Posts

Showing posts from April, 2018

HAWA NDIO YANGA AFRIKA VS SIMBA

Image
Kikosi cha Yanga kitakachoanza dhidi ya Simba SC, mchezo wa Ligi Kuu Bara 1. Youthe Rostand 2. Hassan Kessy 3. Gadiel Michael  4. Andrew Vincent 5. Kelvin Yondani 6. Said Makapu 7. Yusuph Mhilu 8. Papy Tshishimbi 9. Obrey Chirwa 10. Raphael Daud 11. Ibrahim Ajibu Kikosi cha akiba 12. Ramadhani Kabwili 13. Juma Abdul 14. Abdalah Shaibu 'Ninja' 15. Maka Edward 16. Pius Buswita 17. Emmanuel Martin 18. Juma Mahadhi

Kikosi cha Simba SC kitakachoanza dhidi ya Yanga SC, mechi ya Ligi Kuu Bara

Image
1. Aishi Manula 2. Erasto Nyoni 3. Nicholas Gyan 4. Yusufu Mlipili 5. James Kotei 6. Jonasi Mkude 7. Asante Kwasi 8. Shomari Kapombe 9. John Bocco 10. Emanuel Okwi 11. Shiza Kichuya Kikosi cha akiba 12. Mohamed Nduda 13. Paul Bukaba 14. Said Ndemla 15. Mzamiru Yassin 16. Laudit Mavugo 17. Rashid Juma 18. Mohamed Hussein

KKKT yawatenga Maaskofu wake watatu kwa Kuupuza Waraka

Image
Maaskofu watatu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ‘wametengwa’ na kanisa hilo kwa tuhuma za usaliti unaohusishwa na masuala ya kisiasa. Mbali na Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dkt Alex Malasusa aliyeripotiwa jana na vyombo vya habari kwamba ametengwa, wengine ni Dkt Solomon Massangwa wa Dayosisi ya Kaskazini Kati na Dkt Lucas Mbedule wa Dayosisi ya Kusini Mashariki. Hatua ya kuwatenga maaskofu hao ilifikiwa katika mkutano wa Baraza la Maaskofu wa KKKT uliofanyika Aprili 24 na 25 jijini Arusha kujadili masuala mbalimbali ikiwamo kufanya tathmini ya waraka wake wa Sikukuu ya Pasaka lililoutoa Machi 24.    Habari za uhakika kutoka ndani ya Baraza hilo zinasema kwamba pia limewapa maaskofu hao watatu muda wa kuandika barua kueleza kama wanakubali au kukataa waraka huo ambao lilisema walishiriki kuuandaa na ikiwa hawatafanya hivyo hatua zaidi dhidi yao zitachukuliwa. Kwa hatua hiyo waumini wa dayosisi zao hawatakuwa na uwakilishi kweny...

NAFASI ZA AJIRA JKT 2018

Image
Jeshi la Polisi Tanzania limetangaza nafasi za ajira kwa mwaka wa fedha 2017/ 18 kwa vijana waliopo kwenye kambi za JKT/JKU ambao wamemaliza Mafunzo ya awali katika Operationi Kikwete na Operesheni Magufuli. Share na wengine mtu wangu  

OMARY NONDO ATWAA TUZO MUHIMU YA MTETEZI KIJANA CHIPUKIZI WA HAKI ZA WANADAMU

Image
Omary Nondo ambaye ni mwanafunzi wa UDSM na mwenyekiti wa mtandao wa wanafunzi tanzania TSNP, ame twaa tuzo muhimu ya mtetezi kijana chipukizi wa haki za binadamu. Ikumbukwe kuwa Nondo alikuwa mstari wa mbele kutetea haki za wanafunzi hasa kudai walio husika na kifo cha Mwanafunzi Akwilina kuwajibishwa Katika kurasa zake za mitandao ya kijamii NONDO ameandika yafutwayo Kwanza namshukuru Mwenyezimungu kwa kunipa Afya njema, pia wazazi wangu na viongozi wenzangu wa TSNP na watanzania wote kwa ujumla kwa faraja zao na matumaini yao kwangu. Napenda kutoa shukrani zangu za Dhati kwa Mtandao wa watetezi wa haki Za Binadamu Tanzania. (THRDC) kwa kutambua mchango wetu TSNP kwa kunizawadia Tuzo kama  mtetezi kijana chipukizi wa haki za binadamu (wanafunzi) Tanzania Nimefarijika saana. TSNP pia tumekuwa tukitetea haki za wanafunzi kwa kushirikiana pia na baadhi ya taasisi za kiserikali, wizara ya elimu,wizara ya Tamisemi ,bodi ya mikopo na Tume ya vyuo vikuu zimekuwa zikisikia n...

BANDA ATUPIA MBILI, BAROKA IKITOA SARE NA CELTIC

Image
Mchezaji nyota  wa kimataifa kutoka Tanzania, Abdi Banda, ameibuka shujaa kwenye mchezo wa leo baada ya kuifungia timu yake mabao mawili ikiwa nyumbani na kufanya mchezo huo uende sare ya 2-2 dhidi ya Bloem Celtic. Katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini, Banda alipasia kambani mabao hayo katika dakika za 61 na 69, huku wapinzani wakifunga kupitia kwa Sepana Letsoalo mnamo dakika ya 59 na Lucky Baloyi kwenye dakika ya 85. Matokeo hayo yameifanya Baroka ipande mpaka nafasi ya 12 kwenye msimamo wa ligi huku ikijikusanyia jumla ya pointi 34 ikicheza michezo 29. Bofya hapa   BEST ODDS AND 100%BONUS OFFER? CLICK.   HERE  Kwa odds za uhakika na bonus ya kutosha

OKWI, BOCCO SIMBA NI HATARI WAWEKA REKODI MPYA

Image
Wakati kikosi cha Simba kikijiandaa kupambana na Yanga, Jumapili hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, washambuliaji wa timu hiyo, Mganda, Emmanuel Okwi na John Bocco wamewashangaza wapenzi na mashabiki wa timu hiyo. Imebainika kuwa wachezaji hao wawili wamefanikiwa kuandika rekodi ya pekee ndani ya klabu hiyo ambayo haijawahi kuandikwa na washambuliaji wengine waliowahi kuitumikia timu hiyo kwa zaidi ya miaka sita. Rekodi hiyo ambayo wameiweka wachezaji hao ni ya kufunga mabao mengi mpaka sasa kushinda pacha za washambuliaji wengine waliowahi kuitumikia timu hiyo katika miaka sita iliyopita. Okwi na Bocco wameifungia Simba mabao 33 kati 58 ambayo timu hiyo imeshafunga kwenye ligi kuu msimu huu huku ikiwa na mechi tano mkononi ili kumaliza ligi hiyo. Msimu wa 2011/12, safu ya ushambuliaji ya Simba ilikuwa ikiundwa na Okwi na Mzambia, Felix Sunzu ambapo mpaka mwisho wa msimu walifunga mbao 19 kati 47. Okwi alifunga mabao 12 huku Sunzu akifunga mabao 7. Msimu wa 2012/13, sa...

Man United goalkeeper set for exit

Image
Max Johnstone looks to be on his way out of Manchester United at the end of the current campaign once his contract runs out.   As reported by the  ESPN,  the 19-year-old has attracted interests from Cardiff City, Sunderland, and Bury. He is the younger brother of Sam Johnstone, who is currently on loan at Aston Villa from United. The keeper joined United from Fleetwood Town in summer 2016 after impressing on trial at Old Trafford. He was a regular in United's under-18s squad and also made appearances for their under-23s team.  He enjoyed five outings in total for the Reserves and Under-18 sides over the course of the campaign and took part in the Dallas Cup in early 2017  SEEK FOR BEST ODDS AND 100%BONUS OFFER? CLICK.   HERE  TO RGISTER

Preview: Manchester United vs. Arsenal - Prediction, team news & lineups

Image
Two men made the difference when these two sides last came up against each other on Premier League Match week 15. Record-signing Alexandre Lacazette scored the lone goal for the Gunners at the Emirates. David De Gea pulled stunning stops to keep United in the match, despite Arsenal asking all the right questions. Old Trafford moments Wenger makes his final entry as Arsenal manager to Old Trafford, the theatre of arguably his most unforgettable football moments. It is here in 1998 that Marc Overmars scored a crucial goal that set Arsena on the path to winning their first double in Wenger’s first full season in charge. It is here that he’s also suffered bitter defeats and got sent off. Read:  Jones: Sanchez ready for Arsenal test The plot here will be contest for maximum points. But the subplots make it an even ferocious contest - The Alexis Sanchez revenge, The Wenger final days at Arsenal and Arsenal’s zero points away from home in 2018. Manchester United overview ...

WANAFUZI WATOROKA WAKIDAI KUKWEPA VIBOKO

Image
Wanafunzi wanne kati ya watano wa Shule ya Msingi Ndolage, Kata ya Kamachumu, Kagera wamekamatwa wakidaiwa kutoroka shule na kwenda kutafuta kazi za ndani mjini Bukoba. Wanafunzi hao wenye miaka 11 hadi 14 walitoroka Aprili 25 wakiwa na sare za shule. Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Ndolage, Frederick Byarugaba alisema wanafunzi hao (majina tunayahifadhi) walitoka nyumbani kwao Kitongoji cha Buganda B, Kamachumu na walipata usafiri wa kuelekea Bukoba Mjini. “Baada ya taarifa hizo kusambaa kuwa wanafunzi wametoroka, uongozi wa shule ulitoa taarifa kwa Jeshi la Polisi, Kituo cha Kamachumu, Muleba,” alisema Byarugaba. Alisema watoto hao walionekana kwa mara ya kwanza, Manispaa ya Bukoba wakitembea pamoja na baadhi ya watu wakiwamo abiria waliwakamata na kutoa taarifa polisi na kwa uongozi wa shule. “Walikuwa na utoro wa rejareja na mara kadhaa wamekuwa wakikanywa kuhusu tabia mbaya ya utoro, hivyo baada ya wazazi kutoa taarifa ya kutoonekana nyumbani tulianza kusamb...

VIJANA WA YANGA WANA KAZI KUBWA KESHO

Image
Yanga inashuka dimbani kesho Jumapili ikiwa na vijana wanaopewa nafasi ya kuonesha upinzani mkali dhidi ya kikosi cha Simba kilicho kileleni mwa msimamo wa ligi. Vijana hao walionolewa na Kocha George Lwandamina, watakuwa chini ya Mkongomani, Mwinyi Zahera ambaye amekabidhiwa majukumu ya kukiongoza kikosi hicho huku akisaidiana na Noel Mwandila. Lwandamina alikitengeneza kikosi cha Yanga kwa kuwapa nafasi vijana ambao wamekuwa mhimili mkubwa ndani ya timu hiyo hivi sasa. Yusuph Mhilu, Pius Buswita, Emmanuel Martin, Abdallah Shaibu pia Rafael Daud wamekuwa sehemu ya kikosi cha kwanza na akiba kwa takribani msimu huu mzima tangu uanze. Wachezaji hao wanapewa nafasi kubwa ya kucheza katika mchezo dhidi ya watani wao wa jadi Simba, kesho Jumapili. Mechi hiyo yenye nguvu kubwa hapa nchini na ivutayo hisia kubwa kwa mashabiki wa soka, itafanyika Uwanja wa Taifa kuanzia saa 10 kamili jioni.

Gigy Money ajifungua Mtoto wa Kike

Image
Msanii wa muziki wa bongo fleva nchini  Gift Stanford maarufu kama Gigy Money,  amefanikiwa kujifungua salama mtoto wa kike na kumpatia jina la  Myra. Gigy Money anatoka kimapenzi na mtangazaji wa Choice FM, Mo J ambaye pia ni baba mzazi wa mtoto huyo aliyezaliwa jana. Gigy na Mo J kabla ya kuzaliwa kwa mtoto huyo walikuwa wakijiita Baba Candy na Mama Candy ila mara baada ya kuzaliwa kwa mtoto huyo wamesema hawatatumia tena jina hilo na tayari wamempa mtoto wao jina la  Myra.

NAFAZA ZA KAZI KWA WALIO SOMA KISWAHILI, MFASIRI ANAHITAJIKA

Image
 Freelance Swahili Interpreters Wanted Name:   Silent Sounds Communications View Profile  Apply  Swahili 25-04-2018 Part-Time Code: SSC-WL-90 London, United Kingdom Competitive rates Job description: Are you looking for an Exciting new challenge? Looking to work flexible hours in a freelance role that suits your lifestyle? If you’re customer focused and motivated to work then we’d love to hear from you! Here are just some of the benefits of working as a freelance Interpreter with Silent Sounds:  Working flexible hours that suit you, day, evening, and weekends Assignments in many sectors such as health/local government/legal  Be part of an ever growing community of freelance linguists Competitive rates  To meet our criteria you need to have extensive public service interpreting experience, proficient English, a valid DBS (CRB), a minimum qualification level 3 community i...

NAFASI ZA KAZI KWA WALIO SOMA KISWAHILI/INTERPRETER/TRANSLATOR,/LINGUIST

Image
CLICK ANY JOB TO APLY Part-time Language Instructor - Swahili (Teacher / Education) -  new Berlitz   134 reviews - Dallas, TX 3 days ago Swahili Interpreter -  new Affordable Language Services   13 reviews - Dayton, OH 15 hours ago Swahili Interpreter/Translator Lutheran Family Services of NE Inc. - Omaha, NE 68105 16 days ago Swahili (Kibajuni)-English Independent Contractor Interpreter Needed CyraCom   243 reviews - United States 6 days ago Swahili Linguist | Language Analyst Bluehawk, LLC   3 reviews - Augusta, GA 30+ days ago CONUS & OCONUS Cleared Linguist CWU, Inc.   61 reviews - United States 30+ days ago Interpreter 1 International Rescue Committee   248 reviews - Boise, ID 83704 30...