WATANZANIA WALIOKWAMA SUDANI WAREJEA

 



Ndege iliyowabeba raia wa Tanzania waliokuwa wamekwama Sudan imewasili salama Jijini Dar es salaam.


Watanzania hao waliookolewa waliondoka Sudan kwa mabasi kuelekea Addis Ababa kabla ya kuwasili nchini kwa ndege ya Shirika la Ndege ATCL.


Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Dkt.Stergomena Tax amesema kufuatia siku tatu za kusitisha mapigano nchini Sudan,wameweza kuwasafirisha Watanzania 200, wanafunzi, watumishi wa Ubalozi na raia wengine.

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?