Posts

Mume wangu akienda nje kazi haiwezi, ila kwangu mambo ni moto!

Image
  Naitwa Mama Sofia, nimeolewa ni na watoto wanne na mume wangu wa ndoa, Jamal, tulifunga ndoa miaka miwili iliyopita, tuliishi kwa upendo na amani ndani ya nyumba bila kadhia yoyote ndani ya nyumba yetu hadi pale tulipojaliwa kupata mtoto mmoja.  Ukweli majirani walivutiwa sana na jinsi ambavyo tulikuwa tukiishi pamoja, nguzo pekee iliyotuongoza maisha ni uaminifu ndani ya ndoa, hakuna ubishi kwamba uaminifu ukikosekana kati ya wawili basi mambo huanza kuharibika.  Licha ya mapenzi moto moto niliyokuwa nampa mume wangu na ambayo yeye alikuwa akinionyesha, bado ndoa yetu kuna kipindi ilipitia kipindi kigumu hadi nikafikiria siku moja niondoke nirudi kwa wazazi wangu.  Hiyo ilikuwa ni baada ya mimi kujifungua, mume wangu ghafla alibadilika na akaanza kurejea nyumbani akiwa amechelewa sana tofauti na ilivyokuwa hapo awali ambapo alikuwa anakuja nyumbani mapema.  Nakumbuka kila nilipojaribu kumuuliza alipokuwa hakuwa na majibu yenye kueleweka zaidi ya kusema yeye n...

ZAIDI YA WATU 400 HAWAJULIKANI WALIPO

Image
  Mamlaka nchini Malawi zinasema idadi ya watu ambao bado hawajulikani walipo kufuatia Kimbunga Freddy imeongezeka kutoka 349 hadi 427, huku nchi nyingi zikiendelea kutuma misaada ya kibinadamu. Idara ya Masuala ya Kukabiliana na Majanga ya Malawi (DoDMA) siku ya Jumatatu ilisema ilipokea ripoti za tathmini ya haraka kutoka mikoa 15 iliyoathirika nchini humo. “Kufikia Jumatatu, Machi 20, 2023, idadi ya watu waliokimbia makazi yao ni 508,244. Idadi ya vifo imeongezeka kutoka 476 hadi 499, na majeruhi 1,332,” DoDMA ilisema katika taarifa. Nchi kadhaa zikiwemo Uingereza, Tanzania na Zambia zimetuma timu kusaidia katika shughuli za uokoaji. Dhoruba hiyo ilipiga Msumbiji na Malawi wiki jana kwa mara ya pili ndani ya mwezi mmoja, na kuharibu nyumba nyingi na kusababisha mafuriko makubwa. Serikali ya Malawi imeweka kambi zaidi ya 500 katika eneo la kusini mwa nchi hiyo, ambapo hadi wilaya 10 zimeathirika.

ICC YATOA HATI YA LUKAMATWA PUTIN

Image
  Mahakama ya kimataifa ya uhalifu (ICC) Machi 17, 2023 imetoa hati ya kumkamata Rais wa Russia Vladimir Putin, ikimshtumu kuwa muhusika mkuu wa uhalifu wa kivita nchini Ukraine. Moscow ilikanusha mara kadhaa tuhuma kwamba wanajeshi wake walifanya ukatili katika uvamizi wa Russia dhidi ya jirani yake ambao umedumu kwa zaidi ya mwaka mmoja. ICC imetoa hati ya kumkamata Putin kwa tuhuma za kuwahamisha kinyume cha sheria watoto na raia wengine wa Ukraine hadi Russia. Mapema wiki hii, shirika la habari la Reuters liliripoti kwamba ICC ilikuwa inatarajiwa kutoa hati kadhaa, kwa mara ya kwanza katika uchunguzi wake juu ya mzozo wa Ukraine. Mahakama hiyo imetoa pia hati ya kumkamata Maria Alekseyevna Lvova-Belova, Kamisheni wa haki za watoto wa Russia, kwa shutuma hizo hizo zilizotolewa dhidi ya Putin.

MKENDA CUP YAZINDULIWA ROMBO

Image
  Mashindano ya mpira wa miguu ya Mkenda Cup yamezinduliwa rasmi wilaya Rombo,kwa mara ya kwanza yakishirikisha timu 91 kutoka kata mbalimbali za wilaya hiyo. Mashindano hayo ambayo yamezinduliwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro Patrick Boisafi katika uwanja wa Sabasaba  na yamedhaminiwa na Mbunge wa jimbo hilo ambaye pia ni Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda na Wadau. Kwa mujibu wa Prof.Mkenda mshindi wa kwanza wa michuano hiyo ataibuka na kitita cha shilingi milioni tatu pamoja na ziara ya kutembelea Makao Makuu ya nchi,mshindi wa pili atapata shilingi milioni 2 na wa tatu atapata milioni moja. Katika mechi ya ufunguzi wa michuano hiyo mabingwa watetezi timu ya Rongai Fc waliwafunga Motamburu Kitendeni Fc kwa penati  5-4 baada ya kutoka sare ya nao 1-1 katika muda wa dakika tisini na kufanikiwa  kupata zawadi ya mbuzi mnyama.

MESEJI ZA MAHABA KWA UMPENDAE

Image
Yaliyomo 1. MESEJI ZA MAHABA KWA UMPENDAE   Maji hunitosha nisikiapo kiu, chakula hinitosha nisikiapo njaa, lakini wewe hunifaa kwa kila kitu! ***** Najua unanipenda mpenzi wangu, lakini urembo wako unaniweka roho juu, angalia usihadaike na walaghai, napenda mpenzi wangu! Mwaaaa… ***** Niseme nini ujue nakupenda? Nifanye nini ujue nakupenda? Nikuite jina gani ujue ni wewe peke yakon upo moyoni mwangu? Hakika hakuna ila moyo wangu ndio naosema kuwa nakupenda, niamini mpenzi! ***** God is wise when he did not put a price tag on you darling. If he did, I won’t be able to afford to have a boyfriend as precious as you. I luv you! ***** Najua una kazi nyingi mpenzi, lakini muda wa kula umefika, nenda ukale kwanza mpenzi wangu! ***** Hakuna atakayetutenganisha mpenzi wangu, ingawa wanafiki wanasema mengi, weka masikio yako pamba, achana nao wana vivu hao! ***** Sms 9 za mahaba kwa yule umpendaye Kama nikiambiwa niweke rekodi ya watu muhimu katika maisha yangu duniani, kwenye tatu bora uta...

Unaweza kuongeza mauzo mara mbili katika biashara yako kwa kufanya hili!

Image
  Naitwa Saidi, sasa ni miaka 10  nafanya biashara lakini haijawahi kuwa rahisi hata mara moja kwani changamoto ambazo nimekuwa nikikumbana nazo ni nyingi sana hadi kuna wakati ulifikia nikaanza kukataa tamaa.  Nimekuwa nikifanya biashara ambayo nashukuru kipato ambacho nimekuwa nikipata kinaniwezesha kumudu gharama za maisha ya kila siku.  Biashara yangu ya kuuza vyakula vya mifugo inaniwezesha kuitunza familia vizuri, kusomesha watoto  wangu, kuwasaidia wazazi wangu na kufanya mambo mengine ya kimaendeleo kama kujenga na kununua mashamba kwa ajili ya uwekezaji wa hapo baadaye.  Hata hivyo ghafla wateja walinikimbia licha ya kuwa na bidhaa nzuri na zaidi nilikuwa tayari najulikana na watu wengi lakini wote wakawa hawanunui tena kwangu bali kwa wafanyabiashara wenzangu wa jirani.  Jambo hilo lilinifanya nianze kufikiriki kuna mchezo umefanyika dhidi ya biashara yangu maana nilikuwa sijaiwekea kinga licha ya kusikia watu wakisema biashara lazima iwekewe...

JOBS OPPORTUNITY AT MKINGA DISTRICT

Image
  DOWNLOAD FULL PDF BELLOW  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA 17-03-2023