Rais Magufuli avunja jiji la Dar, aipandisha hadhi Ilala

 

  


Rais Magufuli ameivunja rasmi Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kuanzia leo na kwa mamlaka aliyonayo na kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kuanzia leo, uamuzi huu umetangazwa jioni hii na Waziri Jafo.


Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?