Bernard Membe akiri Sauti yake kudukuliwa


Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe, amekiri kuwa sauti iliyovuja mitandaoni wiki mbili zilizopita ni ya kwake.

Membe amesema sauti hiyo ni ya kwake kwa asilimia 100 na maongezi ni yake binafsi, Hivyo amesema anajua ni wapi kulipotokea tatizo.

Membe amesema kuwa udukuaji ni kosa la jinai kwa mujibu wa sheria zetu hapa Tanzania. Kutokana na hilo ameamua kuwaachia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wafanye kazi hiyo.

Chanzo: Gazeti la Nipashe

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?