Posts

Showing posts from November, 2021

DAKTARI, NESI WASIMAMISHWA KAZI KWA KUFANYA MAPENZI WODINI

Image
  Mkuu wa wilaya ya Kaliua, Paul Chacha amewasimaisha kazi watumishi wawili wa hospitali ya wilaya hiyo kwa tuhuma za kushiriki mapenzi hovyo wodini. Chacha amesema awali ulifanyika uchunguzi baada ya wagonjwa kulalamikia vitendo vya wauguzi hao kufanya mapenzi wodini wakiwa zamu za usiku. Mmoja wa wahudumu hao alikuwa kwenye mafunzo ya vitendo na mwenzake alikuwa ni mtumishi wa hospitali hiyo. Chanzo : CG Fm ====== Siku chache baada ya mganga wa Hospitali ya Wilaya ya Kaliua, Irene Apina kusimamishwa kazi kwa tuhuma za kukataa kumpa matibabu mtoto wa miaka mitano, wauguzi wawili wa hospitali hiyo wamesimamishwa kazi kwa vitendo vya utovu wa nidhamu. Watumishi hao, mmoja anatuhumiwa kufanya mapenzi wodini na daktari ambaye yupo katika mafunzo kwa vitendo huku mwingine akituhumiwa kuwa kinara katika utoaji wa mimba. Katika kikao chake na watumishi wa sekta ya afya, Mkuu wa Wilaya ya Kaliua (DC), Paul Chacha aliwasimamisha kazi watumishi hao na kila mmoja kumpa tuhuma zake. DC Chacha...

WANAFUNZI WATAKIWA KUPUMZIKA KIPINDI CHA LIKIZO

Image
MWANDISHI WETU BAGAMOYO Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Ummy Mwalimu amewaagiza wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya wote nchini kuhakikisha wanasimamia suala la wanafunzi kupumzika  wakati wa likizo  ili  kuwapatia watoto muda wa kujifunza masuala mengine ya Kijamii. Waziri Ummy ameyasema hayo leo baada ya kupata maelekezo ya kisera kutoka kwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknojia Profesa Joyce Ndalichako ambaye amemtaka kulisisitiza suala hilo  ili wanafunzi hao waweze kupata muda  wa kupumzika kipindi cha likIzo Akihutubia kwenye Mahafali ya 29 ya  Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) Bagamoyo Waziri Ummy amesema watoto wanatakiwa kupumzika majumbani kipindi cha likizo ili waweze kusaidia kufanya kazi ndogondogo nyumbani, kusoma dini na kusaidia kufanya biashara ndogo za kuwasaidia wazazi pale wanapokuwa likizo. “Sasa hivi elimu imegeuzwa kama biashara, watoto wamekuwa wakisoma masomo ya ziada  mpaka...

Aina mpya ya virusi vya Covid-19 vyagundulika Afrika Kusini

Image
    Aina mpya ya virusi vya Corona vimegunduliwa nchini Afrika Kusini ambavyo wanasayansi wanasema vinaleta wasiwasi kwa kuwa vinabadilika kwa kasi, na kusambaa kwa vijana' Maambuki kwa vijana yapo Gauteng, jimbo lenye watu wengi zaidi kwa mujibu wa taarifa ya waziri wa afya wa Afrika Kusini Joe Phaahla, Alhamisi. Virusi vya corona vinajibadilisha kila vinapo sambaa na vingi vilivyo badilika ikijumuisha vile vyenye kuleta wasiwasi mara nyingi hufa. Wanasayansi wanafuatilia kwa makini kuona uwezekano wa mabadiliko ambayo yanaweza kuvifanya virusi kuwa vya kuambukiza ama kusababisha vifo zaidi. Lakini pia wanaendelea kuangazia kama virusi hivyo vilivyo badilika vitakuwa na athari kubwa kwa afya ya jamii na kama vitachukuwa muda. Afrika Kusini imeshuhudia kuongezeka kwa maambukizi mapya alisema waziri wa afya Phaahla katika mkutano na wanahabari kwa njia ya mtandao.

20 Government Job Opportunities at Judiciary of Tanzania - Various Posts

Image
  Overview The Constitution of the United Republic of Tanzania, 1977 vests the authority and responsibility to administer justice in the Judiciary of Tanzania. The Judiciary has its foundation on Article 107A (1) and 107B of the Constitution and states clearly about the Independence of the Judiciary in the United Republic of Tanzania. Now the strategic plan for Judicial Independence is focused in both form and content.  1:2 Mandate of Judiciary The mandate of Judiciary to perform its functions is obtained from the Constitution of the United Republic of Tanzania vide article 107 and its primary function is to dispense justice with equity and compassion according to laws of Tanzania. To Download PDF file of full advert written in Swahili follow link below: Position: Various Posts (20 Posts) Deadline: 10th December, 2021. DOWNLOAD PDF FILE HERE

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2022

Image
  Muda mfupi ujao majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Na kidato cha kwanza kwa mwaka 2022 yatatangazwa Na kuwekwa hapa. Tembelea mtandao huu Mara kwa Mara ili uyapate yakiwekwa. Au tembelea tovuti ya tamisemi kwa kubofya >> HAPA >> Kuona Video waziri akitangaza << HAPA >> Update  Fungua >>> HAPA >>kuona majina Na shule walizopangiwa wanafunzi wa kidato cha kwanza.

UCHAGUZI WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA 2022

Image
  Kuhusu wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Na kidato cha kwanza 2022. Taarifa Na majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Na kidato cha kwanza kutoka Tamisemi Leo.

Nishati safi ya kupikia: Zawadi ya sikukuu kwa wazazi

Image
  Ni pamoja na kuwaunganisha na matumizi ya nishati safi za kupikia. Nishati mbadala endapo anaishi eneo lisilo na umeme. Nishati hizo zitaokoa afya ya wazazi wako na mazingira. Dar es Salaam.  Ni msimu wa mwisho wa mwaka, kipindi ambacho wengi hukitumia kama muda wa kuwasalimu ndugu zao waishio mbali. Wengine huenda kuhesabiwa huku wengine wakitumia msimu wa sikukuu kama muda wa kupeleka wajukuu kuwasalimia babu na bibi zao. Hata hivyo, unapoenda huko, haipendezi kwenda mikono mitupu. Inapendeza kwenda kuonana na ndugu zako walau ukiwa na kitu mkononi. Zawadi Unadhani Waswahili walikosea waliposemaa, “mkono mtupu, haulambwi”? Usilitilie maanani hilo.  Haya ni mapendekezo ambayo tovuti ya masuala ya mapishi na nishati safi na salama ya Jiko Point (www.jikopoint.co.tz) inakupatia kama zawadi zinazoweza kuwafaa unapoenda kuwasalimia katika msimu huu wa sikukuu.  Ukimpatie zawadi ya jiko la gesi, hatohangaika kuchochea kuni au kuwasha mkaa. Picha| iStock. Mtungi wa gesi...

Aliyejikata uume afariki

Image
Mkazi wa Kijiji cha Itolwa wilayani Chemba mkoani Dodoma, Juma Juma (34) amefariki dunia baada ya kuukata uume wake. Inadaiwa kuwa Juma amefikia uamuzi huo wa kuukata uume wake baada ya kupata ajali na kuteguka kiuno na kusababisha asiwe rijali. Akizungumzia juu ya tukio hilo Mwenyekiti wa kijiji hicho, Daudi Ally amesema leo Jumatatu Novemba 22, 2021 Juma amefariki baada ya kupungukiwa maji pamoja na damu. Marehemu ameacha mjane mmoja na watoto watatu.  

FOUR and Above Government Jobs Opportunities at DODOMA City Council

Image
    Drivers Overview Dodoma (literally "It has sunk" in Gogo), officially Dodoma City, is the national capital of Tanzania and the capital of Dodoma Region, with a population of 410,956. Geography Located in the centre of the country, the town is 453 kilometres (281 mi) west of the former capital at Dar es Salaam and 441 kilometres (274 mi) south of Arusha, the headquarters of the East African Community. It is also 259 kilometres (161 miles) north of Iringa through Mtera. It covers an area of 2,669 square kilometres (1,031 sq mi) of which 625 square kilometres (241 sq mi) is urbanized. History Originally a small market town known as Idodomya, the modern Dodoma was founded in 1907 by German colonists during construction of the Tanzanian central railway. The layout followed the typical colonial planning of the time with a European quarter segregated from a native village. In 1967, following independence, the government invited Canadian firm Project Planning Assoc...

Job Opportunities at School of St Jude,Teachers (Various Positions)

Image
  Job Opportunities at School of St Jude,Teachers (Various Positions)  Teachers (Various Positions)  We’re looking for qualified and passionate teachers! Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Are you passionate about providing students with quality education? Are you dedicated to making a difference in your teaching career by inspiring students? Does it sound like we are talking about you? Keep reading! Subjects and work stations: Advance Mathematics (A – level) (Smith Campus, Usa River, Arusha) English and Kiswahili (Smith Campus, Usa River, Arusha) Civics and History (O – level) (Sisia Campus, Girls secondary school, Moshono, Arusha) Mathematics and Chemistry (O – level) (Sisia Campus, Girls secondary school, Moshono, Arusha) About us The School of St Jude is a pioneering leader in charitable education within Africa. We are giving 1,800 students free, quality education and 100’s of graduate’s access t...

70 Job Opportunities at Sanlam, Financial Advisors

Image
Afisa Mauzo (Financial Advisors) 70 Positions at Sanlam November, 2021. Sanlam is a South African financial services group headquartered in Bellville, Western Cape, South Africa. Sanlam is the largest insurance company in Africa. It is listed on the Johannesburg Stock Exchange, the Namibian Stock Exchange and the A2X. Afisa Mauzo (Financial Advisors) 70 Positions at Sanlam November, 2021 To apply for this job email your details to recruitment@sanlamlifeinsurance.co.tz The deadline for submitting the application is 26 November 2021 .

UGONJWA WA MAFUA, CHANZO, DALILI NA TIBA

Image
  Ugonjwa wa mafua unaweza kusababisha hali ya kupiga chafya mara kwa mara, kutokwa na makamasi mepesi au mazito puani, kikohozi, homa kali, na kuziba kwa pua. Dalili hizi huanza ndani ya saa 16 tokea wakati wa kugusana na virusi au visababishi vya mafua. Na hali huwa mbaya katika kipindi cha saa 24 hadi 72 ambapo virusi huwa vingi katika majimaji yatokayo puani. Katika kipindi hiki mgonjwa wa mafua huwa na uwezo mkubwa wa kuambukiza watu wengine. Dalili za ugonjwa wa mafua hutegemea zaidi uwezo wa mwili wa kupambana na magonjwa kuliko uwezo wa virusi kushambulia nyama za mwili katika njia ya mfumo wa hewa. Mafua yanaweza kusababisha matatizo makubwa katika mfumo wa kupumua hasa pale yanapoambatana na uambukizo wa pili wa bakteria. Matatizo yanaweza kuwa makubwa zaidi kwa watoto wachanga, wazee au kwa watu wenye upungufu wa kinga mwilini. Mafua pia yanaweza kusababisha ugonjwa wa uambukizo wa bakteria katika matundu ya fuvu la kichwa (sinusitis), uambukizo katika ma...

FAIDA ZA KUTOKA OUT NAYULE UMPENDAE

Image
  Wapo baadhi ya wanadoa wengi wao ukiwauliza mara  ya mwisho walitoka out lini na wanza wao? huenda majibu yao yakakunyima raha kabisa, huenda majibu yao yakakunyima raha kwa sababu wapo wataokwambia hawajawahi kabisa kufanya hivyo, lakini wapo baadhi watakaokwambia mara ya mwisho walifanya hivyo walivyokuwa kwenye hatua ya uchumba pamoja na majibu mengine kama hayo.  Ila ukweli ni kwamba moja kati ya vitu vinavyongeza radha mwanana katika mahusiano ya ndoa ni pamoja na kutoka matembezi na yale umpendaye (out). Kutoka matembezi (out) kuna faida lukuki katika mahusiano miongoni mwa faida hizo ni pamoja na kuonesha unamjali na kumheshimu sana yule umpendaye. Kutoka matembezi huenda kwako ukaona kama ni kitu cha kipuuzi sana,  ila usichojua ni kuwa  kutoka out wakati mwingine  kunasaidia sana kumpa uhuru yule uliyenaye kwenye mahusiano ya ndoa kuweza kuongea hata yale ambayo mtu huyo mara nyingi alikuwa haongei.  Nadhani kwa wale wenye tabia hii ya kutok...

122 Job Opportunities at Tanzania Railways Corporation (TRC)

Image
EMPLOYER TANZANIA RAILWAYS CORPORATION (TRC) Click the job Title for  more information and application details  COMMERCIAL OFFICER II - 2 POST ENGINEERS II (ELECTRICAL) – 2 POST    ENGINEERS II (SIGNALING & TELECOMMUNICATION) – 7 POST ICT OFFICERS II (SECURITY) – 2 POST   ICT OFFICERS II (NETWORK ADMINISTRATOR) – 4 POST ICT OFICERS II (APPLICATION ADMINISTRATOR) – 4 POST ICT OFFICER II (BUSINESS/SYSTEM ANALYST) HEALTH SAFETY AND ENVIRONMENTAL OFFICER II   TRANSPORT OFFICERS II (TRAIN CONTROL) – 3 POST TRANSPORT OFFICERS II (TRAFFIC CONTROL) – 5 POST TRANSPORT OFFICERS II (SAFETY CONTROL) – 10 POST ESTATE OFFICER II (PROPERTY MANAGEMENT) SOCIAL WELFARE OFFICER II ENVIRONMENT OFFICER II  ENGINEERS II (MECHANICAL) – 5 POST YARD MASTER II – 28 POST ARTISANS II (MECHANICAL – WELDING) ARTISAN II (CIVIL) ARTISANS II (ELECTRICAL) – 43 POST

AKAMATWA AKIBAKA NGURUWE MACHINJIONI

Image
  Mkazi wa kijiji cha Mavanga kilichopo katika kata ya Mavanga wilayani Ludewa mkoani Njombe anayefahamika kwa jina la Afro Nyigu (31) anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma ya kumbaka mnyama aina ya Nguruwe. Afisa mtendaji wa kijiji hicho Ramadhani Kihanga amesema kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia Novemba 14 2021 ambapo mtuhumiwa huyo alifika katika machinjio ya wanyama hao huku akiwa amelewa na kukuta nguruwe akiwa amefungwa kamba kwa maandalizi ya kuchinjwa ndipo kijana huyo alimvamia na kufanya nae mapenzi. Amesema wakati akiendelea na tendo hilo mlinzi wa machinjio hiyo alikuwa ametoka kidogo na aliporejea alimkuta kijana huyo akiendelea kufanya kitendo hicho ambapo alimkamata na kumpigia simu balozi na mtendaji wa kijiji ambao walifika katika eneo hilo la tukio. Amesema kuwa walipomuhoji kijana huyo sababu za kufanya kitendo hicho alidai ni maamuzi yake binafsi hivyo hapaswi kuulizwa ambapo viongozi hao wakamchukua na kumkabidhi mikononi mwa polisi. “Kitendo alic...

JAMAA AISHTAKI HOSPITALI BAADA YA KUSHONWA KIHUNI NA X WAKE

Image
  KIJANA Evans Mutugi ameishitaki Hospitali ya Maura nchini Kenya kwa kitendo cha yeye kufanyia ushonaji usio kuwa wa kibinadamu na nesi ambae anadaiwa kuwa aliwahi kuwa mchumba wake (ex-girlfriend). Tukio hilo la kustaajabisha lilitokea Jumatatu iliyopita, Novemba 8, 2021 baada ya Mutugi kupelekwa hospitalini hapo kwa matibabu ya dharura baada ya kupata ajali ya pikipiki siku ya Jumamosi, Novemba 6, 2021 majira ya mchana ambapo alipokelewa na kuhudumiwa na nesi huyo aitwaye Rose Kagwira (ex-wake). Mutugi kupitia wanasheria wake wa John & K company ameishitaki hospitali hiyo na kudai fidia ya kiasi cha Ksh milioni 6.4 sawa na Tsh milioni 131.66

51 Job Opportunities at Tanzania Fisheries Research Institute (TAFIRI)

Image
51 Jobs at Tanzania Fisheries Research Institute (TAFIRI) Tanzania Fisheries Research Institute (TAFIRI) is a Research Institute that was established by the Act of Parliament No. 6 of 1980 and started operations in 1983 with the aim of promoting, conducting, and co-coordinating fisheries research in Tanzania. In 2016, this Act was repealed by a new Act of Parliament No. 11 of 2016 Nafasi za kazi TAFIRI Wizara ya Mifugo na uvuvi Tanzania Fisheries Research Institute (TAFIRI) invites applications from qualified Public Servants who are interested to be transferred to the Institute as follows: NOTE: An applicant must be a Public Servant Applicants must channel their application letters through their current employers. Applicants should attach an up to date CV. Applicants should attach certified copies of Academic certificates and Transcripts. Certificates from foreign Universities must be verified by TCU. Applicants for the post of Drivers should attach copies of a valid driving license. A...