Posts

Showing posts from November, 2022

MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI NAFASI MBALI MBALI ZA KAZI

Image
  Call For Interview  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI ARU,LITA,OSHA, TARI, TGDC, BASATA,MWAUWASA,TMDA & WIZARA YA KILIMO 28-11-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI ASA 28-11-2022  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MAJINA YA NYONGEZA TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 25-11-2022

Ufahamu mfumo utakaopunguza gharama miamala ya fedha kwa njia ya simu

Image
Gavana aliyekuwa akizungumza na waandishi wa habari katika  kongamano la wadau fedha lililofanyika jijini Mwanza Novemba 22, 2022 amesema hawakuweza kutumia wataalam wa nje katika kutengeneza mfumo huo au kuiga mifumo ya nje na kilichofanyika ni kutengeneza wa kwao ambao utakuwa mfumo bora na wenye gharama nafuu katika miala ya fedha katika nchi za Afrika. Wadau wa sekta ya fedha wakishiriki kongamano wa fedha lililofanyika jijini Mwanza hivi karibuni. Picha | Mariam John. Yabuni mfumo unaopunguza gharama za miamala na makato. Utawapa ahueni watumiaji wa huduma za kifedha kwa njia ya simu. Mwanza.  Huenda watumiaji wa huduma za fedha kwa njia ya simu watapata ahueni baada ya kubuniwa kwa mfumo utakaopunguza gharama za miamala inayofanywa kwa njia ya simu na benki.  Hatua hiyo imekuwaja wakati mjadala wa tozo ya Serikali inayotozwa kwa miamala ya simu ambapo baadhi ya wananchi wanasema imeongeza gharama za maisha licha ya Serikali kusisitiza kuwa tozo hizo zinasaidia kubor...

Ajali yaua Singida, chanzo chatajwa

Image
Watu watatu wamefariki dunia baada ya kupata ajali katika Kijiji cha Kitopeni Halmashauri ya Itigi wilayani Manyoni mkoani Singida, huku mmoja akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ya Mtakatifu Gaspar Itigi. RPC Singida Stella Mutabihirwa, amesema ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia Novemba 27, 2022 na ilihusisha lori na gari ndogo aina ya Mazda. "Ajali hiyo ilisababisha vifo vya watu wawili papo hapo, na mmoja alifariki wakati anapatiwa matibabu, chanzo cha ajali ni uzembe wa dereva wa lori ambaye alihama kabisa upande wak na kulifuata gari dogo na kusababisha ajali hiyo," amesema ACP Mutabihirwa

Huyu mwanaume alinitesa sana katika mahusiano ila sasa nimemtuliza!

Image
  Jina langu ni Brenda kutokea Mbeya nchini Tannzania, mimi ni binti wa miaka 24, niliingia katika mahusiano na kijana mmoja, nikampa kila kitu nilichoweza kwa wakati huo.   Nakumbuka kipindi kile nyumbani tulikuwa tuna ng'ombe, niliiba maziwa kila siku na kumpelekea nyumbani kwao, nilimpend sana, penzi letu likawa huru alipoanza maisha yake mwenyewe.  Sikuwa najua lolote kuhusu mapenzi, alinifundisha yeye, nikatengeneza maisha yangu yote kwake, akanifanya nikawa mtumwa wa ngono kila nikienda ghetto kwake. Kama haikutosha sasa akaanza kunifundisha kunywa pombe, niliamini kuwa ndiye mume wangu mtarajiwa, kwa nini nikatae. Nilimkubalia kila kitu. Alinilazimisha ngono hata nilipokuwa katika siku zangu, kweli nilikuwa msomi na niliyajua madhara ya kufanya hivyo lakini sikutaka kumuudhi huyo niliyeamini kuwa ni mume wangu. Nilipenda tutumie kinga lakini aliipinga sana, nikapata mimba ya kwanza!! Hakuwa na pesa lakini alinilazimisha niitoe. Nikachukua hela nyumbani nikafan...

Athari Za Kula Udongo Kwa Mama Mjamzito

Image
  mwmaina@ke.nationmedia.com KITAALAMU, changamoto ya kula udongo huitwa  geophagia . Baadhi ya watu wenye upungufu wa damu hupenda sana kula udongo na kundi lingine kubwa likiwa ni wanawake wajawazito. Japo watu wengi husjikia vizuri wanapokula udongo lakini tabia hii ina madhara mengi kiafya. Ulaji wa udongo kwa muda mrefu unakuweka kwenye hatari ya kukabiliana na: minyoo matatizo ya tumbo vimelea kama amiba Kula udomgo kunaweza kusikusababishie madhara kwa haraka, lakini kunaweza kuchangia matatizo makubwa ya kiafya kwa siku za baadaye. Kadiri unavozidi kula udongo ndivyo unavyoongeza zaidi hatari ya kukabiliwa na madhara makubwa kama vile; Kupungukiwa damu Kula sana udongo kunaweza kuashiria una upungufu wa damu, lakini kula udongo hakuongezi damu kabisa. Ni muhimu kuonana na daktari akupime ili ajue kiwango cha damu mwilini mwako na akuelekeze kutambua lishe ya kukufaa kuongeza damu. Kupata bakteria na vimelea hatari Udongo umejaa bakteria na vimelea hatari. Kula udongo k...

Afya: Jizoeze kuangalia haja kubwa yako, unaweza kuokoa maisha yako

Image
  Chanzo cha picha, Getty Images Saa 2 zilizopita "Angalia haja kubwa yako." Huo ndio ujumbe mzito uliotolewa katika kampeni yake ya uhamasishaji kuhusu saratani ya utumbo mpana na mtangazaji wa BBC Deborah James, ambaye aliugua na kufariki wiki jana. Deborah James, mtangazaji wa BBC ambaye alifanya vita yake dhidi ya saratani kuonekana, afariki akiwa na umri wa miaka 40. Lakini saratani hii, pia inaitwa saratani ya matumbo au koloni ni nini, na jinsi ya kuigundua mapema? Hapa tunakupa mwongozo wa vitendo. Unawezaje kugundua saratani ya koloni? Kuna ishara kuu tatu za kuzingatia: Kinyesi kuwa na damu bila sababu dhahiri. Inaweza kuwa nyekundu au damu ya mzee. Mabadiliko katika njia ya kinyesi, kama vile kwenda kujisaidia mara nyingi zaidi au kinyesi kuwa chepesi au kigumu zaidi. Kuhisi maumivu au uvimbe kwenye tumbo la chini. Kunaweza pia kuwa na dalili nyingine kama vile: Kupungua uzito. Unahisi kuwa haujamaliza vizuri kujisaidia hata baada ya kutoka kujisaidia. Unah...

Manufaa Ya Ukwaju Katika Mwili Wa Binadamu

Image
    UKWAJU ni tunda la mkwaju ambalo hupatikana katika maeneo ya kitropiki. Kwa Kiingereza hujulikana kama tamarind na ambapo jina la kisayansi la mkwaju ni  Tamarindus indica. Katika baadhi ya maeneo, ukwaju hutumiwa kama kiungo katika mboga. Ukwaju una madini ambayo ni muhimu sana kwa afya zetu. Una calcium, vitamini C, copper, phosphorus, madini ya chuma, na magnisium. Namna ya kuutumia ukwaju Tengeneza juisi nzuri ya ukwaju. Anza kuitumia kama kiungo katika chakula. Unaweza pia kuyatafuna majani ya mkwaju yenye ladha ya chumvichumvi au kuyakausha majani hayo kivulini na kuweka katika uji, au supu au juisi ya matunda. Zifuatazo ni baadhi ya faida zitokanazo na matumizi ya ukwaju Ukwaju husaidia kuongeza uwezo wa macho kuona. Matumizi ya ukwaju, ama kwa kula au kutumia kama juisi huondoa matatizo ya macho na kukufanya uwe na macho yenye afya. Tunda hili ni muhimu na husaidia wenye ugonjwa wa kisukari kwa sababu ukwaju una viambata muhimu kama polyphenols na flavonoids a...

Hii ndio dawa ya kweli kwa wanaoota ndoto mbaya, kukomesha mauzauza!

Image
  Jina langu ni Nasra kutokea Tanga nchini Tanzania, miaka kadhaa nyuma iliyopita nilijikuta kwenye sehemu ya mauzauza, nilikuwa naota ndoto mbaya, nilikuwa katika  mazingira ya shule, kwa kuwa mazingira yale yalijaa mauzauza sikuweza kushangaa sana. Ilikuwa haipiti wiki mimi sijaugua, nilikuwa naota ndoto kama nakabwa, kipindi hicho bado nipo Shule, ilikuwa ni hali ya kuhatarisha katika maisha yangu, kiukweli katika dua na jamaa zangu lakini haikusaidia lolote. Tulikuwa tunaamka pamoja na rafiki yangu muda wa  saa 11 alfajiri, tunaomba dua hadi saa 12 asubuhi, kisha tunakwenda kuungana na wenzetu. Usiku saa nne kamili tunaanza dua walau nusu saa kisha tunakwenda kulala. Siku moja nakumbuka ilikuwa Ijumaa kuamkia Jumamosi, kama kawaida yetu baada ya prepo tulikwenda kufanya dua kwenye kajumba ambako kalikuwa kama mita 50 toka mabweni yalipo.  Wakati tunaendelea kupiga dua ya nguvu, tukiwa tumeshikana mikono, ghafla ulijitokeza moto unaowaka katikati yetu, kwa kuwa ma...

Hii ndio mbinu iliyowasaidia wengi kufaulu mitihani ya Chuo

Image
  Jina langu ni Pascal mkazi wa Buza, Dar es Salaam, kwa sasa nimuhitumu wa Chuo Kikuu nikiwa na Shahada ya Biashara, nafanya kazi zangu na kupata fedha nzuri.  Kipindi nasoma shule ya msingi sikuwa mwanafunzi mwenye akili darasani, kila mara nilikuwa mtu wa mwisho kiasi kwamba hadi wanafunzi wenzangu walikuwa wananicheka na kunikejeli.  Halafu walimu mwenyewe walikuwa wanatambua sikuwa na uwezo mzuri wa kimasomo na hadi naweza kusema walishakata tamaa na mimi na kuamini sitoweza kuja kubadilika.  Nilipofeli shule ya msingi wengi walisema hatukutegemea kama wewe utaweza kuja kufaulu masomo maana tunajua uwezo wako ilivyokuwa mdogo kimasomo.  Nilihitimu shule ya msingi nikiwa na miaka 12, bado nilionekana mdogo sana, ndipo wazazi wangu wakataka nikarudie tena kusema darasa la saba.  Wakati nataka kurudi tena shule ya msingi ili kurudia mtihani wa darasa la saba, kuna mjomba yangu aliyekuwa anaishi Nairobi nchini Kenya alikuja kututembelea. Aliniuliza kama ni...

AJIUA KWA KUNYWA MAJI YA BETRI BAADA YA KUMUUA MWENZAKE WAKIGOMBANIA MPENZI

Image
Kijana Richard Mtafya maarufu kama Masumbuko mwenye umri wa miaka 19, mkazi wa Ludewa kijijini inadaiwa amejiua kwa kunywa maji ya betri kwa kukwepa mkono wa sheria kwa shtaka la mauaji lililokuwa likimkabili. Kwa mujibu wa mtendaji wa Kijiji cha Ludewa Kijijini Atanas Mtega pamoja na Baraka Haule ambaye ni Katibu wa Kitongoji cha Ngongano wamesema kuwa kabla ya kifo chake mnamo Novemba 14 mwaka huu kijana huyo kwa kushirikiana na mwenzake walifanya mauaji ya kijana mwenzao aliyefahamika kwa jina la Alfred kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi. Aidha kwa upande wake mke wa marehemu huyo Angela Mhagama, amekiri kuwa alikuwa na mawasiliano na kijana huyo aliyeuawa na mumewe huku akieleza kilichotokea baada ya mumewe huyo kuona mawasiliano yao. Magreth Haule ni bibi wa marehemu huyo ambaye pia ni mlezi wa kijana huyo toka alipokuwa mtoto mdogo amesema wakati matukio hayo yanatokea alikuwa shambani huku wananchi wakielezea masikitiko yao juu ya tukio hilo. Via: EATV

HIZI HAPA FAIDA ZA KULA BAMIA

Image
JAPOKUWA bamia huchukuliwa na wengi kuwa ni chakula rahisi kinachotumiwa zaidi na kundi la watu wenye uchumi wa chini na kati, ukweli kwamba aina hiyo ya mboga ina maajabu ya aina yake mwilini.   Walaji wa bamia hunufaika kwa kupata utitiri wa viinilishe vilivyomo kwenye zao hilo, ambavyo humpatia mlaji faida za kiafya takribani 20. Mojawapo ya faida za ulaji wa bamia ni kuwasaidia wanawake kuepukana na changamoto za kiafya zinazojitokeza kwa baadhi yao ambao huwa na siku zisizotabirika za mizunguko yao ya kila mwezi.   Wapo wanawake wanaosumbuliwa na hedhi za mara kwa mara, ulaji wa bamia utawasaidia kuondokana na tatizo hili. Faida nyingine ya ulaji wa bamia ni kuondoa vimelea vya sumu kwenye ngozi ya mwanadamu.   Ulaji wa bamia husaidia pia kukabili ugonjwa wa pumu. Huongeza kinga ya mwili na mtu akiwa na kinga ya mwili, hawezi kushambuliwa na maradhi mara kwa mara. Faida nyingine ya ulaji wa bamia ni kupata virutubisho aina ya nyuzinyuzi amba...

Hii ndio dawa ya migogoro yote ndani ya ndoa!

Image
  Jina langu ni Debora kutoka Mwanza, Tanzania, mwaka mmoja baada ya kufunga ndoa na mume wangu Kelvin mambo yalianza kubadilika hasa kwa upendo aliokuwa nao mwanzo mume wangu alipunguza.   Hali hii ilinipa wasiwasi  mkubwa sana lakini kiukweli mume wangu nilimkabidhi moyo wangu wote  hivyo sikumfikilia vibaya licha ya hayo niliyokuwa napitia.  Tukiwa tumelala kitandani aliniambia  mke wangu sitaki nikuone mtandaoni wewe ni mke tayari na unatakiwa kuishi kama mke  kwa   Nilikuwa namheshimu na kumpenda sana mume wangu sikutaka kubishana nae japo iliniuma kwani nilikuwa nimezoea kuingia mitandao sana tangu nikiwa kwetu.  Nilimpatia simu yangu usiku ule ule kisha akafuta mafaili yote ya mtandaoni, hapo nilijiuliza maswali mengi kwanini kafanya vile au hataki niwe natumia simu, nilijiuliza ila sikuweza kupata jibu kwa muda huo mimi nilizidi kuongeza upendo katika ndoa.  Nilianza kuamka saa1 1  kila siku namuandalia chai, namch...

Mchumba wangu alitupiwa jini na ndugu zake ili nisimuoe

Image
  Jina langu ni Ally kutokea Dodoma, Tanzania, nina mchumba wangu ambaye tupo kwenye mahusiano kwa mwaka wa nane huu, sasa tumebahatika kupata mtoto mmoja. Changamoto zilianza baada ya mchumba wangu kupata ujauzito akawa mtu wa kuota ndoto mbaya. Nikampeleka kwa mganga nikaambiwa kuwa ana jini ametupiwa ambaye hataki apate mimba.  Nikahangaika nae akapata nafuu, mtoto alipozaliwa shida ikawa kutembea tabu. Akawa dhaifu sana. Nikampeleka kwa mganga lakini hakupona  Wakati huo nikawa nishapeleka barua ya uchumba yaani kipindi mchumba wangu akiwa bado hajajifungua.  Baada ya kujifungua mchumba wangu akaanza kukimbia kimbia, sikujua nini tatizo nikarudi kwa mganga tena, alitupatia dawa ya kutuliza hali hiyo kwa wakati huo.   Basi tukaendelea hivyo hivyo, kuitumia ile dawa baada ya wiki moja akapata unafuhu kidogo baada  kuhangaika sana, ila kwa bahati mbaya ili hali ikawa inajirudia mara kwa mara.  Nilikutana na rafiki yangu nikamueleza mahusiano yang...

BRUNO, RONALDO MAMBO SAWA

Image
  Nyota wa Timu ya Taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo yupo tayari kuwakabili Ghana katika mchezo wao wa kwanza wa mashindano ya Kombe la Dunia nchini Qatar 2022 NYOTA wa Timu ya Taifa ya Ureno na klabu ya Manchester United Cristiano Ronaldo amesema kuwa hana tatizo lolote na mchezaji mwenzake Bruno Fernandes na amesema uhusiano wao ni mzuri.   Vyombo vya Habari barani Ulaya vilichapisha moja ya video iliyoonesha nyota hao wakisalimiana katika taswira ambayo ilionesha kama hawako sawa kiuuhusiano na hiyo ilidhaniwa kuwa ni kutokana na mahojiano ambayo Ronaldo aliyafanya na mwandishi wa Habari Piers Morgan.   “Uhusiano wangu na yeye ni mzuri, nilikuwa namtania. Ndege yake ilichelewa kufika nikamuuliza endapo alikuja na Boti. Hivyo tu.” alisema Ronaldo.   Ronaldo kwa sasa yupo na kikosi cha timu ya taifa ya Ureno kinachojiandaa na mchezo wa kwanza wa mashindano ya Fainali ya Kombe la Dunia nchini Qatar dhidi ya Timu ya Taifa ya Ghana.

Hii ndio njia niliyotumia kushinda kesi nzito iliyokuwa inanikabili

Image
  Jina langu ni Maliki, ni kijana wa miaka 31, naishi Mwanza, Tanzania, miaka kadhaa iliyopita nilisingiziwa kesi ya ubakaji jambo ambalo halikuwa kweli hata kidogo.  Walidai kuwa nimembaka mtoto wa darasa la saba, cha kushangaza huyo wanayedai kuwa nimembaka sikuwahi kumuona hata mara moja katika maisha yangu.  Ukweli ni kwamba katika maisha sijawahi kuwa sehemu ya kusapoti unyanyasaji wa aina yoyote, sijawahi kufanya unyanyasaji wa kijinsia hata kwa mawazo licha ya vitendo jinsi walivyokuwa wanadai.  Basi wananchi walinikamata na kunipeleka Polisi, nikawekwa ndani wiki mbil, baada ya  hapo nilifikishwa mahakani na kusomewa mashtaka. Nashukuru niliweza kuachiwa kwa dhamana.  Siku moja nilinunua gazeti nikakutana tangazo dogo la Dr. Kiwanga akieleza kuwa anaweza kuwasaidia watu kushinda kesi mbalimbali ambazo zinawakabili katika mahakama.  Nilichukua uamuzi wa kuchukua namba ya Dr. Kiwanga ambayo ni +254 769404965 na kuwasiliana naye, basi nikamueleze...

Tumia njia hii kuongeza mauzo katika biashara na kuvuta wateja

Image
  Jina langu ni Amina kutokea Mbeya nchini Tanzania, toka mwaka 2016 mume wangu alikuwa akinipa mtaji, kila nikifungua biashara ikifika miezi minne inakufa ingawa mwanzo kila kitu kinakuwa vizuri ila baadaye zinakufa. Alikata tamaa kunipa mtaji na nilikubali tu kuwa mama wa nyumbani, akaniambia nisubiri kama serikali ikitangaza ajira basi niombe kazi maana nilikuwa nimesoma Udaktari.  Ingawa alikua ananihudumia kwa kila kitu lakini bado sikua na amani, nilikua naumia kwani nililazimika kuomba kila kitu hadi kuna muda nikawa naona aibu kwake.  Mwaka 2010 niliweza kutafuta mtaji wangu mwenyewe, nilifungua biashara ya nguo, sehemu kubwa ya mtaji wangu ni mume wangu aliniongezea kiasi cha Tsh500,000. Basi nikatafuta fremu ya 200,000 nikilipa kodi hiyo ya miezi sita. Baada ya kuangalia wateja wangu walikuwa wanataka nini, nikagundua wengi ni wa mtandaoni, hivyo biashara yangu nikawa natangazia mtandaoni, na kweli wateja wangu wengi nimewapata kupitia mtandaoni.  Nikileta ...

Magonjwa ya Zinaa : (Sexual Transmitted Diseases)

Image
  Dr Khamis Kati ya magonjwa yanayoathiri watu wengi sana duniani ni magonjwa ya zinaa. Haya ni magonjwa yanayoambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kupitia vitendo vya ngono. Vitendo hivi vya ngono vinaweza kuwa kujamiana, kupiga denda (kissing), vitendo vya ngono kwa kutumia mdomo (oral genital sex), kujamiana kupitia njia ya haja kubwa (anal sex) iwe kwa mwanamume na mwanamke au kati ya wanaume wenyewe na hata wale wanaotumia vifaa vya kufanyia ngono (vibrators). Magonjwa ya zinaa huathiri sana watu walio katika umri wa miaka 15 – 24 lakini hata kwa watu wengine ambao wana umri chini au zaidi ya huu niliotaja pia yanaonekana kwa wingi. Kuna magonjwa ya zinaa zaidi ya ishirini yanayotambulika duniani, baadhi ya magonjwa ya zinaa ni Kisonono (Gonorrhoea – “Gono” kama weng...

Chupa za maji za plastiki zinaweza kusababisha saratani?

Image
  Chanzo cha picha, Getty Images Kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu chupa na vifungashio vya chakula vya plastiki kusababisha saratani. Yapo madai yanayozunguka kuhusu kemikali hatari katika vifungashio vya plastiki vinavyotumika kwa baadhi ya vyakula na vinywaji. Inadaiwa Wakati chupa za maji ya kunywa zikiwekwa kwenye jua, miale ya jua inasababisha vitu vilivyo kwenye plastiki kuyeyuka ndani ya maji, na kisha kemikali zinazotengenezwa kutoka kwa plastiki zitafyonzwa na maji ya kunywa ya mtu. Hii inasababisha saratani. Mjadala huu umechochewa zaidi na barua pepe iliyoandikwa na mtafiti wa chuo kikuu ambayo ilisambaa mitandaoni. Barua pepe hii imekuwa ikitajwa sana kwenye tafiti kadhaa. Chanzo cha picha, Getty Images Hata hivyo, wanasayansi wa afya wamepinga hoja hiyo ya mtafiti na kumekuwa na wasiwasi kuhusu ukweli wa kisayansi kuhusu kemikali inayoitwa bisphenol A, au BPA. Wanasayansi wanasema mifuko, chupa ama vifungashio vya plastiki vinakuja na kemikali hii na ...