Posts

Mapya Yaibuka Tena Kwenye Hukumu Ya Babu Seya Na Papii Kocha!!

Image
Mapya Yaibuka Tena Kwenye Hukumu Ya Babu Seya Na Papii Kocha!! April 27, 2017   Hussein S. Omary Tumaini jipya! Mtoto wa kiume wa mfungwa anayetumikia kifungo cha maisha jela, Nguza Viking ‘Babu Seya’, Mbangu Nguza ameibuka na kusema kuwa, mwaka 2017 ndiyo wa mwisho kwa baba yake na mdogo wake, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ kuendelea kutumikia kifungo chao cha maisha jela. Akizungumza katika mahojiano maalum na Amani mwanzoni mwa wiki hii, Mbangu alisema kuwa, turufu ya mwisho ya hukumu ya ndugu hao ipo kwenye mikono ya Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika (AfCPHR) yenye makazi yake jijini Arusha ambayo kimsingi vikao vitatu vya awali vimeshakaa na kubaini kuwa, hukumu ya Babu Seya na Papii ilikuwa na kasoro. “Unajua watu hawafahamu, kule ambako hukumu ya mzee na bwana mdogo (Papii), ilipelekwa kuna hatua. Kwanza kabisa, wale majaji wanatoka nchi mbalimbali, kwa hiyo siyo kwamba wanakwenda tu Arusha na kupitia hukumu, hapana. “Kilichofanyika ni kwamba, kuna watu ...

Viumbe wakosekana katika anga za juu

Image
Viumbe wakosekana katika anga za juu   Tuesday, April 25, 2017   Kiumbe wa anga za juu Wataalamu wa masuala ya sayansi wanaotafuta maisha katika anga za juu watahitajika kusubiri zaidi Mradi huo wa gharama ya dola milioni 100 wa kutafuta dalili za viumbe wa anga za juu bado haujapata chochote mwaka mmoja baada ya kuzinduliwa. Shughuli hiyo inafanywa kwa kutumia darubini kubwa ambayo inasikiza dalili yoyote ya kuwepo viumbe vya angani. Wanasayansi walitoa visa 11 ambavyo vilitarajiwa kuonyesha dalili za maisha angani lakini tena wakaamua kuwa vilitoka kwa binadamu. Prof Stephen Hawking anasema kuwa huenda kuna maisha katika anga za juu Mradi huo ni wa miaka kumi unaoungwa mkono na watu kama Prof Stephen Hawking. Darubini hizo zina uwezo wa kutafuta dalili za kuwepo teknolojia ambayo iliundwa na viumbe vilivyo nje ya sayari ya dunia. Darubini hii iliyo West Virginia, Marekani ni moja ya darubini zenye nguvu zaidi duniani Mwaka uliopita mrad...

Huyu ndie mwanasayansi alietengeneza virus hatari vya ukimwi

Image
Huyu ndie mwanasayansi alietengeneza virus hatari vya ukimwi   Ameua maelfu na maelfu ya watu, alitengeneza ugonjwa huu mnamo miaka ya 1970, na sasa daktari huyu kwa jina Robert Gallo  ametoka adharani na kusema amepata dawa ya kutibu ugonjwa huo. Robert Gallo  anaelezwa kwamba alihusika na vita vya kibaiolojia kwa lengo la kuwaondosha watu weusi na mashoga duniani katika miaka ya 1970

UHAKIKI :SITA SAHAU MV BUKOBA

Image
picha haihusiani na chapisho  SITASAHAU MV BUKOBA UHAKIKI WA KITABU: SITASAHAU MV BUKOBA 1. Rekodi za Kibibliografia. Jina la Kitabu kinachohakikiwa hapa ni SITASAHAU MV BUKOBA na kimeandikwa na Nyaisa Simango. Mchapishaji wa kitabu hiki ni E & D Vision Publishing na amekipatia namba ifuatayo katika sekwensia ya vitabu duniani (ISBN): 978- 9987- 521- 43- 2. Kimechapishwa mwaka 2009 kikiwa na kurasa 167. Na anayekihakiki sasa hivi katika safu hii ni mimi Padri Privatus Karugendo. II. Utangulizi. Kitabu hiki ni kumbukumbu ya kupinduka na kuzama kwa meli ya MV Bukoba katika ziwa Victoria mnamo mwaka wa 1996. Hadi leo hii kuna maswali mengi juu ya tukio hili lililochukua roho za watu zaidi ya 800. Je, ni nini hasa kilichosababisha meli ya MV Boboka kuzama? Je, ajali hiyo ingeweza kuzuilika? Watu wamekuwa na mawazo tofauti kuhusu ajali hii. Kuna watu walioamini kuwa kuzam...

BREAKING NEWS: TFF YATANGAZA KUIPOKA SIMBA POINTI TATU, YAZIRUDISHA KWA KAGERA SUGAR

Image
 KWA KAGERA SUGAR BREAKING NEWS: TFF YATANGAZA KUIPOKA SIMBA POINTI TATU, YAZIRUDISHA KWA KAGERA SUGAR Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) limetangaza kuipoka Simba pointi tatu na mabao matatu ambazo ilipewa kutokana na mchezo wao dhidi ya Kagera Sugar. Wiki mbili zilizopita Simba ilipoteza mchezo dhidi ya Kagera kwa kufungwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa  Kaitaba  mkoani Kagera katika mchezo wa Ligi Kuu ya Bara lakini baadaye ilikata rufaa ikipinga Kagera kumtumia mchezaji Mohamed Fakhi ikidai alikuwa na kadi tatu za njano, ndipo ikapewa ushindi huo kupitia Kamati ya Saa 71. Mara baada ya kamati hiyo kuipa Simba pointi Kagera ikaomba kupitiwa upya kwa suala hilo na nsipo TFF ikatangaza kuwa suala hilo sasa litakuwa chini ya Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF ambayo ndiyo imetoa maamuzi hayo. Akizungumza na waandishi wa habari juu ya uamuzi huo, Katibu Mkuu wa TFF, Selestine Mwesigwa amesema kuwa kuna sababu kadhaa zimechangia kuchukuliwa ...

Imevuja: HUYU NDIYE RAIS MPYA DARUSO :WADAU WATAJA SIFA ZAKE

Image
Wana UDSM walipo ulizwa wanamtaka kiongozi gani walikuwa na haya ya kusema : Hayupo zaidi ya (hapa ametaja jina fulani)    ambaye ameenguliwa!*×**** *Mgombea mkweli muwazi na mwenye kiu ya kuleta maendeleo ya daruso sio mwenye nia ya wizi wa fedha*********awe  kiongozi mchapa kazi hasa  kwa utendaji uliotukuka katika bunge lililopita kama Naibu spika ,,,, ni kiongozi mtetekezi wa haki  bila kujali daraja lipi onevu,,,,****,, awe kiongozi mwenye kuwaza na kuwazua shida na kero za wanafunzi ,,,,****, binafsi naona anafaa kama kiongozi wa serikali ya wanafunzi ili kutekeleza yale  ambayo ni ya msingi kwa masilahi ya chuo na wanafunzi kwa ujumla*****.Hakuna kiongozi kwa sasa; Lkn (kataja majina mawili ya mgombea urais na makamu)  , wao wamewazid wenzao kwa uhakika wa taarifa zao, Nguvu za Hoja, Uelewa wa juu ya kazi na miongozo ya nafaasi zao, pia angalau hawajakutwa na ukada*********1.Mgombea asiyefungamana na upande wowote wa siasa,kwa nn?  Coz...

UTAFITI: Watu waliofikia elimu ya Chuo Kikuu hawapati magonjwa ya akili

Image
UTAFITI: Watu waliofikia elimu ya Chuo Kikuu hawapati magonjwa ya akili Utafiti uliofanywa na Wanasaikolojia kutoka Chuo Kikuu cha  Exeter, Uingereza umegundua uhusiano uliopo baina ya elimu na magonjwa ya ikisemwa kuwa watu waliofika hatua ya Chuo Kikuu wana asilimia ndogoya kupata magonjwa ya akili ukilinganisha na watu ambao hawakufikia kiwango hicho. Utafiti huu ulihusisha watu zaidi ya 2,315 wenye umri wa miaka 65 ambapo zaidi ya nusu ambao hawakufika elimu ya Chuo Kikuu walionesha dalili za magonjwa ya akili kama  Dementia  na  Alzheimer  huku waliofika hatua hiyo wakionesha kutokuwa na dalili ya magonjwa hayo. Profesa  Linda Clare,  Mtaalamu wa mambo ya ubongo alisema:>>>  “Mara nyingi watu wanaopata magonjwa ya akili wanapofikisha umri mkubwa ni watu ambao hawakupata elimu kubwa. Hii ni kwa sababu kupata elimu kunakusaidia kushughulisha akili. Hivyo ni vigumu kupatwa na magonjwa yanayoathiri ubongo.”