Breaking : RAIS SAMIA AMPENDEKEZA DK. PHILIP MPANGO KUWA MAKAMU WA RAIS

 



 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amempendekeza Waziri wa Fedha Dk. Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kinachofuata sasa ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuthibitisha jina lake katika kikao cha bunge kinachoendelea muda huu jijini Dodoma.

 Spika wa Bunge Job Ndugai amesema Rais Samia amepeleka bungeni jina la Dkt. Philip Mpango ili awe Makamu wa Rais na kwamba utaratibu wa kupiga kura unafanyika bungeni.

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?