TAARIFA NECTA KUHUSU MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022/2023

 


Baraza la mitihani leo 25,1,2023 limekanusha taarifa zinazosambaa mtandaoni kuhusu kutolewa kwa matokeo ya kidato Cha nne. Taarifa hizo sio za kweli na kuwa matokeo hayo yatatangazwa muda wowote yatakapokuwa tayari. Unaweza kutembelea tovuti ya NECTA Tanzania katika kiungo hiki, www.necta.go.tz




Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?