. 4. Mpenzi najua u-mbali nami, majaribu ni mengi wapaswa kujihami, nitunzie zangu zabibu wangu tabibu, jitahidi kuwa mvumilivu nitakuja kukutibu, miss u ma luv. 5. Hak...

VIDEO | Bahati Ft. Rayvanny – KISS

Image
 

MDOGO WA BAPPE ASAINI PSG

Image
MDOGO wa nyota wa kabumbu wa Klabu ya Paris Saint-Germain, Kylian Mbappe aitwaye Ethan Mbappe mwenye umri wa miaka 15, amesaini kandarasi mpya ya miaka mitatu hadi 2024 klabu hiyo ya Paris Saint-Germain.   Ethan ana uwezo wa kucheza kama mshambuliaji wa kati au winga ambaye alikuwa na kiwango bora kabisa kwenye mashindano ya International Champions Cup ya mwaka 2019.   Pia PSG kupitia tovuti yake wametangaza kumsajili Kinda Senny Mayulu ambaye amezaliwa mwaka 2006 na amesaini mkataba wa miaka mitatu mpaka 2024

8 Penis-Friendly Foods to Boost T-Levels, Sperm Count, and More

Image
Erectile dysfunction in younger men is rising , and about  1 in 8 men  will develop prostate cancer in their lifetime — so your sexual health and prostate health may be top of mind. One unexpected way you can improve your sexual health is — surprisingly — through diet. Share on Pinterest Ilka & Franz/Getty Images The foods you eat provide the building blocks you need to power your body, including the penis and other sexual organs. However, instead of eating as if your penis needs special attention, you can fill your day with nutritious whole foods that help your blood deliver the nutrients your penis, prostate, and other sexual organs need to function optimally. Whether your concern is low testosterone levels,  erectile dysfunction , or prostate health, these foods may help boost your sexual health and function. 1. Spinach Share on Pinterest Nevena Zdravic/EyeEm/Getty Images Spinach worked for Popeye, and it may help you, too. Spinach  is rich in  folate , a...

VIDEO | Diamond Platnumz – Kamata

Image

Breaking NEWS: Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Kada wa CHADEMA Mdude Nyagali

Image
Leo Juni 28, 2021 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Kada wa CHADEMA Mdude Nyagali baada ya kutomkuta na hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kusafirisha madawa ya kulevya

Tanzania kuanzisha utalii wa lugha ya Kiswahili

Image
  Wizara ya Maliasili na Utalii imesema kuwa inampango mkakati wa kuanzisha utalii wa lugha ya Kiswahili kwenye maeneo yote yenye kumbukumbu kama Butiama kwa lengo la kuwawezesha watalii kujifunza Kiswahili pamoja na kusimuliwa historia na kumbukumbu za waasisi wa Taifa. Kauli hiyo imetolewa leo Juni 28, 2021, na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mh. Mary Masanja wakati akijibu swali la mbunge wa viti maalum, Esther Matiko, aliyehoji mpango wa serikali wa kuyaboresha maeneo aliyozaliwa na kuzikwa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere ili pawe historical site kama ilivyo Afrika Kusini kwa Hayati Nelson Mandela. "Serikali ina mpango wa kuanzisha utalii wa Kiswahili kwenye maeneo hayo yenye kumbukumbu ili mtalii anapofika katika maeneo hayo ajifunze lugha ya Kiswahili, lakini pia atasimuliwa historia na kumbukumbu ya waasisi wetu walikuwaje na walifanya nini na ukizingatia Mwalimu Nyerere alikuwa ni Muasisi wa kuboresha lugha yetu hii," amejibu Naibu Waziri Mh. Mary Masanja

Breaking : MAJINA YA WALIMU & WATUMISHI WA AFYA AJIRA MPYA WALIOPANGIWA VITUO VYA KAZI MWAKA 2021

Image
  Ofisi ya Rais TAMISEMI,inapenda kuwatangazia Umma kuwa,imekamilisha mchakato wa kuchambua maombi ya ajira ya Elimu na Afya iliyotangazwa tarehe 09/05/2021 Kuona Orodha ya Walimu  Bofya hapa    posted-applicants - 2021-06-25.pdf Kuona Orodha ya Kada ya Afya Bofya hapa    ORODHA YA WATUMISHI WA AJIRA MPYA KADA YA AFYA 25 JUNI, 2021.pdf

Rais Samia:Nchi imekumbwa na Wimbi la Tatu la Corona

Image
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema tayari nchi imekumbwa na wimbi la tatu la ugonjwa wa COVID-19 na kwamba wagonjwa wa ugonjwa huo wapo na kuwaomba viongozi wa dini kuwakumbusha  waumini kuhusu umuhimu wa kujikinga na ugonjwa huo, ili Taifa liweze kujiepusha na vifo vya makundi makundi.   Kauli hiyo ameitoa leo Juni 25, 2021, mkoani Dar es Salaam, alipokutana na kuzungumza na viongozi wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini (TEC), ambapo ametumia nafasi hiyo pia kuwaomba viongozi wa dini nchini kutoa elimu ya kujikinga kwa waumini wao ikiwemo kuwasisitiza kuchukua tahadhari na kufuata ushauri unaotolewa na wataalam wa afya.   “ Sasa hivi kuna wimbi la tatu la Corona, ishara ndani ya nchi tayari zinaonekana tayari tuna wagonjwa ambao wameshaonekana katika hili wimbi la tatu, kama mnakumbuka siku nimetembelea hospitali ya Mwananyamala daktari aliniambia kuna wodi ya wagonjwa wenye matatizo ya kupumua, “  alisema Rais Samia. ...

AUDIO | Diamond Platnumz – Kamata | Download

Image
  AUDIO | Diamond Platnumz – Kamata | Download Download | Diamond Platnumz – Kamata [Mp3 Audio] Stream, Download & Share    https://dplatnumz.lnk.to/kamata

Upendo unahitaji mambo haya

Image
  Upendo unahitaji mambo yafuatayo ambayo ndio msingi wa upendo. Kuna vitu ambavyo upendo unahitaji; 1. Tumaini (Hope) Upendo unahitaji Tumaini, kwa lugha ya Kiyunani ‘elpis’ lenye maana ya (a) Favourable (b) Confident, expectation 2. Uvumilivu (patience) Upendo unahitaji uvumilivu kuvumiliana. Hakuna mwanadamu aliyekamilika katika mambo yote, unajua Waswahili wanasema “mvumilivu hula mbivu “ mvumilivu katika upendo maana yake hii ni shule ya kila siku, tunajifunza kutokana na makosa. Uvumilivu unatakiwa sana katika upendo - unajua kumfanya mwenzi wako kuwa kama wewe unavyotaka awe inahitaji uvumilivu. Hilo ni kweli, maana mmetoka mazingira tofauti na malezi tofauti; hivyo kumbadilisha inahitaji uvumilivu. 3. Kiasi Kiasi ni kitu muhimu. Chochote kinachofinywa zaidi ni hatari, unatakiwa uwe na kiasi katika mambo yako ili uweze kudumu katika upendo maana upendo unahitaji kiasi. Usijifanye uko (busy) sana unakosa hata nafasi/muda wa kukaa na mwenzi wako, lakini wewe unarudi usiku, huo...

AUDIO | Alikiba Ft Rudeboy – Salute | Download

Image
  Download  | Alikiba Ft Rudeboy – Salute [ Mp3 Audio ]