Posts

SIMBA YAPANGIWA KUNDI HILI HATUA YA MAKUNDI AFRICA

Image
Katika Droo iliyo fanyika mjini kairo misri mabingwa Wa Tanzania simba wamepangwa kundi  Lenye timu Angalia Live hapa

YAWEZEKANA WEWE NDIYE UNAYESABABISHA ACHEPUKE JITATHMINI

Image
NI Ijumaa nyingine nzuri tunapokutana katika uwanja wetu huu, kujadiliana kuhusu mambo yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Leo nataka tujadiliane kitu tofauti kwa lengo la kuwekana sawa. Napenda kuzungumza zaidi na wanawake. Kama wewe ni mwanamke, umewahi kujiuliza mumeo anahitaji nini zaidi kutoka kwako? Yawezekana likawa ni swali ambalo halina maana, lakini majibu yake ni mapana zaidi. Wengi huwa wanafikiri hitaji kubwa la mwanaume kwa mwanamke, ni kufanya mapenzi, lakini je, hilo ndilo jibu sahihi? Ipo wazi kwamba tendo la ndoa ndilo linaloikamilisha ndoa, iwe imefungwa Kikristo, Kiislam, kimila au kiserikali. Hakuna ndoa ambayo inaweza kukamilika bila wanandoa kukutana kimwili, lakini je, hilo ndilo hitaji pekee linaloweza kumfanya mumeo akaridhika na wewe? Wanawake wengi, hasa wasichana wanaoanza kuingia kwenye mapenzi, huhisi wao ni warembo, wana mvuto machoni mwa wanaume au wana maumbo mazuri, basi hiyo ndiyo tiketi ya wao kuolewa na kudumu kwenye ndoa zao. Hata hivyo,...

Askofu aonya misaada ya Wazungu Inayotaka Tukubaliane na USHOGA

Image
Askofu Alinikisa Cheyo wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi amewataka watanzania kuepukana na misaada inayotokana na ushoga kutoka mataifa ya nje.   Aidha, amewataka kuacha vitendo vya ukatili dhidi ya watoto ikiwemo adhabu ya viboko kuanzia nyumbani hadi shule hali inayowafanya kujengeka kikatili kwenye makuzi.   Cheyo ametoa wito huo katika Kanisa la Mabatini Kata ya Mbalizi Road Jijini Mbeya katika ibada ya mbaraka kwa wanandoa kumi ibada iliyovuta hisia za watu wengi Jijini Mbeya.   Hata hivyo ameiasa serikali na jamii kwa ujumla kupinga vitendo vya ushoga kwani ni kinyume na maadili ya Kikristo.   “Taifa liepukane na misaada inayotokana na ushoga kutoka mataifa ya nje kuwakuwa ni kinyume na maadili ya dini ya kikristo, hivyo tuupinge kwa nguvu zote,”alisema.   Hata hivyo, Askofu Cheyo alisema vitendo vya ukatili vimekuwa vikiongezeka katika jamii vikiwemo vya ubakaji na ulawiti katokana na watoto kuf...

Vigogo watakaokutana na Simba makundi Afrika

Image
NA AYOUB HINJO MASHELESPORT BAADA ya safari ndefu kwa timu mbalimbali kutafuta tiketi ya kutinga katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, hatimaye klabu 16 tu zimefanikisha safari hiyo kikamilifu zaidi. Timu hizo 16 zitatengeneza makundi manne ambayo yatakuwa na klabu nne kila kundi huku mbili za juu zikipata nafasi ya kusonga mbele kuitafuta robo fainali. Makundi hayo yatapangwa kesho katika makao makuu ya Shirikisho la Soka Afrika, Caf, nchini Misri kwenye Mji wa Cairo huku michezo ya kwanza ikitarajiwa kupigwa Januari 11 mwakani. Ni mataifa 11 tu ambayo yanawakilisha timu zao kwenye hatua ya makundi, nchi hizo ni Simba (Tanzania), Esperance FC na Club Africain (Tunisia), Al Ahly na Ismaily (Misri), Wydad Casablanca (Morocco), Mamelodi Sundowns na Orlando Pirates (Afrika Kusini), Lobi Stars (Nigeria), ASEC Mimosas (Ivory Coast), JS Saoura na CS Costantine (Algeria), TP Mazembe na AS Vita (DR Congo), Platinum FC (Zimbambwe) na Horoya (Guinea). Makala ha...

MCHICHA WAANGUSHA MBUYU SIMBA WAFA 3-2 TAIFA NA KUFUNGASHIWA VIRAGO KOMBE LA SHIRIKISHO

Image
RAUNDI ya tatu, kwa sasa mchezo kati ya Simba na Mashujaa ambao unachezwa katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam ambao ni wa kombe la Shirikisho unaendelea. Mashujaa wanasawazisha bao la Paul Bukaba dakika ya 48 na kufanya iwe 1-1, Bukaba aliandika bao la kwanza kwa Simba dakika ya 18 baada ya shuti la kona iliyopigwa na Shiza Kichuya kumfikia Said Ndemla aliyepiga shuti kali ambalo mlinda mlango alitema. Dakika ya 48 Said Hamisi wa Mashujaa anasawazisha bao baada ya Paul Bukaba kuzembea baada ya kumtibulia mipango akaanguka chini. Dakika ya 57 Jeremia Josephat anaiandikia bao la 2 akitumia makosa yaleyale ya mabeki wa Simba na kuwanyanyua mashabiki wa Mashujaa, Rashidi Athuman anaandika bao la 3 dakika ya 90 akiwa nje ya 18. Faulo iliyopigwa na Clytous Chama aliyeingia dakika ya 60 akichukua nafasi ya Abdallah Seleman na kufungwa na Paul Bukaba dakika ya 80 na kuweka usawa. Mlinda mlango wa Mashujaa amekuwa ni shujaa kwa kuokoa mashuti ya washambuliaji wa Simba ambao mpaka sasa wame...

KAMWE HAITASAHULIKA 25 DECEMBER 1914

Image
Kuna matukio ndani ya dunia hii ni magumu kusahulika kwa vizazi na vizazi. Ni ngumu kwa waingereza kumsahau Diego Maradona na goli lake la mkono robo fainali kombe la dunia mwaka 1986. Yapo mengi sana ya kukumbukwa ambayo yanarithishwa  kwa vizazi na vizazi ili kumbukumbu isipotee. Ijumaa ya tarehe 25 December 1914 katika maadhimisho ya siku kuu ya Christmas, miezi mitano tu baada ya mtutu wa vita vya kwanza vya dunia kuwaka, dunia ilishuhudia tukio la ajabu ambalo mpaka leo limebaki historia ya pekee katika uga wa soka , diplomasia, kijeshi na masuala ya haki za kibinaadamu. Vikosi vya majeshi ya Uingereza toka Bataliani namba mbili ya London Rifle Brigade vilikutana na vikosi vya Ujerumani kwenye eneo lisiloshikiliwa na upande wowote kivita ( noman's land ) na kusheherekea siku kuu ya Christmas kwa kuimba nyimbo za Christmas na kucheza mpira pamoja. Mtandao wa CIA Book of facts unaielezea kirefu vita hii. Tukio hili ambalo kwenye kumbukumbu kidunia linajulikana kama ...

MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KABLA YA KUNUNUA MAJI YA KUNYWA YA CHUPA.

Image
Wakati unakwenda dukani kuinunua maji ya kunywa, kitu cha mwisho ambacho watu wengi hukiangalia ni ile chupa ya maji ambayo wanataka kuinunua. Lakini wataalamu wa afya wameshauri vitu mbalimbali vya kuangali katika chupa ya maji unayotaka kuinunua. Vitu hivyo ni muhimu sana katika kuhakikisha afya yako inakuwa salama hata baada ya kutumia maji hayo. Makapuni yanayotengenezwa vinywaji yanalazimika kuchapisha viambatanisho vilivyowekwa kwenye bidhaa hizo. Chupa nyingi za plastiki huwa na maneno kama PP, HDPE au HDP kwa chini yaliyozungukwa na kama alama ya pembe tatu. Chupa hizi huwa ni salama kwa sababu huwa hizitoi sumu kwenye maji. Katika makala hii tutakueleza hatua chache unazotakiwa kuzipitia kuweza kupata aina bora ya maji. Hivi ndivyo vitu anavyotakiwa kuviangalia kwa makini unaponunua maji.   PETE or PET Hii hutoa kemikali na chuma (metals) ambavyo huathiri uzalishaji wa homoni katika mwili wa binadamu inapotumika kwa kiasi kikubwa. HDPE or HDP Alama hizi ni sal...