KIJANA ALIYETOBOA MAISHA BAADA YA KUKOSA AJIRA

Wakati wengine wakilalamikia kwamba maisha ni magumu na hakuna ajira, kijana Richard yeye aliamua kujiongeza baada ya kuhitimu katika Chuo Kikuu cha Dares Salaam na kukosa ajira.

Richard anaeleza kwamba aliamua kuwekeza kwenye kilimo cha vitunguu ambacho kimemfanya atoboe kimaisha, hivi sasa akiwa anafanya biashara ya kuuza magari, akimiliki ‘yard’ yake ya @troni_motors.

Credit : GP

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?