Posts

Showing posts from October, 2016

UNOMINISHAJI

By IkS UDSM UNOMINISHAJI NOMINO ZALIKA/UNOMINISHAJI Unominishaji kwa mujibu wa Habwe na Karanja (2007) wanasema ni hali ya kuunda nomino kutoka katika kategoria nyingine ya neno. Kategoria hizi zaweza kuwa kitenzi, kivumishi au hata nomino yenyewe. Ø Kwa hiyo vinominishi (o, i) vinaweza kunominisha vitenzi vya Kiswahili katika mazingira yafuatayo: Tukianza na kinominishi (o); kinominishi “o” huweza kunominisha vitenzi vya kibantu vinavyoishia na kiambishi tamati “a”. Kwa mfano: tenda→ tend-o Andika → andik-o Piga → pig-o Pata → pat-o Jenga → jeng-o Fundisha → fundish-o Ona → on-o Pamba → pamb-o Ø Hata hivyo kuna baadhi ya vitenzi vya kibantu vinavyoishia na kiambishi tamati “a”ambavyo havinominishwi na kinominishi “o” mfano wa vitenzi hivyo ni kama lowa, tembea nk. Ø Pia kinominishi “o” huweza kunominisha vitenzi kwa kuambatana na vinyambulishi (-i-) au (-li-) ka...

KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHO ANZA LEO KUPASUA MBAO

   Mavugo arudi, Juko aendelea kupeta kikosi cha Kwanza Simba kuivaa Mbao   Benchi la ufundi Simba limemrudisha katika kikosi cha kwanza mshambuliaji Laudit Mavugo katika pambano la leo ligi kuu dhidi ya Mbao. Mavugo alianzia benchi katika mechi mbili mfululizo zilizopita dhidi ya Mbeya City na Kagera Sugar ambazo mshambuliaji mwenzake, Frederic Blagnon alipewa nafasi ya kwanza. Kikosi kamili: Vicent Angban, Janvier Bokungu, Mohamed Hussein, Juuko Murshid, Method Mwanjale, Jonas Mkude, Ramadhan Kichuya, Mzamiru Yassin, Shiza Kichuya, Ibrahim Ajib, Mwinyi Kazimoto. Akiba: Manyika Jr. Andi Banda, Said Ndemla, Novalty Lufunga, Emmanuel Simwanza, Mohamed Ibrahim,  Editor@ Emanuel  G asper  0766605392

WATAKAO NUFAIKA NA MKOPO KWA AWAMU YA PILI (SECOND BACH)

Image
Serikali kupitia bodi ya mikopo ya elimu ya juu imetangaza October 18 kuwa itatoa majina ya watakao nufaika na mkopo kwa awamu ya pili Second bach usikose kutembelea blog hii Mara kwa mara ili kupata majina hayo pindi yatakapo tangazwa tunakudhamini tunakujali

Majina ya walio pewa mikopo

Angalia majina yote ya wanafunzi walio pata mikopo vyuo vyote , Angalia umepewa asilimiangapi like na kushare blog hiii ingia hapa http://www.heslb.go.tz

Anglia unyama aliofanyiwa huyu kijana

Angalia hapa https://youtu.be/nNqljGS5ihI