Imevuja: HUYU NDIYE RAIS MPYA DARUSO :WADAU WATAJA SIFA ZAKE

Wana UDSM walipo ulizwa wanamtaka kiongozi gani walikuwa na haya ya kusema :Hayupo zaidi ya(hapa ametaja jina fulani)   ambaye ameenguliwa!*×****
*Mgombea mkweli muwazi na mwenye kiu ya kuleta maendeleo ya daruso sio mwenye nia ya wizi wa fedha*********awe  kiongozi mchapa kazi hasa  kwa utendaji uliotukuka katika bunge lililopita kama Naibu spika ,,,, ni kiongozi mtetekezi wa haki  bila kujali daraja lipi onevu,,,,****,, awe kiongozi mwenye kuwaza na kuwazua shida na kero za wanafunzi ,,,,****, binafsi naona anafaa kama kiongozi wa serikali ya wanafunzi ili kutekeleza yale  ambayo ni ya msingi kwa masilahi ya chuo na wanafunzi kwa ujumla*****.Hakuna kiongozi kwa sasa;
Lkn (kataja majina mawili ya mgombea urais na makamu) , wao wamewazid wenzao kwa uhakika wa taarifa zao, Nguvu za Hoja, Uelewa wa juu ya kazi na miongozo ya nafaasi zao, pia angalau hawajakutwa na ukada*********1.Mgombea asiyefungamana na upande wowote wa siasa,kwa nn?  Coz sasa hivi Tanzania ukiwa unatoa huduma flani watu wakajua wewe ni mtu wa upande flani basi ujue upande ule umeukosa,Vivyo hivo na DARUSO kama watu watajua ww unafungamana na chama cha siasa basi tegemea ushiriako mdogo kutoka kwa wanachama flani na utapingwa na kutengenezewa kashifa nyingi lengo tu kukuchafulia!  Kwa wagombea yupo mmoja tu hafungamani na chama.

2.asiwe na uhusiano au na support ya uongozi uliopita, why? Ukimuuliza mtu yeyote hapa Udsm atakwambia uongozi unaomaliza muda wake ulikuwa weak sana,kiasi cha kushindwa kuwatetea wanadaruso wake na haukuwa independent maamuzi mengi yalikuwa ya misukumo toka juu. So watu wakijua ww unaungwa mkono na serikali inayotoka basi ujue ww mwenyewe upo weak and you aren't independent like the current leadership. Ila kuna Mgombea mmoja tu,asiyeungwa mkono na uongozi wa sasa I mean anatoka nje ya mfumo.
 Shortly ni hizo but there are any reasons.
***  Prince KOMBO JR.2nd year*****Mimi naweza kutoa maoni ambayo Ni biased mkuu maana nitakuwa(kamtaja mgombea fulani )na conflicting interest nitataja sifa za  na pengine WITHOUT PREJUDICE nikawakandamiza wengine, samahani sitatoa maoni.
: Ni biased mkuu maana nitakuwa na conflicting inte*****Muajibikaj asiye mbaguz pia anayependa***Muajibikaj asiye mbaguz pia anayependa kijitolea kwaajili ya watu wake*****,1‬: Kwanza asiwe puppet  kwa utawala
[‬: Awe mwenye kutetea wasio Na sauti maana ndo anaowawakilisha***Muajibikaj asiye mbaguz pia anayependa kijitolea kwaajili ya watu wake*****,1‬: Kwanza asiwe puppet  kwa utawala
[‬: Awe mwenye kutetea wasio Na sauti maana ndo anaowawakilisha****  mwisho ikumbukwe hapa hatupo upande wowote wa mgombea endelea kuwa na blogu hii ujuzwe usisahau kushare *****tunakujali msomaji wetu****aidha mgombea unaweza kupitia maoni haya yakakusaidia *******

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?