Posts

Wema atikisa wizara ya Sana'a, naibu waziri ateta

Image
Friday, October 26, 2018 Alichokisema Naibu Waziri wa Habari Juliana Shonza Kuhusu Sakata la Wema Sepetu Kusambaza Video Chafu Naibu Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Mhe. Juliana Shonza *** Msanii wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu leo ameitwa kuhojiwa na Bodi ya Filamu Tanzania kuhusu kusambaa kwa picha zake za faragha kwenye mitandao ya kijamii. Akiongea na kituo cha runinga cha EATV, Naibu Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Mhe. Juliana Shonza amesema wameanza kuwachukulia hatua wasanii wote waliochapisha video zenye maudhuhi ya picha za ngono mitandaoni. Kwa upande mwingine, Mhe. Shonza amesema kuwa licha ya wasanii hao kuhojiwa na Bodi ya  filamu pia watahojiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

PICHAZ: HALI ILIVYO NYUMBANI KWA MO DEWJI

Image
HII ni taswira halisi ya nyumbani kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji (MO) maeneo ya Oysterbay jijini Dar es Salaam ambaye ametekwa leo alfajiri katika eneo ambalo anafanyia mazoezi kila siku (GYM) Colosseum iliyopo maeneo ya Masaki. Tumeweza kufika eneo amablo anaishi na kuangalia hali halisi ya kwake na kukuta ulinzi mkali unaendelea nyumbani kwake hapo. Picha kwa hisani ya Global

Wanafunzi kupewa usafiri wao binafsi Dar

Image
  Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amesema serikali ya Mkoa huo ipo katika mikakati ya kuingiza magari 20 maaulum kwa ajili ya wanafunzi wa mkoa huo ili kuwaondolea adha ya usafiri na kuwapa fursa ya kuwahi masomoni hususani nyakati za asubuhi. Makonda ameyasema hayo leo alipotembelea kituo cha mabasi yaendayo haraka kilichopo Kimara, Dar es salaam, ambapo ameahidi kulitatua suala la usafiri lililojitokeza kituoni hapo sambamba na kumaliza tatizo la usafiri kwa upande wa wanafunzi wa mkoa wa Dar es salaam kwa kuwapatia magari yao binafsi. “Kuna changamoto ya wanafunzi wanapata shida ya usafiri na wengi wao ni watoto, sisi kama serikali ya Mkoa tuna mpango wa kuingiza magari 20 maalumu kwaajili ya wanafunzi wetu ili watoto hao waweze kupata fursa ya kuwahi masomoni, na mpango huo endapo wakubwa zetu wakikubali tutaanza kutumia barabara za mwendokasi”, amesema Makonda. Aidha Makonda amewaomba wananchi wanaotumia usafiri wa mwendokasi kuipatia serikali muda...

Updates za Mchana: Polisi Yasema Mo Dewji Bado Hajapatikana, Oparesheni Kali ya Kumtafuta Bado Inaendelea

Image
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amezungumza mchana huu kuhusiana na tukio la kutekwa mfanyabiashara maarufu nchini, Mo Dewji ambapo amesema hadi mchana huu taarifa rasmi ni kwamba Mo bado hajapatikana na watekaji bado hawajakamatwa. Mambosasa amewataka wananchi kuzipuuza taarifa zinazosambaa mitaani kwamba Mo kapatika akiwa Coco beach kwa kuwa ni za uongo na wala hazijatolewa na ofisi yake. Amesema jeshi la polisi linaendelea na Opareshen kali kwa kushirikisha mikoa mitatu kuhakikisha Mo Dewji anapatikana na watekaji wanatiwa Mbaroni

Historia ya KAMUSI na faida za KAMUSI The History and Significance of Dictionaries

Image
Language is fluid. In fact, the most recent edition of the Merriam-Webster dictionary boasts seventeen hundred new entries including "photobomb," "meme," "emoji," and "jegging." Looking back at the history of language, it's interesting to note that Noah Webster, the “Father of the American Dictionary,” came of age during the American Revolution. At that time, words had the power to define our national identity. Later, they had the power to reflect that new identity as it evolved. Webster believed that “Great Britain, whose children we are, and whose language we speak, should no longer be our standard...” and so he set out to create a new standard. The Old Standard:  Samuel Johnson’s Dictionary The pre-eminent English dictionary was  Samuel Johnson’s . It was published in 1755 and had taken nine years to complete. Its entries were unique in that Johnson used literary quotations to illustrate the meaning of a word. He often cited Wil...

UCHOMOZAJI WA KAMUSI ZA AWALI KATIKA BARA LA ULAYA NA MAENDELEO YALIYOFIKIWA KATIKA KARNE HII

  1.0    IKISIRI Katika jamii yoyote ile ulimwenguni dhana ya maendeleo haiji kama mvua, bali huanza hatua kwa hatua. Hali kadhalika hatua hizo hujibainisha katika historia kwa kupitia vipindi mbalimbali jamii tangu jamii ilipoanza kujikongoja katika masuala mbalimbali mpaka hivi sana na hata kubashiri mwelekeo wa jamii katika nyakati zijazo. Hivi ndivyo hata taaluma ya leksikografia ilivyoanza na hatimaye uchomozaji wa kamusi za awali katika bara la Ulaya mpaka kufikia maendele tuliyonayo katika karne hii. 2.0    UTANGULIZI Makala hii imekusudia kujadili uchomozaji wa kamusi za awali katika bara la Ulaya na maendeleo yaliyofikiwa katika karne hii. Awali ya yote tutaanza kufasili dhana muhimu zilizojitokeza katika mjadala huu kama vile: dhana ya uchomozaji na dhana ya kamusi, kisha tutaangalia historia ya kamusi katika bara la Ulaya halafu maendeleo yaliyofikiwa katika karne hii na mwisho tutahitimisha kwa muhtasari juu ya yale tuliyojadili....

UANDISHI WA KAMUSI, MAANA YA KAMUSI NA JINSI YA KUANDAA KAMUSI

Image
                                                                                                                                                                                                                                                                                        ...