Breaking NEWS: Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Kada wa CHADEMA Mdude Nyagali



Leo Juni 28, 2021 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Kada wa CHADEMA Mdude Nyagali baada ya kutomkuta na hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kusafirisha madawa ya kulevya

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?