Posts

Showing posts from June, 2017

Hatimaye Denti UDSM Aliyeuawa na Polisi kwa ‘Ujambazi’ Azikwa Kisutu, Dar

Image
Masshele blog Hatimaye Denti UDSM Aliyeuawa na Polisi kwa ‘Ujambazi’ Azikwa Kisutu, Dar Mwili wa denti wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Marehemu Salum Almas aliyeuawa kwa kupigwa risasi na polisi kwa madai kuwa alikuwa Jambazi, Mei 14, mwaka huu maeneo ya Uhamiaji Kurasini jijini Dar, ukiwa umebebwa tayari kwa kuzikwa katika makaburi ya Kisutu Jijini Dar. TAZAMA MAZISHI HAYO HATIMAYE mwili wa denti wa UDSM ( Chuo Kikuu cha Dar es Salaam) , Marehemu  Salum Almas   aliyeuawa kwa kupigwa risasi na polisi kwa madai kuwa alikua jambazi, Mei 14 mwaka huu, maeneo ya  Uhamiaji Kurasini jijini  Dar es Salaam, leo Ijumaa Julai 30, 2017  umezikwa katika makaburi ya  Kisutu  jijini Dar amba mamia ya watu walijitokeza, ikiwa ni siku 47 tangu auawe kwa tuhuma hizo, ambazo familia ya marehemu imezipinga vikali mahakamani kuwa ndugu yao hakuwa jambazi na kulitaka  Jeshi la Polisi  kukiri kosa. Mwili wa...

WAUWAJI KIBITI HAWAHAPA MAJINA YATAJWA

Image
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Eng. Hamad Yussuf Masauni ametangaza kuwa,  Jeshi la Polisi linawaska watuhumiwa 16 wa mauaji ambayo yamekuwa yakiendelea kufanyika katika maeneo ya  Kibiti, Mkuranga na Rufiji Mkoani Pwani  kwa muda mrefu sasa. Baadhi ya majina hayo ni kama yanavyoonekana hapa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Masauni amesema kuwa watuhumiwa hao wanafahamika na tayari jeshi la polisi lina picha za watuhumiwa wote ambao wanasakwa.

TETESI ZA SOKA ULAYA IJUMAA 30.06.2017

Image
Arsenal wamejitoa katika mbio za kumwania nyota wa Monaco Kylian Mbappe, 18, na sasa wataelekeza nguvu zao kumpata Alexandre Lacazette na Thomas Lemar (Mail Online). Mesut Ozil ameonesha dalili za kubakia Arsenal baada ya kulipia tena chumba maalum cha kutazamia mpira (executive box) ndani ya uwanja wa Emirates (The Sun). Antonio Conte hajafurahishwa na hatua ya Chelsea kumfuatilia Romelu Lukaku badala ya Andrea Belotti. Conte ameghadhibishwa kwa sababu wachezaji hao wawili bei yao ni moja, takriban pauni milioni 85, lakini mkurugenzi wa ufundi wa Chelsea Michael Emenalo ameamua kumfuatilia Lukaku badala ya Belotti (Daily Star). Guangzhou Evergrande hawana mpango wowote wa kumuuza Paulinho kwenda Barcelona (Nanfang Daily). Liverpool wapo tayari kupanda dau la pauni milioni 70 kumtaka kiungo wa kimataifa wa Guinea Naby Keita, 22 anayeichezea RB Leipzig (Mirror). Liverpool wanataka kuwasajili Naby Keita pamoja na Alex Oxlade-Chamberlain, 23 (Liverpool Ech...

JUST IN: ATLETICO MADRID PRESIDENT CEREZO HAPPY TO JOKE ABOUT DIEGO COSTA RE-SIGNING

Image
A tletico Madrid president Enrique Cerezo has joked about re-signing Diego Costa from Chelsea . The striker is eager to return to Atletico this summer, though the move is complicated due to the club's transfer ban for the summer window. Cerezo was asked about the situation on Wednesday night and was coy on the subject. "Well, if he comes to Madrid, it will only be by taking the subway...! "The problem is that we cannot recruit. Without that, we would have been happy to improve the team a little."

“ዳንጎቴ ሲሚንቶ ችግሮቹ ካልተፈቱ ፋብሪካውን ሊዘጋ እንደሚችል አስታወቀ

Image
“ዳንጎቴ ሲሚንቶ ችግሮቹ ካልተፈቱ ፋብሪካውን ሊዘጋ እንደሚችል አስታወቀ” Written by  አለማየሁ አንበሴ     የኦሮሚያ ክልላዊ መንግስት የሲሚንቶ ፋብሪካዎች ሲሚንቶ ለማምረት የሚያስፈልጉ መሰረታዊ ግብአቶችን የማውጣትና የማቅረቡን ሥራ ለወጣቶች እንዲያስረክቡ ያወጣውን ትዕዛዝ ካልሰረዘ፣ ዳንጎቴ የሲሚንቶ ፋብሪካውን ሊዘጋ እንደሚችል መግለፁን ብሉምበርግ የዘገበ ሲሆን መንግስት በበኩሉ፤ ከዳንጎቴ ጋር የተፈጠረ አለመግባባት እንደሌለ አስታውቆ፤ ዘገባውን ያሰራጩት “ለሆዳቸው ያደሩ ጋዜጠኞች” ናቸው ሲል አስተባብሏል፡፡ በአፍሪካ ቀዳሚ ባለሀብት እንደሆነ የሚነገርለት ናይጄሪያዊው አሊኮ ዳንጎቴ፤ በኦሮሚያ ክልላዊ መንግስት ምስራቅ ሸዋ ዞን፣ ከአዲስ አበባ በ90 ኪሎ ሜትር ርቀት ላይ በምትገኘው ሙገር ከተማ አካባቢ ከጥቂት ዓመታት በፊት የገነባው የሲሚንቶ ፋብሪካ፣ ምርት ከጀመረ በኋላ የአገሪቱ የሲሚንቶ እጥረት መቃለሉንና ዋጋ መውረዱን የጠቆሙት ምንጮች፤ የፋብሪካው መዘጋት በአገሪቱ የኢንቨስትመንት እንቅስቃሴ ላይ አሉታዊ ተፅዕኖ ያሳርፋል ብለዋል፡፡ የኦሮሚያ ክልል የምስራቅ ሸዋ ዞን አስተዳደር ለዳንጎቴ ሲሚንቶ የፃፈው ደብዳቤ እንደደረሰው የጠቀሰው ብሉምበርግ፤ “ፋብሪካው የፑሚስ፣ አሸዋና ኖራ ምርቱን ለወጣቶች አሳልፎ ካልሰጠ ለሚፈጠሩ ችግሮች ኃላፊነቱን እንደሚወሰድ” የሚያሳስብ ነው ብሏል፡፡ ብሉምበርግ ያነጋገራቸው የዳንጎቴ ግሩፕ ዋና ዳይሬክተር ኤድዊን ዴቫኩማር፤ የኢትዮጵያ ፌደራላዊ መንግስት በጉዳዩ ጣልቃ ገብቶ ለችግሩ መፍትሄ እንዲያበጅ የሚያሳስብ ደብዳቤ እንደሚፅፉ ጠቁመው፣ መፍትሄ ካልተገኘ ግን ፋብሪካውን እስከመዝጋት ሊያደርሳቸው እንደሚችል መግለፃቸው ተዘግቧል፡፡ በስልክ ያነጋገ...

FASHION: JOURNEY TO A SMOOTH FACE

Image
PHOTO | COURTES By WANJIRU KARIUKI I have an acne prone skin. I have a very oily skin. Since my teenage years, I have struggled with acne. Sometimes I could sleep on a smooth face just to wake up to a face full of breakouts. Total nightmare, right? It is so devastating and sometimes you don’t wish to leave the house. It steals your self-esteem and confidence. I had visited enough dermatologists but the acne seemed to get worse and worse. Three years ago, I learnt how to manage this condition. It has worked for me, and though a times I still experience a few breakouts, my face has really improved. PHOTO | COURTESY Here are some of the dos and don’ts: 1. Garbage in, garbage out Unhealthy eating habits can be one cause of acne. I can attest to this. Anytime I consume junk food, a day or two days later my face breaks out. These includes fatty foods (chips, crisps, deep-fried foods), processed sugars (sodas and juices) and too much wheat products. Keep away fro...

Higher Education KENYA

Higher Education University education is one of the most rapidly expanding sub-sectors of the Education sector in Kenya. Demand for university education has continued to increase with many students who are unable to be absorbed in Kenyan Universities seeking admission in institutions of higher learning outside the country. The Directorate of Higher Education in the Ministry if Higher Education, Science and Technology has taken this challenge in stride. Constituent University colleges and campuses affiliated to universities have been established to expand access to higher education. Currently we have 7 public Universities, 18 private Universities of which 11 have received university charter and the rest are on letters of interim authority. This number is expected to increase. Some middle level colleges have been upgraded to campuses and constituent colleges of public universities. They include: Chuka University - Egerton University Kisii University College - Eger...

HELB : LOAN APPLICATION FOR KENYANS STUDENT

The following applications are currently open: 2016/2017 Continuing Education Loans 2017/2018 Undergraduate Second and Subsequent Loan Application

MOURINHO REMAINS THE WRONG MANAGER FOR MAN UTD— SOUNESS

Image
  Manchester United only appointed Jose Mourinho as manager as they knew they needed a “big name” to rival Pep Guardiola, according to former Liverpool manager Graeme Souness. Former Inter Milan and Chelsea manager Jose Mourinho was named as the replacement for Louis van Gaal in the Old Trafford hot seat on a three-year deal – following on from Manchester City’s announcement in February that Guardiola would be succeeding Manuel Pellegrini as manager at the Etihad. But while the 54-year-old Mourinho won both the EFL Cup and the Europa League in his first season, the fact the club finished as low as sixth in the Premier League will have been a huge embarrassment to the club and former Red coach Souness believes it proves the Portuguese ‘isn’t the right man for United’. “I didn’t think Mourinho was right for United and I said that from day one,” Souness told Yahoo. “Because Guardiola was coming in at Manchester City, the people making decisions at Old Trafford felt com...

BRAVO IS CHILE’S HERO IN CONFED CUP SHOOT-OUT WIN

Image
Claudio Bravo was Chile’ s hero on Wednesday as they beat Portugal 3 - 0 in a penalty shoot- out in the Confederations Cup semi - finals . The Manchester City goalkeeper saved all three penalties from Portugal ’ s Ricardo Quaresma , Joao Moutinho and Nani , while Arturo Vidal , Charles Aranguiz and Alexis Sanchez nailed their spot- kicks for the South Americans . “ We are satisfied with the result and how we played, but we have still not won anything , ” warned the 34 - year -old Bravo . Chile progress to Sunday ’ s final in St Petersburg to face either Mexico or Germany, who meet Thursday in Sochi in the other semi - final . “ I’ m very proud of this team . Claudio pulled off some good saves to keep us in the game , ” said Chile coach Juan Antonio Pizzi . “ He had the ability to foresee where their players would put their kicks. Now it doesn’ t matter who we get , we just need to recover for the final . ” Losers Portugal will contest Sunday’ s third - place pla...