TAARIFA NECTA KUHUSU MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022/2023
Baraza la mitihani leo 25,1,2023 limekanusha taarifa zinazosambaa mtandaoni kuhusu kutolewa kwa matokeo ya kidato Cha nne. Taarifa hizo sio za kweli na kuwa matokeo hayo yatatangazwa muda wowote yatakapokuwa tayari. Unaweza kutembelea tovuti ya NECTA Tanzania katika kiungo hiki, www.necta.go.tz
Comments
Post a Comment