Baada ya pambano kati ya Kagera Sugar na Simba kumalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa mabai 2-0, beki wa Kagera Sugar Juma Nyoso amemshambulia shabiki na kumpiga hadi kuzimia.
Nyoso anashikiliwa na Polisi huku shabiki huyo akipatiwa matibabu hospitali
Shabiki aliyepigwa akipatiwa huduma ya kwanza