HABARI: MABWENI SHULE YA WASICHANA ASHIRA YANATEKETEA KWA MOTO

Picha kutoka eneo la tukio
Mabweni ya shule ya sekondari ya Wasichana Ashira iliyopo Marangu mkoani Kilimanjaro yameteketea kwa moto, Mkuu Wa mkoa wa Kilimanjaro Bi Annie Mgwira, amedhibitiksha kutokea kwa tukio hilo lililotoke majira ya asubuhi na amesema tayari askari wa Zimamoto walitumwa eneo la tukio

Taarifa zaidi zitakujia hivi punde.



Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?