MATOKEO YAKIDATO CHANNE 2023 KUTOLEWA KESHO

 


Baraza la mitihani Tanzania Necta linatarajia kutangaza matokeo ya mitihani ya Kidato Cha nne 2023. (CSEE) na Maarifa QT . Matokeo hayo yanatokana na  mitihani waliyofanya mwaka Jana 2023. Ambao wanafunzi watakaofaulu kuanzia Division 1 Hadi Division 3 wanatarajiwa kujiunga na shule mbalimbali za Kidato Cha Tano nchi

  • Jinsi ya kutazama matokeo ya Kidato Cha nne 2023/2024
Matokeo ya Kidato Cha nne yatakapotangazwa yatapakiwa katika tovuti mbalimbali ikiwemo tovuti hii na tovuti rasmi ya Baraza la mitihani Necta.go.tz 

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?