Posts

Showing posts from August, 2016

KAZI YA INI (funtion of liver)

Image
KAZI YA INI MWILINI INI: Ini ni kiungo muhimu sana katika mwili wa mwanadamu. Ni kiungo ambacho kinahitaji kulindwa na kukingwa pamoja na kusafishwa mara kwa mara. KAZI YA INI MWILINI 1. Ini lina kazi ya uchujaji wa sumu, inachuja sumu kwenye damu ambayo huingia kwa njia ya vyakula, vinywaji (bila kusahau vinywaji vikali), hewa tunayovuta, sigara, pamoja na dawa tunazotumia. 2. Vile vile, hutoa nyongo ambayo kazi yake kubwa ni kusaga mafuta na protini kutoka kwenye chakula tulacho. 3. Pia, ini hukibadilisha chakula na kufanya tupate nguvu mwilini. Hivyo basi, tunahitaji kulilinda ini ili liweze kufanya kazi yake ya uondaji wa sumu na kusaga mafuta na protini kama ilivyokusudiwa. Mara nyingi imeonekana kwa mtu mwenye shida ya ini kuwa akijisikia uchovu mara kwa mara hata kama hajafanya kazi za kuchosha. Hii tutokea kwa kuwa ini limezidiwa na haliwezi kufanya kazi yake ya kuhakikisha mwili unapata nguvu. VYAKULA VINAVYOLINDA NA KUSAFISHA INI 1. Kitunguu saumu: Inasaidia ini kutoa...

Ugonjwa wa ngiri

 Ngiri au 'Hernia' ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi  na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiriwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo. Katika mwili wa binadamu, maeneo ambayo tatizo hili hutokea mara kwa mara ni maeneo ya tumboni, katika eneo la kinena, eneo la paja kwa juu na pia ngiri inaweza kutokea katika eneo ambalo mtu alifanyiwa upasuaji (operesheni). Tatizo la ngiri huweza kumpata mtu yeyote. Miongoni mwa sababu ambazo huweza kumfanya mtu apate ugonjwa wa ngiri ni pamoja nak Kuwa na uzito mkubwa wa mwili au kuongezeka uzito kwa ghafla, kazi ya kubeba au kunyanyua vitu vizito, tatizo la kukohoa au kupiga chafya kwa muda mrefu, ujauzito au matatizo yanayojitokeza kwa mwanamke wakati wa kujifungua. Ngiri hutambuliwa kwa kutokea kitu kama uvimbe au kujaa katika eneo husika Wengi wa waathirika wa tatizo hilo hufanyiwa upa...

UJUE UGONGWA WA BUSHA

Image
SOMA HAPA UJUE CHANZO NA MATIBABU YA UGONJWA WA BUSHA.                                                                                                                                 busha ni nini?                              huu ni uvimbe kwenye korodani ambao unasababishwa na kujaa kwa maji kwenye moja ya sehemu zinazounda korodani kitaalamu kama tunica vaginalis..busha hutokea pale maji yanayotengenezwa kwenye korodani kua mengi sana kuliko yale yanayo ondolewa. busha huweza kutokea kwa watoto wadogo wakati wa kuzaliwa lakini mara nyingi hupotea baada ya muda mfupi tu, kama ukiona halipotei  kwa mtoto wako ni vizuri kuonana na daktari. chanzo cha busha ni nini? kuna aina kuu nne za vyanzo vya busha kama ifuatavyo. idiopathic; hii ni busha inayotokea tu bila hata kujua chanzo ni nini. kuumia; busha huweza kutokea sababu ya kuumia kwa kupigwa na kitu kwenye korodani au kuanguka na kuumiza sehemu hizo. uvimbe; uvimbe kama wa kansa huweza kusababisha busha. magonjwa; ugonjwa unao am...

DK MANDAI: KAMA UNASHIDA YA MIGUU KUWAKA MOTO BASI HII INAKUH...

DK MANDAI: KAMA UNASHIDA YA MIGUU KUWAKA MOTO BASI HII INAKUH... : Matatizo ya aina hii mara nyingi huwapata watu ambao shughuli zao huwalazimisha kutembea kwa muda mrefu, kusimama kwa muda mrefu a...piga simu 0766605392

UVIMBE TUMBONI

Image
MATIBABU YA MAGONJWA MBALIMBALI YALIYOSHINDKANA Sunday, October 11, 2009 UVIMBE WA TUMBONI Uvimbe ni kitu kidogo sana katika tumbo tunaweza kuusawanisha na mchanga lakini huu uvimbe ni mkubwa sana ungiapo kwa motto wa kike na unaweza hata kumuuwa asipokuwa makinini sawa uonavyo na mchanga ukuingipo katika jicho ni kiasi gain unavyowasha tena waweza kufikili umewekewa tofali ndani ya jicho lakini kakitolewa ni kamchanga kadogo sana,sasa hiyo hali ndio imtokeavyo motto wa kike nah ii hali ni mbaya sana kwani huu uvimbe waweza kumsababishia hata kutopata motto kwa sababu huu uvimbe hukaa sana chini ya kizazi mara nyingi sana hupendelea kukaa sehemu kama hizo ukiukosa sehemu ya uzazi hukaa katka mirija ya uzazi sehemu hizi mara nyingi sana hupendelea kwa hivyo sehemu kama hizo kati hizo uvimbe ukaa mara nyingi sana husumbuka sana motto wa kike bora uvimbe huo ukae tofati na hapo lakini iwapo ukakaa eneo zingine maumivu yake huwa ni madogo sana na unaweza usigigungue kama unauvumbe . DALIL...

UGONJWA WA FIBROIDS (uvimbe kwenye kizazi)

Image
Fibroids ni uvimbe wa misuli laini wenye mizizi ya kuiunganisha unaoota na kukua kwenye uterus. Majina mengine ya uvimbe huu ni uterine fibroids, myomas, au fibromyomas. Fibroids ni aina ya uvimbe unaoonekana kwa wingi zaidi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. Fibroids ni uvimbe ambao mara nyingi (asilimia 99) hauna madhara kiafya na wala kuhusiana na ugonjwa wa kansa. Inakadiriwa kuwa kati ya asilimia 20 hadi 50 ya wanawake walio katika umri wa kuzaa, miaka 30 hadi 50, wana fibroids ingawa wengi wao hawahangaiki kuchukua vipimo vya fibroids. Uvimbe wa fibroids unakuwa na ukubwa tofauti tofauti, unaweza kuwa mdogo kama harage au kufikia ukubwa wa tikiti maji.   Chanzo Cha Fibroids   Sababu hasa za kuota kwa fibroids katika viungo vya uzazi vya mwanamke bado hazieleweki vizuri ingawa inaamika kwamba kila uvimbe wa fibroid unatokana na seli ya musuli wa uterus ambayo imeamua kuwa na tabia ya tofauti na nyingine na ikaanza kukua kwa haraka ikichangiwa na uwepo wa homoni ya estrogen....

MAGONJWA YA MOYO

Zifahamu aina za Magonjwa ya Moyo, Dalili zake na Njia za Kujikinga Posted By Dr. Joachim Mabula - May, 5th 2015 (6900) Views MAGONJWA ya Moyo (Cardiovascular Diseases), ni miongoni mwa magonjwa yaliyoko kwenye kundi la ugonjwa usioambukiza. Haya ni magonjwa yale yote yanayoathiri moyo na mishipa yake. Kwa hiyo, magonjwa ya moyo yanajumuisha ugonjwa wa Kupanda kwa Shinikizo la Damu (High Blood Pressure/Hypertension). Hili ni tatizo sugu la kiafya linalohusisha kuongezeka kwa mgandamizo wa msukumo wa damu kwenye mishipa ya damu. Magonjwa mengine ni Koronari za Moyo (Coronary Heart Diseases). Huu ni ugonjwa wa moyo ambapo mafuta yanaganda ndani ya ateri koronari na kuziba kwa kiasi fulani au kuziba kabisa kwa ateri ya koronari ya/za moyo, hivyo kusababisha upungufu wa damu katika sehemu ya moyo ambayo hupata damu kupitia mishipa hiyo. Ugonjwa huu wa Koronari za Moyo hudhoofisha misuli ya moyo kiasi cha kusababisha moyo kushindwa kusukuma kiwango cha kutosha cha damu (Heart Failure)....

Maumivu ya Kiuno

UGONJWA WA MAUMIVU YA KIUNO ·         Maumivu ya  Kiuno ni ugonjwa unaotokana na mfuko  wa chakula. Binadamu anapokuwa  anakula vyakula inategema vyakula gani anavitumia. Kwa mfano akila vyakula vya mafuta mengi husababisha mgando katika mfuko wa chakula. Mgando huo katika mfoko wa chakula husababisha gas za mara kwa mara.      DALILI ZAKE Dalili  zake mara nyingi mtu anajisikia kula, apatapo  chakula kidogo tu hujisikia ameshiba.Hii humpotezea hamu ya kula.   Hujisikia kupumua pumua  kupitia tupa ya haja kubwa.  Wakati  mwingine pia tumbo  lake huunguruma na kujaa  gasi  ndipo hapo ambapo hujitokea mtu anapoenda kujisaidia haja kubwa hupata haja kubwa kidogo au kukosa kabisa.  Matokeo yake hutokea mgandamizo  katika utupu wa haja kubwa ambao ndio kiuno chenyewe.  Mgandamizo huo huongezeka siku hadi siku.  Hapo mgando unapoongezeka kiuno  huzalisha maumivu makali kwenye kiuno chenyewe.   Maumivu hayo yanatokana na kusambaa kwa ute  huo husababisha  binadamu anapokuwa katika shughuli...

KUVIMBA BANDAMA(SPLEEN)

Image
FAHAMU KUHUSU KUVIMBA BANDAMA( SPLEEN) Maambukizi na magonjwa mengi kwa muda mrefu husabisha kuvimba kwa bandama(spleen)  ambayo iko kushoto mwa tumbo na hivyo kuharibu utendaji wake wa kazi kama kuondoa vimelea kwenye damu, kutengeneza kinga ya mwili, kuondoa chembe nyekundu zisizo na matumizi mwilini.  Ugonjwa huu usababishwa na maambukizi ya virusi, vimelea, bakteria, saratani ya damu, presha, magonjwa ya moyo, ugonjwa sugu wa ini, homa ya ini, upungufu wa damu n.k. Tatizo ili lisipotibiwa husababisaha maambukizi na magonjwa ya mara kwa mara, kuvuja damu na kupasuka kwa bandama. DALILI Maumivu makali ya kushoto mwa tumbo yanayoelekea mpaka kwenye bega la kushoto. Maumivu au kichomi katika kifua tumbo au kibofu vinapojaa. Maumivu ya mgongo. Dalili za upungufu wa damu  Kushiba haraka hasa upande wa kushoto wa tumbo Maambukizi ya mara kwa mara. Kutokwa na damu mara kwa mara. MATIBABU. Baada ya kufanyiwa uchunguzi na vipimo vya utrasound, MRI au vipimo vya damu na kugundua uwepo wa...

HOMA YA INI(liver sickness)

Dalili za Ugonjwa wa Homa ya INI na Jinsi Unavyoambukizwa ( Ugonjwa huu ni hatari kuliko UKIMWI) Homa  ya  Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.Virusi hivyo vinaitwa HBV (Hepatitis B Virus). Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B). Ugonjwa huu kama haujatibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadaye Kifo. JINSI  UNAVYOAMBUKIZWA: Katika maeneo hatari zaidi duniani, Virusi vya Hepatitis B (HBV) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine hususan nyakati za utotoni. Kama ilivyo kwa Ukimwi, Virusi vya Homa ya Ini pia huambukizwa kwa njia ya kujamiiana, mate, jasho na mwingiliano wowote ule wa damu. Njia  kuu  za  maambukizi : -Kujamiana bila kinga...

LIJUE TATIZO LA FIGO

Matatizo ya Figo na dalili zake. Oct 28th, 2014 · 7 Comments Figo ni miongoni mwa viungo muhimu katika mfumo wa utendaji kazi wa mwili wa binadamu. Mwili wa binadamu una figo mbili zenye maumbo yanayofanana, yakiwa yamejificha nje ya utando unaozunguka tumbo, chini kidogo ya mbavu. Ugonjwa wa figo ni tatizo kubwa kwa watu wengi,ugonjwa huu si tu unaleta maumivu kwa mgonjwa,bali pia hautibiki kirahisi pamoja na gharama za matibabu husika kuwa kubwa na wengi kushindwa kuzimudu. VISABABISHI VYA UGONJWA WA FIGO 1.Matumizi mabaya ya dawa hasa za maumivu kama diclofenac na madawa mengine ya maumivu. 2.Uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe kupita kiasi KAZI ZA FIGO 1. Kuchuja vitu mbalimbali pamoja na sumu katika damu, kusaidia kuhifadhi,kudhibiti kiwango cha maji na madini (electrolytes) mwilini. Figo huchuja vitu hivyo pamoja na maji yaliyo mwilini na kutengeneza mkojo, huchuja pia maji yasiyohitajika mwilini huku yakinyonya madini na kemikali muhimu kuzirudisha katika mzunguko wa damu na...

APPENDIX AMA KIDOLETUMBO

KIJUE KIDOLE TUMBO (APPENDIX), MAANA, KAZI ZAKE NA JINSI MTU ANAVYOWEZA KUUGUA APPENDIX Home » Health Blog » Articles » KIJUE KIDOLE TUMBO (APPENDIX), MAANA, KAZI ZAKE NA JINSI MTU ANAVYOWEZA KUUGUA APPENDIX MWANAMKE KUWA NA UJAUZITO FEKI “PHANTOM OR FALSE PREGNANCY” ZIFAHAMU ATHARI ZITOKANAZO NA ULAJI WA CHUMVI NYINGI KIDOLE TUMBO (APPENDIX) Mfumo wa chakula katika mwili wa binadamu huanzia katika kinywa na kumalizikia katika puru ( njia ya haja kubwa). Mfumo huu pamoja na kuhusisha viungo mbalimbali kama vile kongosho na ini, bado muundo wake upo katika namna lilivyo kama bomba, mwanadamu anavyokula pamoja na kunywa vinywaji, vyote hivyo vikishaingia mwilini kuna njia ambayo tena taka-mwili hutolewa nje ya mwili. Muundo huu mfano wa bomba kwa urahisi ndiyo tunaouita utumbo katika mwili. Katika mwili wa binadamu, utumbo umegawanyika katika sehemu tofauti tofauti, na sehemu moja wapo ambayo kutokana na mada hii tutaigusia ni sehemu ya utumbo mpana ambao kwa kitaalamu huitwa colon a...
I

ARSENAL WACHAPWA NYUMBANI

Liverpool imeionyesha Arsenal si kitu kwake baada ya kuichapa mabao 4-3 licha ya Arsenal kuwa nyumbani Emirates tena ikianza kufunga. Arsenal ilikuwa ya kwanza kufunga bao kupitia kwa Theo Walcott dakika ya 30, ambaye muda mchache alikosa mkwaju wa penalti. Dakika ya 45, Coutinho akasawazisha. Adam Lallana akafunga dakika ya 49 huku Coutinho akiongeza bao la tatu dakika ya 56. Arsenal walianza kujipanga lakini kabla hawajakaa vizuri, Sadio Mane akafunga bao la nne katika dakika ya 63 na kuwalazimu Arsenal kuongeza juhudi hadi walipopata bao la pili katika dakika ya 64 kupitia Oxlade Chamberlain. Katika mechi hiyo ya ufunguzi wa Ligi Kuu England, Arsenal iliongeza bao la tatu katika dakika 75 kupitia Calum Chambers katika dakika ya 75 lakini ikashindwa kupata bao la kusawazisha kwa dakika 25 zote za mwisho.

MAN U wamefanya hivi leo

Image
Clab ya manchester unitedi imeanza kigi vizuri baada ya kuifunga buremouth kwao goli tatu kwa moja alianza kufumania nyavu ni mchezaji Juan manuel mata dk 47 pia akaja kufunga mchezahi rooney   na goli la tatu akafunga   mchezaji mpya wa nan u ZLATANI IBRAHIMOVIC aliyefungua akaunti yake mpya ya magoli . Goli la kufutia machozi limefungwa na smith

UGONJWA WA KISONONO

UGONJWA WA KISONONO (GONORRHOEA). CHANZO, DALILI NA TIBA.     Ugonjwa wa Kisonono (Gonorrhoea) ni ugonjwa unaoshambulia watu wengi, wanaume kwa wanawake. Ni ugonjwa unaotibika ingawa kwa miaka ya karibuni, wadudu wa ugonjwa huu wameonyesha kuanza kutosikia tiba zinazotolewa. Kisonono kisipotibiwa kikamilifu, huweza kuleta madhara ya kudumu kwenye mwili wa mgonjwa na kumfanya aweze kuambukizwa au kuambukiza UKIMWI kwa urahisi. Katika ukurasa huu tutaona chanzo cha ugonjwa huu, dalili zake na mwisho kinga na tiba inayoweza kutolewa kwa ugonjwa huu.   Chanzo Cha Kisonono (Gonorrhoea).   Kisonono ni ugonjwa unaombukiwa kwa ngono – sexually transmitted infection (STI) – na unasababishwa na bakteria aitwaye Neisseria gonorrhoeae au gonococcus. Bakteria huyu hupenda kuzaliana kwenye maeneo ya joto, yenye unyevunyevu yakiwemo maeneo ya shingo ya uzazi (cervix), nyumba ya uzazi (uterus), mirija ya uzazi (fallopian tubes) na mrija wa kutolea mkojo nje (urethra). Bakteria hawa pia huweza ...

UGONJWA WA BAWASIRI

0 FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU NA JAMIIMOJABLOG ) WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba JE , UNAJUA BAWASIRI /HEMORRHOIDS NI NINI ????!! ~ Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka / kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe . ~ ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika kama piles ~ tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50 AINA ZA BAWASIRI ~ Kuna A...

masshelephoto GAUT

UGONJWA WA GOUT. UNAUJUA UGONJWA HUU WA GOUT?     Gout ni ugonjwa ambao umefahamika kwa miaka mingi sana. Inasadikika kuwa watu wa kwanza kuutambua ugonjwa huu walikuwa watu wa Misri, kunako miaka ya 2640BC. Mtaalamu wao wa tiba Hippocrates aliuita ugonjwa huu “Ugonjwa Wa Kumfanya Mtu Asitembee” na aliuhusisha ugonjwa huu na namna ya mtu anavyoishi. Hadi hivi leo ugonjwa huu ni tatizo la jamii nyingi, ambao huwapa maumivu makali sana wale ambao wameathirika. Kwa bahati nzuri ugonjwa huu hutibika na kuna hatua za kuchukua zinazoeleweka ili usipatwe na ugonjwa huu. Katika ukurasa huu tutatazama ugonjwa wa gout ni nini , chanzo cha ugonjwa wa gout, dalili zake na namna ya kuutibu pale unapokuwa umeathirika.   Gout Ni Nini?   Gout ni namna moja ya Arthritis, ugonjwa ambao hushambulia joints (sehemu za maungio ya mufupa). Huu ndio ugonjwa wa joints ambao huwashambulia sana na kuwapa maumivu makali wanaume. Wanawake pia huweza kuathirika na ugonjwa huu hasa baada ya kukoma hedhi. Ug...