Posts

Showing posts from January, 2021

Njia thabiti ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya ukimwi (VVU) VVU / UKI

Image
  VVU/Ukimwi umeenelea kuwa ni moja kati ya changamoto kubwa katika sekta ya Afya duniani haswa kwa nchi zinazoendelea. Kutokana na Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO), inakadiriwa kuwa, kuna watu milioni 36.9 wanaishi na virusi vya ukimwi duniani kote. Kwa siku za karibuni, kumekuwa na matokeo chanya kwenye mapambano na ugonjwa wa ukimwi, sasa hivi watu wenye virusi vya ukimwi (VVU) wanaishi maisha yenye afya njema na kwa muda mrefu kwa msaada wa dawa za kufubaza makali ya virusi vya ukimwi (antiretroviral therapy (ART)), pia matumizi sahihi ya dawa hizi husaidia kupunguza muendeleo wa uabukizaji kwa wengine. Kazi kubwa pia imefanyika ili kuzuia na hata kumaliza kabisa maambukizi ya virusi vya ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua. Ingawa kuna matokeo yote hayo chanya, lakini bado kuna sehemu kubwa ya jamii bao haina uelewa juu ya ugonjwa huu, hivyo  itakuwa inakuletea dondoo chache juu ya ugonjwa huu; 1. VVU vinaweza kuambukizwa kwa njia mbal...

ORODHA YA KLABU 20 BORA AFRICA

Image
    KLABU Bora Afrika kwa sasa,viwango vinatokana na matokeo ya timu katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika kuanzia 2017 hadi 2021. Kwa maana hiyo kuna uwezekano mkubwa pointi zinaweza kupanda ama kushuka msimu huu mazima ikiwa timu itaboronga pointi zitashuka ama itafanya vizuri hapo pointi zitaongezeka. Rekodi zipo namna hii kwa zile zilizo ndani ya 20 bora, Tanzania ipo pia:- 1. Al Ahly SC, Misri ina pointi 53 2. Esperance de Tunis, Tunisia ina pointi 50 3. Wydad CA, Morocco, ina pointi 48. 4. Zamalek SC,Misri ina pointi 42. 5. TP Mazembe, Congo pointi 40. 6. RS Berkane, Morroco,pointi 38.5 7. Mamelodi Sundowns, Afrika Kusini, pointi 36. 8. Horoya AC, Guinea, pointi 33. 9. Etoile du Sahel,Tunisia, pointi 31. 10. Raja AC, Morocco,pointi 29. 11. Al Hilal, Sudan, pointi 21. 12. AS Vita Club, Congo, pointi 21 13. Hasannia Agadir,Morroco, pointi 18. 14. Pyramids FC,Misri,pointi 16. 15. 1° de Agosto,Angola, pointi 16. 16. Petro de Lianda, Angola,...

Jinsi Ya Kutambua Kama Mpenzi Wako Anachat Na Mwanaume Mwingine

Image
Hali hii hutokea pande zote mbili, kwa mwanaume na kwa mwanamke. Wakati unapospend time na mpenzi wako inatokea ya kuwa mpenzi wako anakuwa busy akiangalia simu yake mara kwa mara.   Jambo hili ni la kawaida kwa kuwa siku hizi tunaishi katika maisha ya utandawazi. Kuna mitandao kadha wa kadha ambayo imechipuka ili kuwafanya watu wawe busy. Kuna Tictok, Likee na kadhalika. Pia kuna Instagram na Facebook ambazo tunazifahamu. Ijapokuwa ni vizuri kupitisha wakati kwa mitandao ya kijamii, mitandao ii hii inaweza kuwa na madhara yake. Na mara nyingi usipomakinika unaweza ukapata mpenzi wako amechukuliwa na mwengine ukiwa unashuhudia.  So leo tunataka kuleta mada ya jinsi ya kutambua kama mpenzi wako anachat na mwanaume/mwanamke mwingine. Hii itakusaidia kufahamu kile kinachoendelea kati ya mpenzi wako na simu yake ili uweze kuja na maamuzi ya kibusara. Waswahili husema ukijaribu kuchukua simu ya mpenzi wako uichunguze, unaweza kushikwa na ugonjwa wa moyo. Well, hapa Nesi Mapenzi tut...

MAGAZETI YA LEO IJUMAA JANUARY 22

Image
 

Download VIDEO | AliKiba – Infidèle

Image
 

Watch live here McGregor vs. Poirier

Image
  Click   >> Here<<<  to stream live online

VIDEO | Aslay – Nashangaa

Image
 

VIDEO | Alicia Keys Ft. Diamond Platnumz, Kaash Paige – Wasted Energy (Visualizer)

Image

Matokeo ya kidato cha nne mkuu sec 2021

  Kuona Matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa bofya Hapa  

Matokeo ya kidato cha nne kishapu 2021

Kuona Matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa bofya Hapa

Shimbi secondary: matokeo ya kidato channe shimbi

  Matokeo ya kidato cha NNE shule ya secondari shimbi Bofya hapa kuona

matokeo ya kidato cha nne kibosho girls 2020

  Kibosho girls form four Necta examination results  Click here to view

Mlambai secondary : Matokeo ya kidato cha nne mlambai sec 2020

  Bofya >> hapa kuona Matokeo ya kidato cha NNE mlambai sec

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE SHULE ZOTE MAJINA YOTE

Image
  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) kupitia kwa Katibu Mtendaji wake, Dkt. Charles E. Msonde limetangaza matokeo ya mitihani ya kitaifa ya upimaji wa maarifa darasa la nne na kidato cha pili na kidato cha nne kwa mwaka 2020.   MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2020 MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2020 MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA DARASA LA NNE (SFNA) 2020

VIDEO | Otile Brown X Alikiba – In Love

Image

HSLB: UTARATIBU WA KUREJESHA MIKOPO ELIMU YA JUU

Image
  HESLB imesema mnufaika wa mkopo wa elimu ya juu ambaye hayupo sekta rasmi anatakiwa kurejesha TZS 100,000 au 10% ya kipato anacholipia kodi kwa mwezi. Aidha, baada ya miezi 24 ya kumaliza chuo, mnufaika ambaye hataanza kurejesha mkopo, atakuwa na tozo ya 10% katika deni lake.

Vyakula hivi vitakuza nywele zako na kulizipa mwonekano bora

Image
  Kuwa na nywele zenye afya nzuri ni muhimu kwa wote bila kujali jinsi, hali hii husababisha wengi kutumia madawa ya aina mbalimbali ya kuhakikisha nywele zao zinastawi na kuwa na muonekano mzuri. Kwa bahati mbaya, wengi waliotumia madawa yanayotengenezwa kwa kemikali hujikuta katika wakati mgumu siku za usoni wakikabiliwa na matatizo ya nywele kukatika na hata kupata madhara katika ngozi ya kichwa. Njia bora na salama zaidi ya kustawisha nywele, kuzifanya ziwe na mvuto wa aina yake bila kujali wewe ni mtu wa asili ya bara Asia, Afrika au Marekani, ni kula vyakula vyenye virutubisho muhimu kwa afya ya nywele. Vifuatavyo ni sehemu ya vyakula ambavyo hupatikana kirahisi barani Afrika na kwa bei nafuu, ambavyo vitakupa afya bora zaidi ya nywele zako. 1. Yai Nywele za binadamu zina protini ambayo zimeumbiwa. Hivyo ni muhimu kuhakikisha kuwa zina protini ya kutosha, na hilo hufanyika kupitia vyakula. Protini ni nguzo kuu ya nywele za binadamu, na yai ni moja kati ya vyakula vyenye utaji...

Kitabu: sheria za fonolojia" principle of phonology by nikolai Trubetzkoy

Image
 Principles of Phonology Nikolai Trubetzkoy (Translated by Christiane A. M. Baltaxe) (1969) PDF Link: https://bit.ly/395CTO6

Kitabu: falsafa na fasihi pdf

Image
  The Palgrave Handbook of Philosophy and Literature Authors: Barry Stocker, Michael Mack Year: 2018 Edition: 1st ed. PDF Link: https://bit.ly/2LzlZPW

Kitabu: falsafa ya lugha' philosophy of language

Image
  Bofya>>  hapa  <<kupakua

Job Opportunities at Credit & Debt Masters Co Ltd

Image
 About us Credit & Debt Masters Co Ltd prides as a premier credit and debt management services provider in Tanzania, devoting our both human and capital resources into helping our clients maximize their cash flows, add value to their organizations and gain a competitive advantage. Our key services includes; Debt Management and Recovery, Credit Control Solutions and Trainings. Looking for  Accountant Call Center Interns Debt Collection Trainees Sales Executives