Maumivu ya Kiuno

UGONJWA WA MAUMIVU YA KIUNO ·         Maumivu ya  Kiuno ni ugonjwa unaotokana na mfuko  wa chakula. Binadamu anapokuwa  anakula vyakula inategema vyakula gani anavitumia. Kwa mfano akila vyakula vya mafuta mengi husababisha mgando katika mfuko wa chakula. Mgando huo katika mfoko wa chakula husababisha gas za mara kwa mara.      DALILI ZAKE Dalili  zake mara nyingi mtu anajisikia kula, apatapo  chakula kidogo tu hujisikia ameshiba.Hii humpotezea hamu ya kula.   Hujisikia kupumua pumua  kupitia tupa ya haja kubwa.  Wakati  mwingine pia tumbo  lake huunguruma na kujaa  gasi  ndipo hapo ambapo hujitokea mtu anapoenda kujisaidia haja kubwa hupata haja kubwa kidogo au kukosa kabisa.  Matokeo yake hutokea mgandamizo  katika utupu wa haja kubwa ambao ndio kiuno chenyewe.  Mgandamizo huo huongezeka siku hadi siku.  Hapo mgando unapoongezeka kiuno  huzalisha maumivu makali kwenye kiuno chenyewe.   Maumivu hayo yanatokana na kusambaa kwa ute  huo husababisha  binadamu anapokuwa katika shughuli zake asihili maumivu yoyote katika kiuno. Madhara ya kusambaa  katika kiuno na viungo vingine vya binadamu Miguu kuwaka moto Kupata ganzi Kukosa hisia za kushiriki tendo  la  ndoa/mke/mume Kizunguzungu  cha mara kwa mara Kutokuwa na uwezo wa macho kuona vizuri Homa  za mara kwa mara Kusikia maumivu makali wakati wa kunyanyuka/kukaa/kuinama Shinikizo la damu/kupanda au kushuka Kudumaa kwa uume/uume kuwa mdogo Mke kutokwa na uchafu mara kwa mara pasipo kushiriki tendo la ndoa wenye harufu au uchafu usio na harufu Kupoa kwa joto katika mwili wa mwanamke Unapokosa  haja kubwa, maana yake ni kwamba haja kubwa kubaki njiani pasipo kuteremka.Kadiri siku zinavyozidi kupita ndiko mrundikano wa haja kubwa unapozidi kuongezeka na mrundikano huo husababisha ute katika kiuno kusambaa. TIBA YAKE Tiba yake ni dawa ambayo ni mitishamba dawa hizo  hufanya kazi ya kuondoa takataka zote zilizopo katika mfumo wa kiuno, taka hizo zinapoondoka maumivu hayo ya kiuno huisha kabisa.

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?