NYOSO HAJAACHA UJINGA AMEFANYA TUKIO HILI LEO BAADA YA TIMU YAKE KUPOTEZA 2-0

Juma Nyoso akiwa chini ya Ulinzi wa polisi

Baada ya pambano kati ya Kagera Sugar na Simba kumalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa mabai 2-0, beki wa Kagera Sugar Juma Nyoso amemshambulia shabiki na kumpiga hadi kuzimia. 

Nyoso anashikiliwa na Polisi huku shabiki huyo akipatiwa matibabu hospitali



Shabiki aliyepigwa akipatiwa huduma ya kwanza

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?