AJIRA ZAIDI YA 20,000 KUTOLEWA 2023

 



Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kutoa kibali cha kuajiri watumishi 21,200.


Katika ajira hizo, kada  ya walimu ni ajira 13,140 kwa shule za msingi na sekondari na kada ya afya ni ajira 8,070 kwenye halmashauri vituo vya afya na zahanati.


Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Rais, TAMISEMI, utaratibu wa kuajiri unaanza leo Aprili 16, 2023.

 UNATAFUTA KAZI BOFYA >HAPA>>

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?