KADO AREJEA MTIBWA




Kipa Shabani Kado amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Mtibwa Sugar.


Kado amerejea kuichezea Mtibwa Sugar baada ya kuihama na kwenda Mwadui FC ya Shinyanga.

Bosi wa Mtibwa Sugar, Jamal Bayser ameithibitishia MASHELE BLOGkurejea kwa Kado.

"Kweli Kado amerejea na amesaini mkataba wa miaka miwili," alisema

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?