Posts

Showing posts from June, 2018

MAKONDA ATANGAZA AJIRA KWA JKT, MGAMBO

Image
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akizungumza na waandishi wa habari alipotangaza JKT na mgambo kufika ofisini kwake  kupatiwa ajira ya kusimamia usafi na kuwatoza faini wachafuzi wa mazingira jijini.     Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  amewataka vijana waliomaliza mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na mgambo ambao hawana  kazi kufika ofisini kwake Ijumaa ya Julai 06 mwaka huu ili  kupatiwa ajira ya kusimamia usafi na kuwatoza faini wachafuzi wa mazingira katika jiji la Dar es Salaam. Makonda amesema katika fedha itakayotozwa kwa wachafuzi wa mazingira asilimia 50% itakwenda kwenye halmashauri na asilimia 50% kwa vijana wa JKT na mgambo ambapo kabla vijana hao hawajakabidhiwa jukumu hilo watapewa mafunzo ya sheria ya usafi. “Katika kutatua tatizo la ajira kwa vijana sambamba na kuufanya mji kuwa katika hali ya usafi baada ya mbinu nyingi zilizokuwa zikitumiwa  kuhamasisha usafi kutokuwa na matokeo maz...

MMILIKI MABASI YA ZACHARIA AWAPIGA RISASI USALAMA WA TAIFA

Image
MMILIKI wa mabasi ya ‘Zacharia’,  Peter Zacharia,  anashikiliwa na vyombo vya dola mkoani Mara kwa tuhuma za kuwapiga risasi maofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa wakiwa katika majukumu yao. Maofisa hao wanasemekana wako hospitali ya mjini Tarime wakipata matibabu ambapo mmiliki huyo wa mabasi anategemewa kufikishwa mahakamani wakati wowote.

UKIWA NA SIFA HIZI LAZIMA UOLEWE!

Image
M OJA  kati ya kilio kikubwa cha mabinti ni kupata wanaume sahihi wa kuwaoa. Ishu si tu kuolewa lakini kupata mume sahihi ni jambo lingine. Wengi wanaishia kukutana na wanaume ‘wasanii’ ambao hawana mpango wa ndoa. Wao wanafurahia maisha ya ujana hadi pale watakapojisikia. Kwa kuwa kiasili mwanaume ndio humfuata mwanamke, fursa ya kuanza kuchagua mke mtarajiwa, mchumba, ‘girlfriend’ huwa inaanza kwa mwanaume. Wazo la kukufanya wewe kuwa rafiki, mchumba na baadaye mke mara nyingi huwa linaanza kwa mwanaume. Hivyo basi utakubaliana na mimi kwamba, kwa kiasi kikubwa mwanaume ndio mwenye ‘funguo’ ya ndoa. Ndiye anayeweza kusema ‘Yes’ au ‘No’. Mara nyingi mwanaume ndiyo mwenye maamuzi ya kusema nioe au nisioe kwa sasa. Ndio mwenye uamuzi wa kusema nioe mwanamke huyu au nisimuoe nitaoa mwingine. Nimuoe huyu kwa sababu ananifaa, nimuache huyu kwa sababu hanifai. Licha ya kuwa mwanaume anaweza kuwa na matatizo yake lakini pamoja na yote hayo, jukumu la kufanya maamuzi huwa linaba...

Nafasi na ubunifu katika michezo wa watoto, michongoano by P. M. Ngugi, katika juzuu ya 08. Kioo cha lugha

Image
By masshele.com Nafasi na ubunifu katika michezo wa watoto,  michongoano by P. M. Ngugi,  katika juzuu ya 08. Kioo cha lugha >>>     http://docdro.id/SArLSGC Kabla ya kuingia katika link hiyo omba paswed katika,  massheleemanuel@gmail.com , whatsapp +255766605392,

SIMBA YAFUATA KIUNGO COLOMBIA NA URUGUAY

Image
Kaimu Rais, Salim Abdallah ‘Try Again’. UONGOZI wa Klabu ya Simba, chini ya Kaimu Rais, Salim Abdallah ‘Try Again’, unaendelea na mchakato wa kuimarisha kikosi chao ambapo upo kwenye mchakato wa kwenda kusaka kiungo matata katika nchi za Amerika Kusini. Simba ambayo juzi iliwatangaza kipa Deogratius Munish ‘Dida’, beki Pascal Wawa na mshambuliaji Meddie Kagere, imesema sasa ni zamu ya kuimarisha nafasi ya kiungo. Katika nchi za Amerika Kusini ambazo Simba imepanga kwenda kumchukua kiungo huyo matata ni Chile, Colombia na Uruguay. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba, kimelieleza kuwa, usajili wa kiungo huyo utafanywa kwa umakini mkubwa kwani baada ya kuimarisha sehemu nyingine, sasa ni zamu ya nafasi hiyo kuongezewa nguvu. “Usajili kwetu haujamalizika, kama unavyojua kwenye timu kuna sehemu ile za kati lazima iwe imara ambayo huitwa uti wa mgongo. “Tumefanya marekebisho kwenye nafasi ya kipa, beki wa kati na mshambuliaji, sasa ni zamu ya kiungo wa kati. “Kiungo hu...

AUDIO | Nasibu The VIBE - WATAPATA TABU SANA | Download

Image
DOWNLOAD

VIDEO | Young killer Ft. Ben Pol and Dully - Hunijui

Image

VIDEO | Dogo janja - Banana

Image

AUDIO | Dogo janja - Banana | Download

Image
DOWNLOAD Link1 DOWNLOAD Link2

Baba amuua Mtoto wake kisa Maparachichi

Image
Polisi nchini Kenya linamsaka Mr. Morris Kirema kwa kosa la kumuua Mtoto wake mwenye miaka 12 na kumjeruhi Mtoto wake mwingine mwenye miaka 8 kwa kutumia panga na mateke akiwashutumu Watoto hao kula maparachichi kutoka katika shamba la jirani yao. Mr. Morris anadaiwa kutumia mateke, ngumi pamoja na panga kuwaadhibu Watoto hao baada ya kula maparachichi kutoka katika shamba la jirani yao na kupelekea Mtoto wake huyo wa kiume mwenye miaka 12 kufa hapohapo. Kwa upande wa Mtoto wa kike mwenye miaka 8 yeye amejeruhiwa vibaya sana pamoja na Mama yake ambao wanapatiwa matibabu katika hospitali moja nchini humo. Inadaiwa kuwa mwenye shamba ambalo Watoto hao waliiba maparachichi hayo alidai alipwe kutokana na kitendo walichokifanya Watoto hao na ndipo Mr. Morris alipokasirika na kunuia kuwa lazima atawaua Watoto hao wakirudi kutoka shule. Aidha duru za kuaminika zinasema kuwa Mwanaume huyo anasumbuliwa na uraibu wa michezo ya bahati nasibu na amekuwa akiwa mchungu a...

LORI LA MAFUTA LALIPUKA, LAUWA 9

Image
Watu 9 wamefariki na magari 54 kuungua baada ya lori moja la mafuta kulipuka na kukamata moto barabarani wakati magari yakiwa kwenye foleni nchini Nigeria June 29. Lori hilo liligongana na gari moja la abiria na kuanza kuwaka moto barabarani hapo wakati magari yakiwa kwenye foleni majira ya saa 11 jijini Lagos nchini Nigeria. Inataarifiwa kuwa vifo kutokana na ajali hiyo vinategemewa kuongezeka kutoka Watu 9, huku moto huo ukiyafanya zaidi ya magari 50 yawe nyang'anyang'a. Duru za kuaminika zinasema kuwa Watu waliofariki ni wale ambao walikuwa karibu na lori hilo ambalo lililipuka na kuwaka moto huku Watu wengine wakikimbia na kuacha magari yao kuokoa uhai wao. Hata hivyo imeelezwa kuwa ajali za namna hiyo nchini Nigeria sio ngeni kwa maana huwa zinatokea mara kwa mara.

16 Bora Za Kombe La Dunia 2018 Kuanza Jumamosi Hii kwa mchezo mkali kati ya Ufaransa na Argentina

Image
Hatua  ya 16 Bora ya Kombe la Dunia inaanza Jumamosi kwa mchezo mkali kati ya Ufaransa na Argentina mjini Kazan, huku England ikimenyana na Colombia Julai 2.   Mechi za nyingine za 16 Bora ni kati ya Uruguay na Ureno Jumamosi pia, Hispania na Urusi, Croatia na Denmark, Jumapili, Brazil na Mexico, Ubelgiji na Japan na Sweden na Uswisi Julai 2 Jumatatu.   Hiyo ni baada ya mechi za makundi kukamilishwa jana, bao pekee pa Adnan Januzaj dakika ya 51 likiipa ushindi wa 1-0 Ubelgiji dhidi ya England kwenye mchezo wa Kundi G.    Ubelgiji inamaliza katika nafasi ya kwanza kwenye Kundi G kwa pointi zake tisa, ikifuatiwa na England yenye pointi sita na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora huku Tunisia na Panama zikiishia hapa. Neymar ataiongoza Brazil katika mechi dhidi ya Mexico Jumatatu hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia Hali mbaya kwa Afrika, baada ya timu zake zote kutolewa hatua ya kwanza tu, kufuatia Senegal kuungana na Nigeria, Morocco, Misri na Tuni...

AUDIO | Young Killer Ft. Ben Pol & Dullyskyes - Hunijui | Download

Image
DOWNLOAD

JE WEWE NI WA TABIA IPI?

Image
    JE WEWE NI WA TABIA IPI? Watu wowote unaokutana nao katika mzungumko wa maisha kama vile shuleni, katika biashara, safarini, maeneo ya ibada au sehemu nyingine yoyote lazima wataonyesha moja ya aina tatu za tabia. Aina hizi ni; 1. Wale watukutu (wajeuri), 2. Wale wapole, waliotayari kushuka na kukubali  na 3. Wale wabishi na wenye misimamo binafsi. Kama unataka kujua jinsi yakuishi na watu wenye tabia ngumu basi ni lazima ujue aina hizi za tabia ambao zinajumuisha karibu aina za watu wote na pia kufahamu namna ya kupunguza athari zake. Njia moja kubwa na nzuri ya kufanya hili ni wewe mwenyewe kuwa katika kundi la pili la aina za tabia (mpole, unayeweza kukubali na kushuka) bila hivyo itakuwia vigumu. Tuangalie tabia hizi kwa undani na namna ya kuzishuhulikia. 1. Watu watukutu na wajeuri (Aggressive) Hawa ni watu wapendao kuwa na ubabe hasa katika maneno, wanaweza wakakutoa machozi bila kukupiga bali kupitia maneno yao yaumizayo, yaliyojaa dharau, ka...

KWANINI WANAUME WENGI NI WAOGA KUOA WANAWAKE WAZURI LAKINI WAKO TAYARI KUWAFANYA WAPENZI WA PEMBENI?

Image
KWANINI WANAUME WENGI NI WAOGA KUOA WANAWAKE WAZURI LAKINI WAKO TAYARI KUWAFANYA WAPENZI WA PEMBENI? Ni ukweli kwamba wako wanawake wengi sana ambao wanahesabu kuwa ni Baraka na jambo la kumshukuru Mungu kwa kuwaumba wenye sura nzuri na wenye mvuto. Pamoja na ukweli huu, ni wazi na imethibitika kwamba wako wanawake ambao wanahesabu kuzaliwa warembo ni mojawapo ya laana au mkosi kwasababu ya zile hali ambazo wamezipitia hususani katika mahusiano yao ya kila siku na wanaume. Mara kwa mara kumekuwepo na tabia ya wanaume kutamani sana kuwa kwenye mahusiano na wanawake warembo, na hupenda kuwatongoza hao mara kwa mara ingawa moyoni mwao wanawaangalia warembo hawa kama wasichana wa kula nao raha tu “ good time girls”  na wala sio wake wakuoa. Utakubaliana na mimi labda umewahi kuona mwanaume anakuwa kwenye mahusiano na binti mzuri sana kisura na kiumbo tena wanakuwa kwenye mapenzi kwa muda mrefu tu huku huyu binti akijua mbeleni kuna ndoa, ghafla ukija kusikia huyu kaka anao...