Bunge laridhia ushirikiano na Dpword sekta ya bandari tanzania

 



Bunge limepitisha mkataba kuhusu Ushirikiano wa #Tanzania na Kampuni ya #Dubai ya #DPWorld katika Uendeshaji, Uendelezaji na Uboreshaji wa baadhi ya Bandari zote za Baharini na Maziwa zilizopo Tanzania Bara, ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam

Mkataba huo uliibua maswali kutoka kwa Wananchi ikiwemo thamani na muda wa utekelezaji, pia sababu za Tanzania kuingia mkataba na kampuni inayotajwa katika kesi za ukwepaji kodi, migogoro katika utekelezaji mikataba iliyosababisha baadhi ya nchi kuvunja mikataba
______

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?