Posts

CHANZO AJALI ILIYOUA WANAFUNZI MTWARA CHAJULIKANA

Image
  Chanzo cha ajali iliyosababisha vifo vya watu 10 wakiwemo wanafunzi nane wa Shule ya Msingi ya King David ni gari kufeli kwa breki kisha kutumbukia shimoni. Ajali hiyo imetokea asubuhi ya leo Jumanne, Julai 26, 2022 eneo la Mjimwema, Kata ya Mikindani, Mtwara Mjini wakati watoto hao wakitoka kuchukuliwa nyumbani kupelekwa shuleni. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara, Nicodemus Katembo akizungumza na waandishi wa habari akiwa Hospitali ya Rufaa Ligula amesema, chanzo cha ajali hiyo ni kufeli kwa breki za gari iliyokuwa imewabeba wanafunzi hao. Katembo amesema gari hiyo aina ya Hiace ilifeli breki na kumshinda dereva kisha kuingia kwenye mteremko na kusababisha wanafunzi nane na watu wazima wawili akiwemo dereva kufariki dunia na majeruhi zaidi ya 18. Kwa upande wake, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Dk Hamad Nyembea amesema amepokea majeruhi 18 kati yao 12 ni wa kike na sita wa kiume. Amesema majeruhi wanaendelea kupatiwa matibabu huku waliofariki wa kike ni watano, kium...

Kuitwa kwenye Usaili ajira Serikalini leo

Image
  Haya hapa majina ya walioitwa kwenye Usaili Halmashauri mbalimbali  Call For Interview  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MASWA 25-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SUMBAWANGA DC 25-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA ITIGI 24-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA 24-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MOROGORO DC 24-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SINGIDA DC 24-07-2022

WALIOITWA KWENYE USAILI SERIKALINI LEO

Image
  Haya hapa majina ya walioitwa kwenye Usaili, Singida na Morogoro Call For Interview  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MOROGORO DC 24-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SINGIDA DC 24-07-2022

Shirika la Afya Duniani Latangaza Homa ya Nyani Kuwa Tishio la Afya Ulimwengun

Image
                                   SHIRIKA  la Afya Duniani WHO limeutangaza mlipuko wa ugonjwa wa Homa ya Nyani ambao tayari umeathiri zaidi ya watu 17,000 katika nchi 74 duniani kuwa dharura ya afya ya ulimwengu.   Hiyo ni tahadhari ya juu kabisa inayoweza kutolewa na shirika la WHO kuhusu dharura yoyote ya kiafya ulimwenguni. Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus akizungumza kwenye mkutano wa waandishi wa habari jijini Geneva amesema  kwamba ameamua kuitangaza Homa ya Nyani kuwa dharura ya kiafya duniani baada ya timu ya wataalamu kushindwa kufikia makubaliano.   Amesema tathmini ya WHO inaonyesha kitisho cha Homa ya Nyani duniani bado ni cha wastani isipokuwa barani Ulaya ambako visa vya maambukizi vinaongezeka

Anyongwa Hadi Kufa Baada ya Kumchoma Mkewe na Kurusha Video Tik Tik

Image
Tang Lu; ni raia wa nchini China ambaye amenyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kumchoma mke wake moto hadi kufa huku akimrekodi video na kuirusha live kupitia Mtandao wa TikTok.   Tang Lu alimchoma moto mke wake wa zamani Septemba 2020 huku akirekodi moja kwa moja tukio hilo la kikatili, jambo lililosababisha mwanamke huyo aliyekuwa na umri wa miaka 30 kufariki dunia kutokana na majeraha aliyoyapata.   Mahakama nchini humo imetoa taarifa yake fupi kwamba imetekeleza hukumu hiyo ya kifo cha Tang Lu japokuwa Tang alikuwa amekata rufaa dhidi ya hukumu yake ya kifo, lakini alishindwa Januari, mwaka huu.   Kesi hiyo ilizua shutuma nyingi na hasira nchini China kutokana na matukio ya kikatili wanayokumbana nayo wanawake kwenye ndoa zao hivi sasa.

AJIRA MPYA ZA SERIKALI LEO

Image
  NAFASI MPYA ZA KAZI SERIKALINI LEO Advertisement  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TGDC NA TPSC 23-07-2022  TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI WIZARA YA KILIMO 23-07-2022

Majina ya walioitwa kwenye Usaili leo halmashauri mbalimbali

Image
Majina ya walioitwa kwenye Usaili leo halmashauri mbalimbali   Call For Interview  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA GAIRO 23-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA KISHAPU 23-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA LUDEWA 23-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA 23-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA 23-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA KYERWA 23-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA 23-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HANDENI DC 23-07-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO 22-07-2022