Posts

UGONJWA WA KISONONO - GONORRHEA

Image
Ugonjwa wa Kisonono (Gonorrhoea) ni ugonjwa unaoshambulia watu wengi, wanaume kwa wanawake. Ni ugonjwa unaotibika ingawa kwa miaka ya karibuni, wadudu wa ugonjwa huu wameonyesha kuanza kutosikia tiba zinazotolewa. Kisonono kisipotibiwa kikamilifu, huweza kuleta madhara ya kudumu kwenye mwili wa mgonjwa na kumfanya aweze kuambukizwa au kuambukiza UKIMWI kwa urahisi. Katika ukurasa huu tutaona chanzo cha ugonjwa huu, dalili zake na mwisho kinga na tiba inayoweza kutolewa kwa ugonjwa huu. Chanzo Cha Kisonono (Gonorrhoea). Kisonono ni ugonjwa unaoambukiza kwa ngono – sexually transmitted infection (STI) – na unasababishwa na bakteria aitwaye Neisseria gonorrhoeae au gonococcus. Bakteria huyu hupenda kuzaliana kwenye maeneo ya joto, yenye unyevunyevu yakiwemo maeneo ya shingo ya uzazi (cervix), nyumba ya uzazi (uterus), mirija ya uzazi (fallopian tubes) na mrija wa kutolea mkojo nje (urethra). Bakteria hawa pia huweza kuzaliana kwenye mdomo, mkundu na mara chache kwenye koo n...

8 Job Opportunities at Teofilo Kisanji University (TEKU)

Imetangazwa Tarehe  August 22, 2019 Who We Are Teofilo Kisanji University (TEKU) was established in 2006 and is a fully registered private higher learning institution with the Tanzania Commission for Universities (TCU). It is owned by the Moravian Church in Tanzania under the Board of Trustees as provided in University Charter and Trust Rules in accordance with the Universities Act No.7,2005.It is situated in South- Western Tanzania in Mbeya City. The University is located at BLOCK T along Tanzania- Zambia highway about 500 meters from the main road Vision “To be a centre of excellence for acquiring professional skills through training, research, consultancy, community services and worldwide activities.” Mission ” To provide opportunities for and conduct training, research and Consultancy in the areas of theology, education, social sciences, science subjects, health science, commercial subjects and any other areas as the university will find useful to the community....

16 Job Opportunities at Mwenge Catholic University

Imetangazwa Tarehe  August 22, 2019 Mwenge Catholic University (MWECAU) was established in 2005. The University was formally known as Mwenge University College of Education (MWUCE). Historically the University was started as a teacher Training college in 2001 known as St. Joseph’s Teachers Training College. The University is owned by Tanzania Episcope Conference (TEC) with an open access and equal opportunity to Students and staff of different faiths and backgrounds. Since its establishment as a teacher training college, the University has been involved in active academic, research and community engagement efforts to fulfill its mandate as a distinguished academic institution as well responding to the government policy of expanding education facilities and training to private sector in Tanzania. Indeed, the University was opened in response to government requests for the quantity and quality expansion of secondary and higher education in the country. When St. Joseph’s...

Mungu hapendezwi na sadaka ya mwenye dhambi wala kuyasikia maombi ya Muovu

Image
Karibu mpendwa tujifunze maandiko pamoja kwa siku yaleo. Tutajikita katika Kitabu cha nabii Isaya 1:10-17 10 Lisikieni neno la Bwana, enyi waamuzi wa Sodoma; tegeni masikio msikie sharia ya Mungu wetu, Enyi watu wa Gomora  11 huu wingi wa sadaka zenu mnazonitolea unafaida gani? Asema bwana. Nimejaa mafuta yawanyama walionona, nami sifurahii damu ya ng'ombe wala ya mwana-kondoo wala ya mbuzi waume 12 mjapo ili kuonekana mbele zangu, ninani aliyetaka neno hili mikononi mwenu,  kuzikanyaga nyua zangu? 13 msilete matoleo ya ubatili, uvumba ni chukizo kwangu, mwezi mpya na sabato, kuitaka makutano, siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada. 10: 15-17 15 Nanyi mkunjuapo mikono yenu, nitaficha  macho yangu nisiwaone,  Sam, hata muombapo maombi mengi sitasikia, mikono yenu imejaa damu 16 jiosheni, jitakaseni, ondoeni uovu wa matendo yenu usiwe mbele za macho yangu, acheni kuenda mabaya 17 jifinzeni kutenda mema, takeni hukumu ya haki, wasaidieni walioonewa, m...

mashallah! Hii ndiyo sauti taam ya Siti binti Saad

Image
Umewahi kumsikia mwimbaji Huyu? Labda umepata kusimuliwa kuna baadhi ya watu wanamlinganisha na nguli mwingine wa muziki wa Taarab Bj kidude, Leo nimekuwekea hapa sauti kuisikiliza sauti tamu ya siti Bint saad. Bofya video kutazama Usisahau kuacha ujumbe wako

Malkia wa Sheba: na safari yake ya kutafuta hekima

Image
Licha ya kuwa chimbuko lake bado linashindaniwa, Malkia wa Sheba – anaejulikana pia kwa jina la Makeda – ni jina muhimu kwa Waethiopia. Kwa wengi ni alama ya uzuri, upendo, amani, na mtu aliyependa kutafuta elimu na maarifa. Lakini kwa Waethiopia, Malkia wa Sheba kwao ni kila kitu. Kukutana kwake na Mfalme Sulemani miaka 3,000 iliyopita, ni jambo la kihistoria. Hii hapa hadithi yake. Malkia wa Sheba aliishi lini?  Anaaminika aliishi zaidi ya miaka elfu tatu iliyopita. Malkia wa Sheba anajulikana kwa lipi?  Kufuatia kiu chake cha kupata maarifa, malikia huyu anasemekana alimtembelea mfalme Sulemani wa Israel aliyekuwa na hekima nyingi mjini Jerusalem. Historia iliyoandikwa inadokeza kuwa malkia huyu alimzalia mfalme Sulemani mwana wa kiume ambaye alikuja kuwa mfalme wa kwanza wa Ethiopia wa utawala wa Kisulemani. Tunajuaje kuhusu kuishi kwake?  Tukio hilo la Jerusalem lilinakiliwa katika nyaraka mbali mbali ikiwemo bibilia ya Kiyahudi, Quran ambamo Malk...

UDOM 2019/2020 ANNOUNCEMENT FOR STUDENTS ADMITTED INTO DIFFERENT STUDY PROGRAMMES AT UDOM WITHOUT MULTIPLE ADMISSIONS FOR THE 2019-2020 ACADEMIC YEAR

Image
-Wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga katika chuo kikuu cha Dodoma UDOM -Kozi mbalimbali UDOM 2019/2020 -BOFYA HAPA Kupakua majina yote